uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Kwani wanaanza lini?Ni hatua nzuri,kweli GSM akianza ujenzi Mo atapata changamoto maana tutamkalia kooni
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wanaanza lini?Ni hatua nzuri,kweli GSM akianza ujenzi Mo atapata changamoto maana tutamkalia kooni
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana wakaanza ,kweli wafanye press live hivi halafu ikawa kiki?Kwani wanaanza lini?
Taarifa njema sana hii kwa wapenda maendeleo ya klabu yetu kote nchini.Habari njema Tumeipokea kupitia Ujumbe wa Rais wa Club: Injinia Hersi.
Uwanja utajengwa kwa Udhamini wa moja kwa moja wa GSM.
View attachment 2900696
#Daimambelenyumamwiko#
Eneo la Jangwani liko ktk mpango wa mradi hivyo ni kweli watajengaInawezekana wakaanza ,kweli wafanye press live hivi halafu ikawa kiki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka tu hela haijawahi kushindwa na kitu chochote hapa duniani.Jangwani hapo kwenye bwala la vyura [emoji23][emoji23][emoji23]
Watajenga..rejea mpango wa kuinuia bara bara ya Magomeni - Jangwani..mradi wa mto msimbazi ...na huo mradi wa Yanga kujenga uwanjaHadi nitakapoona msingi wa uwanja ndipo nitaamini..
Mbona wameanza muda tu kumwaga pale..Nitaamini pale nitakapoona vifusi vimeanza kumwagwa hapo jangwani
Hawaoni wanachofanywa wenzao mwendokasi godowns?Habari njema Tumeipokea kupitia Ujumbe wa Rais wa Club: Injinia Hersi.
Uwanja utajengwa kwa Udhamini wa moja kwa moja wa GSM.
View attachment 2900696
#Daimambelenyumamwiko#
Kumbuka tu hela haijawahi kushindwa na kitu chochote hapa duniani.
Wewe utakuwa hujanielewa.hela ya bure ?
Ghalib atatoa mfukoni bilions of money kushindana na maji ya Jangwani ?
Bure bure tu?
hahahahahaaaaa
Reporting yako haiko sawa, MISLEADING. Habari ni kuwa GSM itashiriki ujenzi (itatoa fedha za ujenzi)-ahadi au commitment. Na si kwamba Ujenzi unaanza kama ulivyoreport.
Hapo hapoJangwani hapo kwenye bwala la vyura [emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi kuhusu michango yetu ya uwanja wa kumfariji Barbrahela ya bure ?
Ghalib atatoa mfukoni bilions of money kushindana na maji ya Jangwani ?
Bure bure tu?
hahahahahaaaaa
[emoji2][emoji2][emoji2]Vipi kuhusu michango yetu ya uwanja wa kumfariji Barbra