Siyo swala la mleta uzi kuwa mwana CCM au la bali ni fact ambayo ipo na huwezi kushindana nayo. Ni ukweli usiopingika kuwa January hakubaliki huko kwani kwa vipindi vyote vitatu alivyokuwa mbunge alikuwa anapita bila kupingwa kwa kutumia fedha alizofisadi NSSF kuwanunua wapinzani wake wajitoe . Na pia hajafanya lolote katika Jimbo hilo wani huwa haonekani kabisa anakuja nyakati za uchaguzi tu, na jengine ni kuwa huyu alipitishwa kugombea kimagumashi kwa influence ya baba yake wa kufikia Mzee Makamba, huyu hakuzaliwa Jimboni, hakukulia Jimboni wala hajawahi kuishi Jimboni hapo hivyo hajui shida za Jimbo hilo na kuweza kuzisemea.