Imetimia miaka 4 tangu Tundu Lissu apigwe risasi nyingi mnamo 07/09/2017. Mungu ni mwema wakati wote

Imetimia miaka 4 tangu Tundu Lissu apigwe risasi nyingi mnamo 07/09/2017. Mungu ni mwema wakati wote

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wakati wote Mungu ni mwema.

Mungu aendelee kukubariki na kukutia nguvu mpendwa katika Bwana mtumishi Tundu Antipas Lissu.

Katikati ya maumivu ya kimwili wakakunyang'anya na ubunge lakini kuna wanaccm wawili walionesha Upendo wa kukutembelea pale Nairobi hospital nao Mungu amewabarikia bara na visiwani.

Yesu alisema " Wapendeni adui zenu watendeeni mema wanaowaudhi"

Amina!

Mungu ni mwema wakati wote!

 
"Risasi nyingi za kihistoria"

Lakini watuhumiwa mpaka leo wako mitaani wanazurura, huku wasio na hatia wako ndani kwa makosa ya kubambikiwa ambayo jaji amekiri charge sheet imekosewa!.

Utawala wa CCM umeinajisi hii nchi.
 
Mungu alivyo Mkuu ni kwamba aliyetaka apigwe risasi afe, amekufa yeye.

Kuna kitu gani cha kumshukuru Mungu zaidi ya Mungu kukupa maisha ili uone adui aliyetaka ufe anakufa yeye kabla yako?
 
Kwakweli nilivyo iangalia hii picha nikaona jinsi ambavyo mwili umesumbuliwa na uchovu maumivu na memgine mengi nilisikitika sana
images (61).jpeg
 
Yule alieonekana akiondoka mwendo kasi baada ya tukio akirejea mkoa wake wa kazi na yule mnyea ndoo a.k.a machoji jicho moja ndio wahusika wakuu. Wakamatwe. Mnyea ndoo akishapigwa mvua hii inayomsubiri aitwe tena polisi aunganishwe na mwenzake wahojiwe kuhusu hili la Lissu.
 
Mungu ameshatoa hukumu yake. Alietaka kumtanguliza mwenzake katangulia yeye. Mungu aliufanya moyo wa pharaoh kua mgumu ili apate kumwangamiza mwenyew. Farao ameshaangamia.
 
Back
Top Bottom