uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
😂 Muda ni mwamuzi mzuriInawezekana wakaanza ,kweli wafanye press live hivi halafu ikawa kiki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 Muda ni mwamuzi mzuriInawezekana wakaanza ,kweli wafanye press live hivi halafu ikawa kiki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdhamini na Mfadhili wa Klabu yetu, Ghalib Salim Muhammed, ameridhia kwa dhati kushiriki kwenye kufanikisha ujenzi wa uwanja
Kuridhia kushiriki kufanikisha ....What the Sam Hill does that mean??? Maana yake nini ?????
Mtu akijiunga maandamano ya fund raiser ya ujenzi wa bweni la wasichana tayari anakuwa ametimiza ahadi ya kushiriki kufanikisha ujenzi wa bweni la wasichana.... lijengwe, lisijengwe hayamhusu!
Mjanja mwingine huyu anawaingiza chaka Watanzania wajinga wasiojali kusoma makaratasi.....
Halafu mdhamini wa Yanga ni Ghalib mtu au Ghalim kampuni ???? Akijenga kama Ghalib mtu akashindwa kukamilisha au kutimiza vigezo au viwango wakati mshampa nusu ya haki za umiliki au umiliki 100% mkienda mahakamani kumbukeni hamuwezi kugusa mali za Ghalib kampuni.
Kingine, baada ya miaka 10 msije mkalia uwanja hauingiliki, sijui viunga vya uwanja vinajaa maji... Anaweza kupandisha juu uwanja proper, huku nje kwenye parking lot na barabara hawezi kufanya yaliyo mshinda UDART, serikali au KAJIMA. Kwa watoto wadogo, KAJIMA ni Mjapan aliyekuwa anajenga maeneo magumu in the 80s, ndio alijenga Morogoro Road kwenye mkondo wa maji Jangwani. Pameshindikana.
Dah wabongo wajuajj sana na roho ya wivu husda, vyovyote vile ni jambo la kumuunga mkono
Akiba ya maneno niliiweka kuanzia miaka ya 70 huko mpk Leo hamna lolote kazi ni kutaja tu uwanja utajengwa utajengwa. Tena na hivi serikali inaongeza viwanja vingine sidhani kama Simba na Yanga watajenga uwanjaWeka akiba ya maneno mkuu
Female jealousySerikali inaangalia watu wanajenga bondeni halafu kukitokea maafa mtamlaumu Nani?
Yanga wanajenga sehem hatarishi kwa maisha ya watu.
Eti......sijui kwanin wasitafute eneo jingine kubwa zaidi, siyo kwenye mbanano hapo JangwaniJangwani hapo kwenye bwala la vyura [emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi ni ngonjera tu, hamna kitu hapo kwani hata mwaka 2008 chini ya Manji walisema hivyo hivyoHabari njema Tumeipokea kupitia Ujumbe wa Rais wa Club: Injinia Hersi.
Uwanja utajengwa kwa Udhamini wa moja kwa moja wa GSM.
View attachment 2900696
#Daimambelenyumamwiko#
Aige nini?Hiyo ni hatua kubwa, muhimu na ya kuigwa.
Mo wetu kule Simba naye aige, sio kubwabwaja tu na janja janja kibao.
Ndugu kama ulizoea kuingizwa mkenge huko ulikotoka basi pole sana sio huku Yanga. Sasa ngoja nikwambie kitu either by fund raising or any way Ghalib kazi yake inaweza kuwa ni kutafuta funds na kuongezea kwemye mradi. Lets assume mradi ukagharimu bilion 50 ikaja taasisi kama CRDB, NBC, PSSSF, NMB na nyinginezo wakagawana percent zao kuchangia mradi ikapatikana bilion 40 then hii 10 inayobaki ndio anaweza kuingia GSM either kwa kutoa cash au kutafuta wadhamini wake wengine by fund raising, mikopo or whatever.sasa kama wanatoa hela kwa nini ujenzi usianze ????
na kushiriki ujenzi maana yake nini, wanatoa hela yote au kamchango kama sunah???
na sio GSM itashariki. Ni Ghalib atashiriki. Kama mtu! Kwa mujibu wa andiko la Yanga wenyewe! Anaweza kushiriki kwenye matembezi ya fund raising! Manake hawajasema atatoa hela!
Usimhukumu mleta mada ambae amebandika tangazo kama lilivyo! Soma tangazo la Yanga! Msituingize mikenge kama ilivyo kawaida.
Try Again, Mangungu na yule PonjoroAige nini?
Inawezekana wakaanza ,kweli wafanye press live hivi halafu ikawa kiki?
Sent using Jamii Forums mobile app