Imeshindikana kabisa kwa bisahara za kwenye mitandao (e-commerce) kule Tanzania. Jumia, Tala, Brigter Monday wote walifungasha

Bwahaha!!wakenya hatukomai na kitu kimoja jomba, kila mahali tupo..

Nyie komaeni na jf tu[emoji23][emoji23]
mara hii tunakomaa na jf sio youtube tena[emoji38][emoji38][emoji38].

ama kweli kifo cha nyani hamna tawi linashikika.
 
Maneno ya mkosaji [emoji28][emoji28][emoji28]
Hizo za udaku zinapokea dollars adsense za wazungu na home commercials, ninyi mna kipi cha kupata kutoka kwenye internet? Kuingia pornhub?
Wakenya wapo kila mahali mitandaoni[emoji23][emoji23]
 
Inamaana hata south afrika pia mumewashinda kw internet penetration[emoji23][emoji23]
Wazee wa kukomalia kitu kimoja km nyumbu, kwn bongo zaidi ya ayo tv kuna kipi cha maana kw mfano
kukomaa na kitu kimoja ndio kufanyaje,naona ni mwamvuli wa kukimbia kipigo huu.[emoji23][emoji23]

unajua jelusalem ina views ngapi huko youtube,hivi vitu haviongopi bro,kama huna huna tu.kama hapo kenya[emoji38][emoji38]
 
MK254 unaweza kutuwekea sheria, sera na kanuni zinazosimamia ecommerce Kenya? Hizi regulatory frameworks kwenu huko?

Ukiambatanisha link au PDF itafaa sana!
 
Tala walikuwa wana tuibia wana nchinlwaa kuendesha biashara na kukiuka sheria za nchi wakaona aibu waka kimbia

Hao brighter monday sasa. Unajua ata siku makampuni mengi yana mifumo yao ya kupokea Cv ma kuwachuj candidates online through designated system hivyo ni wazi ni changamoto kwao kurun bizness lkn mbona pia yapo makampuni mengi ambayo ni recruitment agencies zina operates well. Nafikir kwao BM wame loose wateja
 
Akili hawana hawa, eti hawajui kama Youtube watu wanapiga pesa, wanatia huruma hata kuwa na arguments nao 😅😅😅
 
Hahahaha wabongo hatupendi stress sababu tumeshavuka kwenye level ya hustling, tupo kwenye level ya refreshments yaani tunataka habari zinazoendana na matumizi yetu ya pesa 😂😂😂
 
To make the long short em nipe youtube yenye subscribers wengi zaidi Kenya yote kwanza 🚮🚮🚮🚮
 
Inamaana hata south afrika pia mumewashinda kw internet penetration[emoji23][emoji23]
Wazee wa kukomalia kitu kimoja km nyumbu, kwn bongo zaidi ya ayo tv kuna kipi cha maana kw mfano
SA hawafikii mziki wa bongo wewe, kwanza SA wenyewe wakifika bongo wanashangaa kuona Tanzania bundles are cheap kuliko SA kwa zaidi ya mara 3
 

AdSense ni kitu ya kawaida bana...hata vijana walio kwenye University ni ma expert kwa hio sector cheki profile zao pale upwork.
Kwani unadhani AdSense Ni ya YouTube pekee yake.😂😂
 
kukomaa na kitu kimoja ndio kufanyaje,naona ni mwamvuli wa kukimbia kipigo huu.[emoji23][emoji23]

unajua jelusalem ina views ngapi huko youtube,hivi vitu haviongopi bro,kama huna huna tu.kama hapo kenya[emoji38][emoji38]
😅😅😅😅😅😅😅
 
AdSense ni kitu ya kawaida bana...hata vijana walio kwenye University ni ma expert kwa hio sector cheki profile zao pale upwork.
Kwani unadhani AdSense Ni ya YouTube pekee yake.😂😂
Toa shukrani sasa kwa mara ya kwanza umelijua hilo leo 😅😅😅
 
SA hawafikii mziki wa bongo wewe, kwanza SA wenyewe wakifika bongo wanashangaa kuona Tanzania bundles are cheap kuliko SA kwa zaidi ya mara 3
Hata waingereza pia wakifika south africa wanashangazwa na na urahisi wa vitu vingi mbali mbali
 
Hahahaha wabongo hatupendi stress sababu tumeshavuka kwenye level ya hustling, tupo kwenye level ya refreshments yaani tunataka habari zinazoendana na matumizi yetu ya pesa [emoji23][emoji23][emoji23]
Uvivu na ulemavu wa akili ndio umewafikisha hapo[emoji23][emoji23]
Nyumbu fc mpo, sai kule youtube wanasubiria fala flani aalikwe waanze kurundika content lkn kw sasa weupe wamerudi kw habari za umbea[emoji23][emoji23]
 

AdSense ni kitu ya kawaida bana...hata vijana walio kwenye University ni ma expert kwa hio sector cheki profile zao pale upwork.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…