Tetesi: Imevuja, Chadema na Tundu Lissu wachomoa kukutana na Richard Quest wa CNN

Kwa taarifa yako ata akipoteza ubunge sio shida hadhi yake iko pale pale
Kama walimnyima hela ya matibab na tukachanga unadhan n nan wa kumzuia!?
Polen
Mpen pole alieandika risala ya msiba maana marehem kafufuka
Kwann mnateseka!???


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaja tarakimu basi unakuwa mchumi??Hizi akili za lumumba kazi kweli kweli,aliyewaloga kafa!
 
CCM propaganda, na uzuzu wenu
 
Ukitaja tarakimu basi unakuwa mchumi??Hizi akili za lumumba kazi kweli kweli,aliyewaloga kafa!
Uchumi ni tarakimu, lakini tarakimu siyo uchumi. Kuna sehemu uliwahi ona uchumi bila tarakimu?
 
Mna mahaba na lisu,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemuunga mkono aliyesema Lissu hafai kuwa Rais kwasababu sio mchumi,ukamuunga mkono!Ndio maana nimeuliza hilo swali!Sasa hao wengine wamekuwaje Marais bila kuwa wachumi?Tumekosea?
Wenzio ndio wanasema Lissu hawezi kuhojiwa na Richard sababu kipindi chake hujikita masuala ya biashara na uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzio ndio wanasema Lissu hawezi kuhojiwa na Richard sababu kipindi chake hujikita masuala ya biashara na uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana ni kweli maana uchambuzi wa uchumi unahitaji uwe umebobea kwenye taaluma hiyo,unless kipindi kiwe kinahoji uchumi kiujumla jumla bila kuingia ndani kwenye details!
Urais ni taasis,huwezi kupata Rais ambaye ni mchumi,mwanasheria,daktari,Engineer nk!Ndio maana anakuwa na team ambayo imejaa wataalam kutoka fani mbalimbali!
 
Dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Richard Quest pia ni shoga waziwazi. Ijumaa ya 18/4/2008 alikamatwa Central Park New York akifumuliwa marinda na njemba huku wakiwa high kwenye madawa ya kulevya ya methamphetamine, na madawa mengine alikuwa nayo kwenye soksi.

Lakini kwakuwa kufumuana marinda huko kwao ni ruksa, alikamatwa kwa kosa la kuwa ndani ya Central Park saa 9 za usiku wakati Park ilishafungwa saa 7 za usiku.
Na police report ilionyesha pia alikutwa akiwa amejifunga kamba shingoni na upande mwingine wa kamba umefunga mapumbu yake na penisi (Mambo ya SM sex hayo 😉). Walikutwa pia na vifaa vingine vya kutanua zaidi marinda.
Mwisho wa siku akahukumiwa kwenda tu rehab kwa miezi 6 ili aache kutumia madawa.

Enzi hizo Quest alikuwa mdaku sana wa kuripoti mambo ya mahusiano ya watu wengine maarufu, tangu yamkute, amekuwa akijikita sana kwenye uchumu na siasa.
Nakumbuka ni vyombo vya udaku tu kama TMZ ndo viliripoti hii. Vyombo vikubwa viliingia makubaliano na CNN kuwa wasiripoti na kwenda mbele hawataripoti tena personal scandals za watu wao.

Inawezekana baada ya sintofahamu ya kuwa ushoga bongo ruksa 2020 tutakapompa nchi Lissu, wapambe wameona labda wasubiri upepo upite kabla gwiji la MarindaWazi halijaingia kwenye picha.
 
Lumumba mnaweweseka sana na bado mwaka huu mtanena mpaka kwa lugha,pumbavu kabisa nyie! .
 
Daa Tundu Atipas Mugwai Lissu yupo juu sana Duniani kwa sasa ndo maana Watanzania karibu wote wake kwa waume tunafuatila habari zake maana isingelikuwa hivyo asingelitunyima usingizi, Viva baba lao viva Lissu umetushika pabaya vilivyo kwa sasa paka tushike adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…