mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
- Thread starter
- #121
Ukifanya tukio personalky linakukamata,ila kama ulikuwa unatekeleza order kiserikali inamkamata aliyetoa orderSio kila kilicho kwenye maandiko kina uhalisia, tizama ufalme wa UK wamehusika direct kwenye ukoloni, na vizazi zaidi ya vitatu kwao tayari vimepita bt karma huioni kwao, karma haina uhalisia mkuu.
Kuna nadharia nyingi tunazitumia kujifariji bt ukizichunguza kwa utulivu hazina uhalisia kabisa.
Mfano jaji akikuhukumu unyongwe huwezi sema ameua yeye ametimiza wajibu tu.
Wakoni walikuwa kazini kutimiza order ya serikali zao