Imetimia miaka 4 tangu Tundu Lissu apigwe risasi nyingi mnamo 07/09/2017. Mungu ni mwema wakati wote

CCM ni.laana kwa hii nchi.

View attachment 1927334
Dr.Ulisubisya Mpoki Mwasumba nae ni laana kwa afya na uhai wa Mh.Tundu Lissu?!!!

Yaani huyu Katibu Mkuu wa zamani Wizara ya Afya aliyeamua kuivua "SUTI" na kuingia "THEATRE" kulisimamia zoezi la kuyanusuru maisha ya mh.Lissu naye pia ni laana ?!! Khaaa 😲😲

Ewe Mola mbariki sana Dr.Ulisubisya Mpoki Mwasumba ,aaamin aaamin🙏

Hakika yeye na wenzake WATAKUMBUKWA SANA kuyanusuru maisha ya mh.Lissu yaliyokuwa UKINGONI KUTOWEKA....

#SiempreJMT
#NchiKwanza
 
Mungu ni mwema sana. Na aliyeamuru hayo tushamrip kitambo. Tutambue tu mamlaka ya duniani yasituleweshe hata tukajiona na sisi ni miungu.
 
Mungu alimwokoa, ni Unabii kabisa huo, na kwa macho yetu ya kibinadamu Lissu asingekuwa wa kupona. Sidhani aliyetoa hati ya kifo cha Lissu kama yu hai atakuwa ana furaha rohoni kwake.
 
Kwa hiyo umekubali hao wengine ni laana isipokua yeye?
 
Lisilowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu linawezekana. Pamoja na risasi zote hzo bado ni nzima. Mungu ni fundi hakika wajameni.
 
Nilikuwa ni kipindi cha maumivu makubwa sana. Mungu akatuokoa
 
Na kwa mapenzi ya Mungu mkuu, waliotaka kumuua Lissu wao wameshakufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…