Pre GE2025 Imetosha! Wananchi wa Bumbuli tunakataa jina la January Makamba

Pre GE2025 Imetosha! Wananchi wa Bumbuli tunakataa jina la January Makamba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siyo swala la mleta uzi kuwa mwana CCM au la bali ni fact ambayo ipo na huwezi kushindana nayo. Ni ukweli usiopingika kuwa January hakubaliki huko kwani kwa vipindi vyote vitatu alivyokuwa mbunge alikuwa anapita bila kupingwa kwa kutumia fedha alizofisadi NSSF kuwanunua wapinzani wake wajitoe . Na pia hajafanya lolote katika Jimbo hilo wani huwa haonekani kabisa anakuja nyakati za uchaguzi tu, na jengine ni kuwa huyu alipitishwa kugombea kimagumashi kwa influence ya baba yake wa kufikia Mzee Makamba, huyu hakuzaliwa Jimboni, hakukulia Jimboni wala hajawahi kuishi Jimboni hapo hivyo hajui shida za Jimbo hilo na kuweza kuzisemea.
Unaposema mzee Makamba ni baba yake wa kufikia una maanisha nini? Je wewe ndiye Baba yake? Kwanini unapenda kuropoka ropoka Hovyo hovyo? Nenda kachukue Fomu ushindane naye.
 
Unaposema mzee Makamba ni baba yake wa kufikia una maanisha nini? Je wewe ndiye Baba yake? Kwanini unapenda kuropoka ropoka Hovyo hovyo? Nenda kachukue Fomu ushindane naye.
Hayo mengine kaa kimya huyo mtu wenu asizidi kuumbuka. Sina interest ya kugombea ubunge lakini haininyimi uwezo wa kutambua mbunge anayefaa.Huyo jamaa ni boya ndiyo maana ametemwa uwaziri mara mbili.Usihoji mengi juu yake tukiyamwaga hapa atakuwa uchi na yeye mwenyewe anajua wala hatachukua form.
 
Hatumtaki Januali Makamba sisi wananchi wa jimbo la bumbuli kwa umoja wetu kutoka kata zote za jimbo hili hatutamchagua tena.

imetosha kwa miaka kumi na tano sasa bila huduma za kijamii, hatumtaki mbunge wa msimu kama mtalii. Tunaomba apumzike.

Kwa kauli moja wananchi wa kata zifuatazo tumetuma ujumbe kwa chama cha mapinduzi kuwa hatumtaki tunasema imetosha.
aondoke mara moja kabla aibu haijamkuta.

1. Baga
2. Bumbuli
3. Dule "B"
4. Funta
5. Kisiwani
6. Kwemkomole
7. Mahezangulu
8. Mamba
9. Mayo
10. Mbuzii
11. Mgwashi
12. Milingano
13. Mponde
14. Nkongoi
15. Soni
16. Tamota
17. Usambara
18. Vuga

tunaomba chama chetu kitusikilize yoyote apuuzaye ujumbe na sauti ya wengi ataanguka anguko kuu.

View attachment 3251707View attachment 3251708View attachment 3251709View attachment 3251710View attachment 3251712View attachment 3251713View attachment 3251714View attachment 3251715View attachment 3251716View attachment 3251718View attachment 3251719View attachment 3251720View attachment 3251721
Duh 🙄 !
Jamaa wamemchoka !
 
Hayo mengine kaa kimya huyo mtu wenu asizidi kuumbuka. Sina interest ya kugombea ubunge lakini haininyimi uwezo wa kutambua mbunge anayefaa.Huyo jamaa ni boya ndiyo maana ametemwa uwaziri mara mbili.Usihoji mengi juu yake tukiyamwaga hapa atakuwa uchi na yeye mwenyewe anajua wala hatachukua form.
NOPE, they know all apparent incoming misfortunes and they are the experts of remedying any calamity (a resilient party)
 
Hizo sauti zenu ni kelele tu Labda aamue kutoka mwenyewe. Ndo kwanza rais kamsamehe soon anamrudisha jikoni.
 
Hatumtaki Januali Makamba sisi wananchi wa jimbo la bumbuli kwa umoja wetu kutoka kata zote za jimbo hili hatutamchagua tena.

imetosha kwa miaka kumi na tano sasa bila huduma za kijamii, hatumtaki mbunge wa msimu kama mtalii. Tunaomba apumzike.

Kwa kauli moja wananchi wa kata zifuatazo tumetuma ujumbe kwa chama cha mapinduzi kuwa hatumtaki tunasema imetosha.
aondoke mara moja kabla aibu haijamkuta.

1. Baga
2. Bumbuli
3. Dule "B"
4. Funta
5. Kisiwani
6. Kwemkomole
7. Mahezangulu
8. Mamba
9. Mayo
10. Mbuzii
11. Mgwashi
12. Milingano
13. Mponde
14. Nkongoi
15. Soni
16. Tamota
17. Usambara
18. Vuga

tunaomba chama chetu kitusikilize yoyote apuuzaye ujumbe na sauti ya wengi ataanguka anguko kuu.

View attachment 3251707View attachment 3251708View attachment 3251709View attachment 3251710View attachment 3251712View attachment 3251713View attachment 3251714View attachment 3251715View attachment 3251716View attachment 3251718View attachment 3251719View attachment 3251720View attachment 3251721
Mimi wa kwa mgashi nasema wajimbe kaaataaa.
 
Inashangaza sana kweli, Mheshimiwa amekuwa akisifika ni mtu smart sana sasa amekwama wapi kupeleka maendeleo jimboni mwake ata kuwatoa wananchi kwenye hizo nyumba za tope jamani, kashindwa kufikisha umeme REA kwenye hivyo vijiji?
Mkuu hawa jamaa wana utamaduni wa hovyo, wanavuna sana mazao, kisha wanauza yoooote wanaanza kwenda dukani kwa mangi kununua roborobo. Boha sasa....linanyweka hatari. Hawabadiliki
 
presidential material wa hapo sebuleni kwenu wewe na mama zako labda
jimbo lipo hivyo awe rais nchi itakuaje?eti presidential material!
kiingereza unakijua hata? unajua mana yake?
yule mvuta bangi na tambuu ndio presidential material?
Acha hasira, nenda Kanye, mpuuzi mkubwa
 
Kwamba wanataka kuifanya Bumbui kuwa jimbo la familia ya ukoo wa Makambaa ??!
😆😆😆
 
Taarifa za kitafiti zinathibitisha kuwa changes lead into improvements always

Ni bongo tu ndio unakuta mtu anakuwa mbunge wa awamu kadhaa wengine hadi użre kama Mkuchikaa
 
Kuna wabunge wa tangu enzi za Mwalimu .
Iła bongo 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom