fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
hii ni dalili ya usongo wa mawazoNi ukweli kwamba Jk alimsaliti Edo kisa alitaka ndugu yake Membe ndio awe. Wajumbe wa halmashauri kuu walipoona Jk amemkata Edo, nao wakalipiza kwa kumkataa Membe- ikumbukwe Lowasa alikuwa na ufuasi mkubwa ktk halmashauri.
Usiseme watu waweke hard evidence - here is not a court of law, it's a court of public opinion
Wapi nimemtaja kikwete?Lowasa aliwahi kutoka hadharani kulalamika kwamba JK ndiye alimsaliti?
Au ni mawazo yako tu yanakupeleka na kukuendesha? Maana hakuna mahali Lowasa alimtaja JK kwa kumsababishia baya lolote.
ni kwa vile hujui kituN
Ndugu umeamua kujizima data na uonekane kituko. Watanzania sio wajinga kama zamani. Kila kitu kipo wazi. Kikwete, ndiye fisadi mkuu wa Richmond. Lakin akamtupia zigo Lowasa. Ndio maana, unaona hata, Mwanasheria muongo mwakyembe aliyepangwa na JK ili kumchafua Lowasa,hakuonekana.Kikwete , aliamua kumtoa Lowasa kweye U PM, kwa kuwa, Lowasa, alikuwa, anaonekana kama Rais kuliko yeye.Pili, JK akiwa mwenyekiti wa CCM aliondoa jina la Lowasa kwenye kinyanganyiro cha Urais wa, CCM,ili nduguye membe awe Rais. Lakin Mungu hakukubali. CCM wote wanajua Hilo. Hayo mashambulizi anayopata ni mwanzo tu. Bado atakuja kuhaibika. Uhuni aliowafanyia watu wengine ataumbuka tu. Mungu ni mkubwa ndugu. Endelea kujizima data.
Yaaah kuna siku atakuja kupewa uraisi chizi mmoja na watu wasiamini macho yao kisa tu wale wanufaika wa hicho cheo wameona atawafaa kwa maslai yao, hiyo ni hatari sana mkuuUko sahihi kabisa kwa haya maelezo yako, utakuta watu wanasema sijui inner circle, unaweza kudhani ni watu makini sana, kumbe maamuzi Yao huendana na usalama wa maslaha Yao binafsi. Katika mazingira hayo yoyote anaweza kuwa rais, Ili mradi hiyo inner circle iwe na uhakika wa maslahi Yao kulindwa.
Sasa unaniuliza mimi. Kwani mimi nimesema jk alikuwa Adui?
Embu kasome niliyemnukuu. Yeye anasema JK hakuwa rafiki wa Lowasa mimi nikamwambia Juzi JK kasema walikuwa marafiki Wakubwa.
Wewe ukasema kwenye msiba Watu Husema hivyo nikakujibu wapo waliohojiwa hawakusema wao ni marafiki wa Lowasa kwa sababu inajulikana.
Urafiki sio Siri
Jk alipe watu Ili filamu iigizwe ya urafiki wao na mwisho wao kushindwa kuzikana.Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?
Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?
Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.
Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;
Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?
Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.
Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?
Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.
Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?
The story is myth , it never happened but it happens always !
JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !
Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .
JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?
Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .
JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu
Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Wewe ni fala unayemponda Jakaya .Wewe ni mpumbavu unaye mtetea jakaya
Kikwete ni msaliti, period!Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?
Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?
Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.
Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;
Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?
Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.
Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?
Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.
Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?
The story is myth , it never happened but it happens always !
JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !
Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .
JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?
Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .
JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu
Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Hivi manataka watu wagawane vyeo? Au mlikuwa mna msilahi binafsi na huyu mtu?([emoji1621] na mwandishi wetu wa kwenye misiba ya viongozi)
MSIBA umemalizika na kilichobaki kwa sisi tunaomini YESU ni Mwokozi na Mlinzi wa maisha yetu tunajukumu la kuiombea familia ya Lowassa ili Mungu awape amani na awaangazie fadhili na nuru za uso wake.
Kamati iliyopanga ratiba kule Monduli mna nafasi yenu peponi na hakika Hayati Lowassa atakuwa anafuraha sana huko aliko kwa kuwa MLIKATAA UNAFIKI NA KUFYEKELEA MBALI OMBI NA JINA LA JAKAYA KIKWETE kuwekwa kuwa miongoni mwa watu wa kuongea kwenye mazishi yale.
Mmefanya jambo la maana sana na hili mtalipwa na Mungu na mmemtendea sawa sana Hayati Lowassa kwa kuwa kukubali mtu huyu kuongea kwenye mazishi yake wakati alimtendea mambo machafu sana wakati wa uhai wake na kushindwa hata kwenda kumuona akiwa mgonjwa mngekuwa mnamkosea sana Mzee Lowassa na angefadhaika sana huko aliko.
Hiki mlichokifanya ndiyo maana halisi ya farsafa ya UBAYA UBAYA TU. Yaani hauwezi ukamtendea vibaya mtu akiwa hai halafu ukataka usubiri amekufa ndiyo uende kujikosha kuwa eti alikuwa
Kuondokewa na rafiki wa karibu sio mchezo.Ukimuona mtu anaongea kwenye msiba wa rafiki wa karibu,ujuwe ana moyo mgumu na amejikaza sana.(✍🏿 na mwandishi wetu wa kwenye misiba ya viongozi)
MSIBA umemalizika na kilichobaki kwa sisi tunaomini YESU ni Mwokozi na Mlinzi wa maisha yetu tunajukumu la kuiombea familia ya Lowassa ili Mungu awape amani na awaangazie fadhili na nuru za uso wake.
Kamati iliyopanga ratiba kule Monduli mna nafasi yenu peponi na hakika Hayati Lowassa atakuwa anafuraha sana huko aliko kwa kuwa MLIKATAA UNAFIKI NA KUFYEKELEA MBALI OMBI NA JINA LA JAKAYA KIKWETE kuwekwa kuwa miongoni mwa watu wa kuongea kwenye mazishi yale.
Mmefanya jambo la maana sana na hili mtalipwa na Mungu na mmemtendea sawa sana Hayati Lowassa kwa kuwa kukubali mtu huyu kuongea kwenye mazishi yake wakati alimtendea mambo machafu sana wakati wa uhai wake na kushindwa hata kwenda kumuona akiwa mgonjwa mngekuwa mnamkosea sana Mzee Lowassa na angefadhaika sana huko aliko.
Hiki mlichokifanya ndiyo maana halisi ya farsafa ya UBAYA UBAYA TU. Yaani hauwezi ukamtendea vibaya mtu akiwa hai halafu ukataka usubiri amekufa ndiyo uende kujikosha kuwa eti alikuwa