Pre GE2025 Imetosha! Wananchi wa Bumbuli tunakataa jina la January Makamba

Pre GE2025 Imetosha! Wananchi wa Bumbuli tunakataa jina la January Makamba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu hawa jamaa wana utamaduni wa hovyo, wanavuna sana mazao, kisha wanauza yoooote wanaanza kwenda dukani kwa mangi kununua roborobo. Boha sasa....linanyweka hatari. Hawabadiliki
Si wanatakiwa wapewe elimu tuu hasa vijana na wasaidiwe walime mashamba makubwa sio vi robo heka badala ya madraft tena yenye picha yake maanake anataka vijana waendelee kushinda vijiweni
 
Nendeni chadema, ACT, NCCR, TLP Kuna wagombea pia huko. Chama cha Mapinduzi kina taratibu zake na wewe hakika sio moja ya mwanachama wa chama cha mapinduzi.

Hacha kutuletea migogoro yenu kwenye chama cha mapinduzi, maana naona mmeona makamba ni tishio kwa vyama vya upinzani bumbuli
Taratibu za kugawa rushwa sio!
 
Back
Top Bottom