Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

So JK alijificha.

Sasa unaniuliza mimi. Kwani mimi nimesema jk alikuwa Adui?
Embu kasome niliyemnukuu. Yeye anasema JK hakuwa rafiki wa Lowasa mimi nikamwambia Juzi JK kasema walikuwa marafiki Wakubwa.

Wewe ukasema kwenye msiba Watu Husema hivyo nikakujibu wapo waliohojiwa hawakusema wao ni marafiki wa Lowasa kwa sababu inajulikana.
Urafiki sio Siri
 
Hakuna ubaya aliyofanya JK hata mmoja;

Unataka kuniambia JK ndio alikuwa ni last say nani awe Rais au asiwe? Au mlitaka amwambie lowassa asichukue form ?

Naomba kurudia tena, decision ya nani aende nani asiende, sio individual decision , ni group decision yaani inner circle wale ma elite. Kama elite wapo 12 , mmoja atakuwa na nguvu ya kuamua maamuzi ya wote ?

Edo alishakataliwa first day , JK anaingiaje ?
Au nafasi ya Urais ni ushikaji na family decision! ?

Kosa la JK lipo wap?

Wekeni hard evidence

Ishu ya Richmond , Edo hajui taratibu za utumishi na namna govt inafanya kazi ?

Kama kweli alipikiwa zengwe, then he was never smart and unfit for the throne
Ni ukweli kwamba Jk alimsaliti Edo kisa alitaka ndugu yake Membe ndio awe. Wajumbe wa halmashauri kuu walipoona Jk amemkata Edo, nao wakalipiza kwa kumkataa Membe- ikumbukwe Lowasa alikuwa na ufuasi mkubwa ktk halmashauri.
Usiseme watu waweke hard evidence - here is not a court of law, it's a court of public opinion
 
N
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Ndugu umeamua kujizima data na uonekane kituko. Watanzania sio wajinga kama zamani. Kila kitu kipo wazi. Kikwete, ndiye fisadi mkuu wa Richmond. Lakin akamtupia zigo Lowasa. Ndio maana, unaona hata, Mwanasheria muongo mwakyembe aliyepangwa na JK ili kumchafua Lowasa,hakuonekana.Kikwete , aliamua kumtoa Lowasa kweye U PM, kwa kuwa, Lowasa, alikuwa, anaonekana kama Rais kuliko yeye.Pili, JK akiwa mwenyekiti wa CCM aliondoa jina la Lowasa kwenye kinyanganyiro cha Urais wa, CCM,ili nduguye membe awe Rais. Lakin Mungu hakukubali. CCM wote wanajua Hilo. Hayo mashambulizi anayopata ni mwanzo tu. Bado atakuja kuhaibika. Uhuni aliowafanyia watu wengine ataumbuka tu. Mungu ni mkubwa ndugu. Endelea kujizima data.
 
Nionyeshe usafi wa JK kidogo tu?

Kuna mtu mlafi kama huyo?
Bonge la muongo
Bonge la fisadi.

Rejea Escrow, Richmond nk
Richmond na ESCROW ziliibuka JK akiwa rais sawa na si sahihi kusema kwamba mabaya yote yaliyotokea kipindi ch awam ya nne yalifanywa na JK.
 
Katika hilo kundi nani alikuwa na ushawishi zaidi ya Mwenzake?
ni lowassa, mzee wa watu alijitahidi kuweka mitandao yao sawa ya kutwaa madaraka kwa matumaini kwamba rafiki yake naye atakuja kumsaidia lakini akatoswa mbali achafuke ashindwe kuwa na sifa ya kufikia maono yake
 
Katika hilo kundi nani alikuwa na ushawishi zaidi ya Mwenzake?
ni lowassa, mzee wa watu alijitahidi kuweka mitandao yao sawa ya kutwaa madaraka kwa matumaini kwamba rafiki yake naye atakuja kumsaidia lakini akatoswa mbali achafuke ashindwe kuwa na sifa ya kufikia maono yake
 
Una uhakika wanaccm wote walitaka Edo awe Rais? Na uhakika gani unao kwamba watanzania waliamua Edo awe Rais wao?

Huwa mnafanyia wapi tafiti zenu? Acheni kujidanganya kwenye vijiwe vya kahawa mnaokoteza vijistori basi unakimbilia Jf.

JK hana mamlaka ya kuwachagulia watanzania nani awe Rais bali mchakato unaanzia ndani ya chama kisha wanaachiwa watanzania waamue.

Kama watanzania waliamua Edo awe Rais mbona alivyoenda upande wa pili hakufanikiwa kuwa Rais?
Kuna mambo mawili:
1. Kushinda urais.
2. Kutangazwa mahindi wa urais.
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Huyo mzee ni zaidi ya mchawi....na bado damu ya JPM inamsubiri...atadedi kwa mateso sana
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
hii ni hoja mjarabu,iliyoandikwa kuwaweka sawa,wale wasiojua kuhusu urais,mbona Salim hakuupata uraisi,kwahiyo watu wake nao watukane?Urais anautoa Mungu pekee,kwani nani alitegemea Mzee Mwinyi angekuwa rais?
Acheni unafiki,mwacheni Jk apumzike shubamiti
 
So what ? Ni lazima kufanya hivo ?they were never friends , ni watu wanaofahamiana tu .

Sio lazima kumjulia hali, kuna sheria inasema ni lazima aende?

Msilazimishe vitu ambavyo HAVIPO
Lowassa was not a saint , ni mtu kama watu wengine
na angeenda wangesema kaenda kumjoki au kumuua.
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
LILAAAAAAAXXXX
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Kikwete ATASEMWA MILELE UTAKE USITAKE KWANZA WEWE NI NANI KATIKA NCHI HII MPAKA UTUZUIE?
 
Nakwambia hivi, last say ya Lowassa asiwe rais ilikuwa mikononi mwa Kikwete. WanaCCM walishaamua Lowassa awe mgombea wao na watanzania walishaamua Lowassa awe rais wao, lakini JK akasema never, never, never forever.
we ni mpumbavu unakumbuka marehemu mkapa alivyouzima uke wimbo wa tunaimani na lowassa ambao uliimbishwa na nchimbi na sofia simba? sasa mkapa ndio kikwete?
 
Wapi? Weka data kaka achana na hizo street words.

Kabla majina ya kwenda halmashauri kupigiwa kura, yalichakatwa kwanza ndani na inner circle , inner circle hakai mtu 1

Ni kamati
: kati ya hayo yaliyorudi ni 5 . Lowasa na wengine waliachwa , mbona hao waliokatwa pia haijawa a concern?

JK hana uwezo wa kuchagua ni nani awe rais
Marehemu benad angekuwa rais

Na hao unaosema walimtaka EDO ni mamluki ambao walishakula 10% ; ndani yao pia walikuwepo watu wa uongo
Pia Mungu ni mkubwa kuna mpango mkubwa sana ulikuwa unaandaliwa wa kuila nchi hii kupitia,uraisi wa edo lakini Mungu aliuzima
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Kitu muhim unachotakiwa kujifunza hapa usimuamin binadamu hasa akiwa mzaramo.
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Afadhari ya mchawi unajua ni adui kuliko huyo Mzee wa msoga.
Ningekuwa ni mimi ningeandika Wosia kabisa nikifa asifike msibani wala sitaki kuzikwa na chama cha wanafiki.
Nimefurahi maamuzi ya familia kuto onesha mwili wa Lowasa kwa wanafiki.
 
Back
Top Bottom