Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa


Ata wewe unajua hilo swala ni la uongo vifo vilishatolewa maelezo na video zipo za watu waliokamatwa kwa ubebaji haramu.
Vip kuhusu Azori, Ben Saanane + Mh. Lissu ambaye hakufa?
 
mzee wa msoga aka Jaakaya au muzazi mwenza wako huko eti eh! Jamaa mtaaluma wa ile mijambo muache madam afurahie! Madam Fatma kafunikwa jumla!
 
We unalipa kodi kias gan ad uanze kumpangia Raisi nn cha kufanya na kwa wakat gan
Walipa kodi wakubwa wako kmy sabu wanajua umuimu wa ziara ya Raisi ww mwanaharakati tena unaetumia ID feki humu JF unataka kuhoji na kumshauri Rais arudi wakat hujui nn kilimpeleka uko

2030 mbali bado jaman sjui mtateseka ad lin mtakufa mapema kwa kumeza Nyongo na SSH ndo ad 2030.
 
Vip kuhusu Azori, Ben Saanane + Mh. Lissu ambaye hakufa?
Nilitaka kuweka hilo nilijua tu utakuja na hayo majina mawili; umesahau na wahanga wa Kibiti.

Mambo yote hayo hina ushahidi kama aliamuru yeye mwenyewe binafsi na wala hayo matukio ayakidhi vigezo vya kumuita mtu muuaji.

Yaani mnavyosema jamaa alikuwa katili mtadhani mna ushahidi, hayo mambo ya genocide tuyasikie tu.

Ebu angalieni ata vipindi YouTube vya madikteta kama kina Milosevic salaleeh Albania awawezi msahau miaka mingi sana.
 
Wanawake hoyeee
 

Tumwache Mama afanye kazi jumamosi anakutana na Watanzania wa US ambao wanatuma zaidi ya $400M kwa mwaka unataka akimbilie nini hasa! Unajua kapata kiasi gani cha fedha huku! Tuache ushamba kama wana agenda basi tu pinge agenda. Raisi anatumia nafasi hii kufanya mambo mengine ya serikali. Hapa kuna UN, world bank, watalii, states 50 watu zaidi ya milioni 350 sio saws na kwenda Rwanda yenye watu 12M . Uchumi wa hapa ni $21T akipata wawekezaji ni bora sana kwa nchi yetu
 
ana bahati amekua rais kwenye nchi ya makobe,,,,,,maeneo kama Gabon huko angekuta ikulu ina watu wengine,,,,vyombo vyake vyote vipo nje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nmeamini tz inaweza kujiendesha bila rais hata kwa miaka 30
 
Ok tuseme uko sahihi, alipinga hizo ziara lakini alikuwa anaua raia wake. Je kipi ni kabaya kati ya ziara na uuaji wa raia wako kisa tu kakupinga?
Tutajie raia 5 aliowaua
 
Mama anaupiga mwingi [emoji23][emoji23][emoji23]. Mpk amalize utawala kashafanya ziara nchi zote.... Kazi iendelee[emoji28][emoji28]
 
Hivi haki unaweza kuinwea chai, nauliza tu lakini [emoji848]
 
Kuna washauri wake wanamtega aingie mkenge
 
Tulia tozo itumike vizuri😂😂😂😂
 
Hivi mama bado yuko ughaibuni?
Nadhani sasa anawachosha hata wenyeji wake. Sio jambo la kawaida kuwa na ugeni sensitive kama huo katika nchi yako kwa mda mrefu hivyo.
Hivi ni nani anakaimu ofisi kisheria au tunaenda kwa Autopilot? Kama ni VP, lazima iwe kimaandishi/gazeted.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…