Pre GE2025 Imetosha! Wananchi wa Bumbuli tunakataa jina la January Makamba

Pre GE2025 Imetosha! Wananchi wa Bumbuli tunakataa jina la January Makamba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

PendoLyimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
969
Reaction score
1,055
Hatumtaki Januali Makamba sisi wananchi wa jimbo la bumbuli kwa umoja wetu kutoka kata zote za jimbo hili hatutamchagua tena.

imetosha kwa miaka kumi na tano sasa bila huduma za kijamii, hatumtaki mbunge wa msimu kama mtalii. Tunaomba apumzike.

Kwa kauli moja wananchi wa kata zifuatazo tumetuma ujumbe kwa chama cha mapinduzi kuwa hatumtaki tunasema imetosha.
aondoke mara moja kabla aibu haijamkuta.

1. Baga
2. Bumbuli
3. Dule "B"
4. Funta
5. Kisiwani
6. Kwemkomole
7. Mahezangulu
8. Mamba
9. Mayo
10. Mbuzii
11. Mgwashi
12. Milingano
13. Mponde
14. Nkongoi
15. Soni
16. Tamota
17. Usambara
18. Vuga

tunaomba chama chetu kitusikilize yoyote apuuzaye ujumbe na sauti ya wengi ataanguka anguko kuu.

IMG-20250227-WA0026.jpg
IMG-20250227-WA0024.jpg
IMG-20250227-WA0025.jpg
IMG-20250227-WA0022.jpg
IMG-20250227-WA0020.jpg
IMG-20250227-WA0018.jpg
IMG-20250227-WA0021.jpg
IMG-20250227-WA0019.jpg
IMG-20250227-WA0017.jpg
IMG-20250227-WA0015.jpg
IMG-20250227-WA0014.jpg
IMG-20250227-WA0013.jpg
IMG-20250227-WA0012.jpg
 
IMETOSHA! WANANCHI WA BUMBULI TUNAKATAA JINA LA JANUARY MAKAMBA

Kwa miaka 15 sasa, wananchi wa Jimbo la Bumbuli tumekuwa tukihadaiwa na ahadi zisizotekelezeka. Tumeshuhudia mbunge wa msimu, anayejitokeza tu nyakati za uchaguzi kama mtalii, kisha kutoweka bila kutatua matatizo yetu ya msingi. Leo, kwa umoja wetu, tunasema IMETOSHA!

Jimbo letu limebaki nyuma kimaendeleo, huku wananchi wakikosa huduma muhimu kama maji safi, barabara za uhakika, huduma bora za afya, na fursa za kiuchumi. Tumechoka na tunasema hatutamchagua tena January Makamba. Tunamtaka apumzike, na tunatoa wito kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kutusikiliza, kwani sauti ya wananchi ni sauti ya Mungu.
WhatsApp Image 2025-02-27 at 13.24.42_df7d605f.jpg

WhatsApp Image 2025-02-27 at 13.24.41_0ddc5642.jpg

WhatsApp Image 2025-02-27 at 13.24.44_f94976b4.jpg
Wananchi wa kata zote 18 za Jimbo la Bumbuli kwa kauli moja tunasema:

1. Baga
2. Bumbuli
3. Dule "B"
4. Funta
5. Kisiwani
6. Kwemkomole
7. Mahezangulu
8. Mamba
9. Mayo
10. Mbuzii
11. Mgwashi
12. Milingano
13. Mponde
14. Nkongoi
15. Soni
16. Tamota
17. Usambara
18. Vuga

Tumesema kwa kauli moja: January Makamba hatufai tena! CCM isituangushe kwa kupuuza sauti yetu. Yeyote atakayepuuza ujumbe huu ataanguka ANGUKO KUU.
WhatsApp Image 2025-02-27 at 13.24.43_7757b2c9.jpg
 
Daa nishafika huko kipnd flan kwa kwel huyo mmbuge ni kichomii...barabara ni za ovyo hazipitiki ikichangiwa na ile milima ndo kabisaa....huyo uhaluwatani ushamjaa hawez fanya cha maana..pigeni chini
 
Nendeni chadema, ACT, NCCR, TLP Kuna wagombea pia huko. Chama cha Mapinduzi kina taratibu zake na wewe hakika sio moja ya mwanachama wa chama cha mapinduzi.

Hacha kutuletea migogoro yenu kwenye chama cha mapinduzi, maana naona mmeona makamba ni tishio kwa vyama vya upinzani bumbuli
 
Nyie huko hamjuwi mnataka nini na mkipelekewa fursa tu mmelalalala...
Maendeleo yoyote yanaletwa na wenyewe syo mbunge wala rais

Ova
Wewe uko nchi gani Mkuu?
Kila siku nyimbo ni MAMA kaleta maendeleo! MAMA kajenga mahospitali,mashule na Madaraja! Sasa ameshindwa nini kuleta maendeleo Bumbuli?
 
IMETOSHA! WANANCHI WA BUMBULI TUNAKATAA JINA LA JANUARY MAKAMBA

Kwa miaka 15 sasa, wananchi wa Jimbo la Bumbuli tumekuwa tukihadaiwa na ahadi zisizotekelezeka. Tumeshuhudia mbunge wa msimu, anayejitokeza tu nyakati za uchaguzi kama mtalii, kisha kutoweka bila kutatua matatizo yetu ya msingi. Leo, kwa umoja wetu, tunasema IMETOSHA!

Jimbo letu limebaki nyuma kimaendeleo, huku wananchi wakikosa huduma muhimu kama maji safi, barabara za uhakika, huduma bora za afya, na fursa za kiuchumi. Tumechoka na tunasema hatutamchagua tena January Makamba. Tunamtaka apumzike, na tunatoa wito kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kutusikiliza, kwani sauti ya wananchi ni sauti ya Mungu.

Wananchi wa kata zote 18 za Jimbo la Bumbuli kwa kauli moja tunasema:

1. Baga
2. Bumbuli
3. Dule "B"
4. Funta
5. Kisiwani
6. Kwemkomole
7. Mahezangulu
8. Mamba
9. Mayo
10. Mbuzii
11. Mgwashi
12. Milingano
13. Mponde
14. Nkongoi
15. Soni
16. Tamota
17. Usambara
18. Vuga

Tumesema kwa kauli moja: January Makamba hatufai tena! CCM isituangushe kwa kupuuza sauti yetu. Yeyote atakayepuuza ujumbe huu ataanguka ANGUKO KUU.
Mama kapita juzi huko,hamkusema,sasa unatuambia huku JF unafikiri itasaidia nini...
 
Inashangaza sana kweli, Mheshimiwa amekuwa akisifika ni mtu smart sana sasa amekwama wapi kupeleka maendeleo jimboni mwake ata kuwatoa wananchi kwenye hizo nyumba za tope jamani, kashindwa kufikisha umeme REA kwenye hivyo vijiji?
 
Back
Top Bottom