Tetesi: Imevuja, Chadema na Tundu Lissu wachomoa kukutana na Richard Quest wa CNN

Tetesi: Imevuja, Chadema na Tundu Lissu wachomoa kukutana na Richard Quest wa CNN

Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
MAMBO NI FIRE acha mhenga nicheke tu.
 
Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Yan mahojiano ya Lisu ndo yanazungumziwa hiviii kweli watanzania tunajiaibisha sana alafu uyo unae msema mbona ata hausikiii na politic issues muwe bas mnasoma bibliography zao kabla hamjawataja watu kwenye post zenu ulie mtaja uyu hapa

Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
View all
Richard Austin Quest is an English journalist and a CNN International anchor and reporter, based in New York City. He anchors Quest Means Business. In addition to anchoring the five-times-weekly business programme, Quest hosts the monthly programme CNN Business Traveller and CNN Marketplace Europe.

Na Tundu lisu wap na wap acheni ushabiki usio na maana fanyeni kaz
 
Thesis yake ameindika na kupresent kwa lugha ya kiingereza!Kwa mfumo wa elimu yetu,hairuhusiwi kutumia lugha ya kiswahili sekondari mpaka chuo kikuu!
Ndio maana nimeingiza suala la Phd maana presentation yake ilikuwa kwa kimombo!
Nilikua sijui kama kwenda kuhojiwa BBC ni sawa na kuwa chuoni. Jamani wakati mwingine tusidhalilishe elimu zetu. Mkuu ulivyoandika inaonekana umeenda shule lakini shule yako haijakusaidia katika general knowledge.
 
Hii mimi niliwashauri tangu jana .Mwambieni mtu wenu huyo aachane kwanza na ziara zake hizo apate ushauri kwa chama chake.
Yeye amejiandaa tu kwa ajili ya kwenda kushambulia serikali wakati wanaomhoji wamejiandaa kuhoji kwa kupata ukweli na ushahidi.
Kumhoji ni "Formality" tu, ukweli woote wanaujua.
 
Hii mimi niliwashauri tangu jana .Mwambieni mtu wenu huyo aachane kwanza na ziara zake hizo apate ushauri kwa chama chake.
Yeye amejiandaa tu kwa ajili ya kwenda kushambulia serikali wakati wanaomhoji wamejiandaa kuhoji kwa kupata ukweli na ushahidi.
Kumhoji ni "Formality" tu, ukweli woote wanaujua.
 
Nilikua sijui kama kwenda kuhojiwa BBC ni sawa na kuwa chuoni. Jamani wakati mwingine tusidhalilishe elimu zetu. Mkuu ulivyoandika inaonekana umeenda shule lakini shule yako haijakusaidia katika general knowledge.
Aisee,unachomiss ni nini hapa?Naona kama hata huelewi hoja yangu!
Nikiwa naenda Eindhoven Univ of technology,moja ya requirements zao ni lazima upitie mtihani wa kiingereza wa IELTS venue za british council,maswali yalikuwa challanging tena on recording!Examiners walikuwa wanakuja kusikiliza tape!
Nawaza,alipass vipi mtihani huo kama tu hata hawezi kuongoa sentesi moja kwa ufasaha????Maana najua kuna course alisoma nje ya nchi!
 
Yan mahojiano ya Lisu ndo yanazungumziwa hiviii kweli watanzania tunajiaibisha sana alafu uyo unae msema mbona ata hausikiii na politic issues muwe bas mnasoma bibliography zao kabla hamjawataja watu kwenye post zenu ulie mtaja uyu hapa

Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
Image result for richard quest
View all
Richard Austin Quest is an English journalist and a CNN International anchor and reporter, based in New York City. He anchors Quest Means Business. In addition to anchoring the five-times-weekly business programme, Quest hosts the monthly programme CNN Business Traveller and CNN Marketplace Europe.

Na Tundu lisu wap na wap acheni ushabiki usio na maana fanyeni kaz
Una uelewa mdogo wa mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa labda na wewe ni mmoja wa wapendwa wa wengi huko Ulaya . Mpendwa wako Lissu ameongea wazi wazi kuwa yeye ni Pro - Ushoga . Ila sisi Watanzania tuliolelewa katika malezi tukuka hatuwezi kukubali Watanzania wachahe waliojiunga katika kikundi kiitwacho CHADEMA kutuletea tabia mbaya za kishoga katika ardhi yetu . Mwongelee huko huko BBC ,CNN na Al Jazeera wanako entertain tabia zenu za kishoga
Ondoa hii takataka yako, Mahiga ndio alikubali ushoga kitambo kwa niaba ya serikali alafu unataka kutuambia nini wewe.
 
Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]

Haya Eng. Soma hiyoo nasema soma hiyo alaaaaa
 

Attachments

  • 1548345280828.png
    1548345280828.png
    29.9 KB · Views: 31
Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Lazima waelewe kwamba wanahabari wa vyombo vikubwa wamegawana kitaaluma. Quest ni mtu wa biashara na uchumi. Sasa kweli Lissu anaweza kuhojiwa biashara na uchumi akasema lolote? Tuwe wakweli tu sijawahimsikia akitaja tarakimu yoyote toka kichwani, na biashara na uchumi ni tarakimu, mbona itakuiwa ni aibu?
 
Lazima waelewe kwamba wanahabari wa vyombo vikubwa wamegawana kitaaluma. Quest ni mtu wa biashara na uchumi. Sasa kweli Lissu anaweza kuhojiwa biashara na uchumi akasema lolote? Tuwe wakweli tu sijawahimsikia akitaja tarakimu yoyote toka kichwani, na biashara na uchumi ni tarakimu, mbona itakuiwa ni aibu?
Kwahiyo Lissu hawezi kuwa rais?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom