Imethibitika Uwezo wa Kiuongozi wa Job Ndugai ni Mdogo Sana; Je Alipatikanaje?

Imethibitika Uwezo wa Kiuongozi wa Job Ndugai ni Mdogo Sana; Je Alipatikanaje?

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Tazama haya machache;
1. Kumpiga Chilongani mgonbea mwenzie kwenye kura za maoni CCM Kongwa 2015

2. Kukataa kumlipia Tundu Lissu matibabu kisha kumnyang'anya ubunge wa Ikungi, mwaka 2017-19

3. Kumrudisha Cecil Mwambe wa CHADEMA ambaye alikuwa amejivua uwanachama mwaka 2020

4. Kuwakumbatia wabunge wanaoitwa COVID 19 ambao hawana chama

5. Kutumia mabilioni ya shilingi za Kitanzania kwenye matibabu nchini India kwa kuwa tu alikwenda na familia na wasaidizi wengi.

6. Kusema kuwa Yesu alikuwa na mke

7. Kulalamika kuwa anabaguliwa kwa sababu ni mgogo

8. Kusema atake asitake lazima tumlazimishe Magufuli awe Rais wetu kipindi cha 3

9. Kukataa kufanya kazi na CAG Prof Assad baada ya kudai Bunge ni dhaifu

10. Kumzodoa Rais kuhusu mikopo


Ndugai hana mshipa wa kuchuja pumba na mchele. Ndugai alikwishakiri mwenyewe nkuwa ana faili hospitali ya Milembe. Kwa waliowahi kuface one on one na Ndugai wanajua ninachosema.

Ukiona profile ya Spika huyu, unaanza kujiuliza kuwa hawa watu wanapatikanaje? Je kweli hakukuwa na mtanzania mwingine mwenye credibility, maturity na wisdom zaidi ya Ndugai?

#KatibaMpyaNiMuhimu
 
Mihimili yote tuliyonayo uwezo wa viongozi wanaoiongoza ni mdogo, tena kwangu bora Ndugai, huyo aliyetoa mipasho leo ndie tambara kabisa.
Ndugai ni kichaa, labda hujamfuatilia vizuri
 
Msumari wa Moto umemkongelea kichwani, lazima ajikune kuutoa kwa kweli... walio mchagua wote ni design hiyo hiyo, watake wasitake...ndio maana mwenyekiti wake anazidi tu kumkongelea kichwani, na alivyo mgogo, lazima tu apotozee, labda matonya atafufuka kuja kumuokoa na kashikashi ya SSH.
 
'
20220104_230738.jpg
 
Watu wanaojua kupiga maneno ndio wanaonekana wazalendo na wanafaa kuwa viongozi. Huyu jamaa alipataje nafasi kubwa kama hiyo?
Orodha ya Maspika kuanzia Uhuru 1961 ninaowakumbuka;
1. Danstan Omari?? (sina uhakika)
2. Erasto Mang'enya
3. Adam Sapi
4. Pius Msekwa
5. Samuel Sitta
6. Anna Makinda

Tofauti ya Ndugai na hao wore ni kubwa sana. Kwa kweli Ndugai alipatikana kwa ajali tu na siyo kwa uwezo.
 
Orodha ya Maspika kuanzia Uhuru 1961 ninaowakumbuka;
1. Danstan Omari?? (sina uhakika)
2. Erasto Mang'enya
3. Adam Sapi
4. Pius Msekwa
5. Samuel Sitta
6. Anna Makinda

Tofauti ya Ndugai na hao wore ni kubwa sana. Kwa kweli Ndugai alipatikana kwa ajali tu na siyo kwa uwezo.
Kweli uchawi upo duniani hapa 😂 😂 😂 😂 😂
 
Alipatikana kiccm. Kama walivyompata yule rais wa ajabu ambaye hajawahi kutokea tangu hii dunia kuumbwa
Miaka hii 5 (2015-20), imekuwa ya mafunzo sana kwa Tanzania kuhusu namna ya kuwapata viongozi wakuu. Katiba Mpya ijayo itayanyoosha haya Ili kuepuka types za vichaa kama Magufuli au Ndugai
 
Tazama haya machache;
1. Kumpiga Chilongani mgonbea mwenzie kwenye kura za maoni CCM Kongwa 2015

2. Kukataa kumlipia Tundu Lissu matibabu kisha kumnyang'anya ubunge wa Ikungi, mwaka 2017-19

3. Kumrudisha Cecil Mwambe wa CHADEMA ambaye alikuwa amejivua uwanachama mwaka 2020

4. Kuwakumbatia wabunge wanaoitwa COVID 19 ambao hawana chama

5. Kutumia mabilioni ya shilingi za Kitanzania kwenye matibabu nchini India kwa kuwa tu alikwenda na familia na wasaidizi wengi.

6. Kusema kuwa Yesu alikuwa na mke

7. Kulalamika kuwa anabaguliwa kwa sababu ni mgogo

8. Kusema atake asitake lazima tumlazimishe Magufuli awe Rais wetu kipindi cha 3

9. Kukataa kufanya kazi na CAG Prof Assad baada ya kudai Bunge ni dhaifu

10. Kumzodoa Rais kuhusu mikopo


Ndugai hana mshipa wa kuchuja pumba na mchele. Ndugai alikwishakiri mwenyewe nkuwa ana faili hospitali ya Milembe. Kwa waliowahi kuface one on one na Ndugai wanajua ninachosema.

Ukiona profile ya Spika huyu, unaanza kujiuliza kuwa hawa watu wanapatikanaje? Je kweli hakukuwa na mtanzania mwingine mwenye credibility, maturity na wisdom zaidi ya Ndugai?

#KatibaMpyaNiMuhimu
Hapa Dawa ni Katiba Mpya Ndugai aliota mapembe sana.
 
Kwa hila za wanachukua chako mapema(ccm).Sasa wote wanajuta🏃.Sasa ni muda wakurekebisha dosari kwa kutupatia katiba mpya ya wananchi.
Nafikiri sasa Somo watalipata. Waliawma katiba haileti Ugali😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom