komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hapo mwili rojo sai[emoji23][emoji23]Nikasirike kwa lipi nyang'au hapa nimetoka kutandika kiepe cha maana nangoja nije kuwapapasa wala githeri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo mwili rojo sai[emoji23][emoji23]Nikasirike kwa lipi nyang'au hapa nimetoka kutandika kiepe cha maana nangoja nije kuwapapasa wala githeri
Nyie mnaiga wazungu kwani nao wananyea kwenye mifuko na kutupa kwenye mitaro..........hawapigi pasi ndefu za avocado na githeriWe si umeitolea mfano china ukafikiria na wak wanasihi kiswazi[emoji23][emoji23]
Ugali mhogo mnakufa njaa ndo maana mnachezea vichapo toka kwa wanawake wenu huku chips na game wanazielewa huko mnakua useless hadi wanawachomoa transfoma mnatia huruma sanaUnasaidiwa kazi na wenzio wachapa ugali mhogo
Sasawa katibu mkuu wa chama cha wala chipsi darUgali mhogo mnakufa njaa ndo maana mnachezea vichapo toka kwa wanawake wenu huku chips na game wanazielewa huko mnakua useless hadi wanawachomoa transfoma mnatia huruma sana
Si heri huyo kapika umbwa, tanzania ndio kamchinja mwanae haswa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1649836
leta ushahidi hapa kama uoSi heri huyo kapika umbwa, tanzania ndio kamchinja mwanae haswa[emoji23][emoji23]
Hahahaha njaa mbaya sana kama walinzi wa taifa ni hivi raia itakuaje ndo maana wanalamba sana miguu ya beberu njaa imewaathiri hadi kwenye ubongoleta ushahidi hapa kama uo
[emoji116][emoji116]hajala huyu View attachment 1649839
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe imekuuma ee[emoji23][emoji23]Poa mwenyekiti wa wapanda punda na ng'ombe nyeri
Inaniuamaje wakati we mkimbizi tu hapa najua njaa zinakusumbua unapiga tu marktime muda uende ushapiga pasi yako ya githeri na avocado unangoja jioni unye kwenye mfuko ukalale kwenye fulusuti lakoKumbe imekuuma ee[emoji23][emoji23]
Pole sana, hta usinichukulie vibaya ni ukwel tu nakwambie na pia ni vile umekiri mwnyewe mpenda chipsi
Hahaha!!angalia maovu yenuleta ushahidi hapa kama uo
[emoji116][emoji116]hajala huyu View attachment 1649839
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli imepenya[emoji23][emoji23]Inaniuamaje wakati we mkimbizi tu hapa najua njaa zinakusumbua unapiga tu marktime muda uende ushapiga pasi yako ya githeri na avocado unangoja jioni unye kwenye mfuko ukalale kwenye fulusuti lako
Sasa unalazimisha wewe ndo unaonekana sasa umeumia mimi sijaikataa chipsi ni msosi wa kawaida tu na bado tunawashona dada zenu una jipya?Kweli imepenya[emoji23][emoji23]
Yani unaanzaje kusifia chipsi dume zima, pole sana kw kujiumbua
Hahaha!!angalia maovu yenuView attachment 1649849
sio sababu ya njaa tambua hiloHahaha!!angalia maovu yenuView attachment 1649849
mwengine huyu hajala [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nguvu mtapataje?Kweli imepenya[emoji23][emoji23]
Yani unaanzaje kusifia chipsi dume zima, pole sana kw kujiumbua
Nitapoteza muda nikikujibu.Acha Ulimbukeni wewe... Unaoushobokea(huo ujanja) ndio ushamba wa ulaya wenyewe(if you know what I mean)
kujaza kampuni zisizokimbia bila faida nalo ni tatizo kubwa zaidi.Nitapoteza muda nikikujibu.
Ukiona kampuni za kimataifa ambazo zimeajiri wazawa zinakukimbia ujue kuna tatizo kubwa ila viazi kama wewe huwezi kujua.