Imetimia miaka kumi tangu nianzishe ukoo wangu, maendeleo ni mazuri

Ukifanya tukio personalky linakukamata,ila kama ulikuwa unatekeleza order kiserikali inamkamata aliyetoa order
Mfano jaji akikuhukumu unyongwe huwezi sema ameua yeye ametimiza wajibu tu.
Wakoni walikuwa kazini kutimiza order ya serikali zao
 
Ukifanya tukio personalky linakukamata,ila kama ulikuwa unatekeleza order kiserikali inamkamata aliyetoa order
Mfano jaji akikuhukumu unyongwe huwezi sema ameua yeye ametimiza wajibu tu.
Wakoni walikuwa kazini kutimiza order ya serikali zao
Imebidi nicheke tu, ukifanya ubaya kwa niaba ujue nawe ni mshirika la sivyo unapaswa kujiweka kando.
 
Mkuu ya kweli haya?????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…