Imetimia sasa, Yanga kuanza Ujenzi wa Uwanja wa Kisasa Jangwani


Dah wabongo wajuajj sana na roho ya wivu husda, vyovyote vile ni jambo la kumuunga mkono
 
Sio rahisi kihivyo labda kama anawatengenezea pitch na kuzungungusha kuta nne kama manungu kule turiani
 
Weka akiba ya maneno mkuu
Akiba ya maneno niliiweka kuanzia miaka ya 70 huko mpk Leo hamna lolote kazi ni kutaja tu uwanja utajengwa utajengwa. Tena na hivi serikali inaongeza viwanja vingine sidhani kama Simba na Yanga watajenga uwanja
 
Serikali inaangalia watu wanajenga bondeni halafu kukitokea maafa mtamlaumu Nani?

Yanga wanajenga sehem hatarishi kwa maisha ya watu.
 
Ndugu kama ulizoea kuingizwa mkenge huko ulikotoka basi pole sana sio huku Yanga. Sasa ngoja nikwambie kitu either by fund raising or any way Ghalib kazi yake inaweza kuwa ni kutafuta funds na kuongezea kwemye mradi. Lets assume mradi ukagharimu bilion 50 ikaja taasisi kama CRDB, NBC, PSSSF, NMB na nyinginezo wakagawana percent zao kuchangia mradi ikapatikana bilion 40 then hii 10 inayobaki ndio anaweza kuingia GSM either kwa kutoa cash au kutafuta wadhamini wake wengine by fund raising, mikopo or whatever.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…