Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
- #141
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hataki kurudi mbona analilia ubunge?Aje muue, ameshawashutukia, wale waliotaka kumuua bado wapo na wanamsubiri
Hujui kitu kamandaLabda unggesema Christiane Amanpour? quest na Lissu wapi na wapi?
Kamanda unahamisha magoli,kwa hiyo Tundu Lissu kama mgombea urais hajui chochote kuhusu biasharaWakudadavua, mimi ni mzee mwenzio, sio kijana kama unavyodhani, umekosea au niseme uzusha, kama hataenda atakuwa na sababu nyingine; ungesema alitaka akutane na Mrs. Christine Amanpour ningekuelewa. Acha uzushi, ni dhambi.
Nakuona Mujahidin wa LumumbaAnatafuta chakula chake na familia yake tu walahi
Ujinga ni mzigo.Ndugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Labda ahojiwe na "nyundo ya baruani"[emoji12] [emoji13] [emoji14] [emoji14] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Lissu kawafanya mkakijua icho kipindi cha hardtalk ebu mwambieni jiwe ajaribu hata kuongea na salim kikeke tu au tido mhando tena kwa kiswahili tuone huo uharo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naona wewe ndo unataka kulazimisha tuamini unachokiamini . Sio kificho wala sio siri clips zote alizoongea Lissu zipo mitandaoni na hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima na busara zake anayekubaliana na porojo anazoongea . Sasa kwa suala la kwenda CCN na Al Jazeera ni kwenda kujizika kisiasa maana hakuna atakachoongea zaidi ya kudhihakiwa na hao wanamhoji .Huna haja ya kuweweseka na kuanza kucompare mahojiano yote mawili na kutoka na hii poor solution uliyoiweka hapa kwani kila mtu ana namna yake ya kuperceive kile alichosikia na kukiinterpret according to the situation aliyonayo na mazingira aliyopo!
Kwa maana nyingine ni kuwa, wewe siyo mhitimishaji wa mwisho wa wengine bali hayo ni mawazo na matazamo wako ambao unaukwepa ukweli na kuzamia kwenye itikadi! Tumia angle ya kisomi ili angalau uutendee haki usomi wako!
HakikaMimi naona wewe ndo unataka kulazimisha tuamini unachokiamini . Sio kificho wala sio siri clips zote alizoongea Lissu zipo mitandaoni na hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima na busara zake anayekubaliana na porojo anazoongea . Sasa kwa suala la kwenda CCN na Al Jazeera ni kwenda kujizika kisiasa maana hakuna atakachoongea zaidi ya kudhihakiwa na hao wanamhoji .
Waumia nini sasa wewe. Ngoja aende Tuendelee kumuona mpendwa WA Wengi.Mimi naona wewe ndo unataka kulazimisha tuamini unachokiamini . Sio kificho wala sio siri clips zote alizoongea Lissu zipo mitandaoni na hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima na busara zake anayekubaliana na porojo anazoongea . Sasa kwa suala la kwenda CCN na Al Jazeera ni kwenda kujizika kisiasa maana hakuna atakachoongea zaidi ya kudhihakiwa na hao wanamhoji .
Mwambie awe anajiandaa kabla ya mahojianoWaumia nini sasa wewe. Ngoja aende Tuendelee kumuona mpendwa WA Wengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamanda jenga hoja usijichekesheHahaha magamba yameanza kutokota.
Kwenda zako wewe. Nani anamuwaza????safi sana Lissu, anazidi kuwapeleka watu puta hawalali wanamuwaza yeye tu.
Hongera Lissu endelea kuanika maovu yao