Tetesi: Imevuja, Chadema na Tundu Lissu wachomoa kukutana na Richard Quest wa CNN

Tetesi: Imevuja, Chadema na Tundu Lissu wachomoa kukutana na Richard Quest wa CNN

Wakudadavua, mimi ni mzee mwenzio, sio kijana kama unavyodhani, umekosea au niseme uzusha, kama hataenda atakuwa na sababu nyingine; ungesema alitaka akutane na Mrs. Christine Amanpour ningekuelewa. Acha uzushi, ni dhambi.
Kamanda unahamisha magoli,kwa hiyo Tundu Lissu kama mgombea urais hajui chochote kuhusu biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Ujinga ni mzigo.

Quest si lazima uende US kufanya naye interview. Anaweza kumfuata TL huko huko Belgium.

Ya Uhuru walifanyia Nairobi.
 
Lissu kawafanya mkakijua icho kipindi cha hardtalk ebu mwambieni jiwe ajaribu hata kuongea na salim kikeke tu au tido mhando tena kwa kiswahili tuone huo uharo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ahojiwe na "nyundo ya baruani"[emoji12] [emoji13] [emoji14] [emoji14] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna haja ya kuweweseka na kuanza kucompare mahojiano yote mawili na kutoka na hii poor solution uliyoiweka hapa kwani kila mtu ana namna yake ya kuperceive kile alichosikia na kukiinterpret according to the situation aliyonayo na mazingira aliyopo!
Kwa maana nyingine ni kuwa, wewe siyo mhitimishaji wa mwisho wa wengine bali hayo ni mawazo na matazamo wako ambao unaukwepa ukweli na kuzamia kwenye itikadi! Tumia angle ya kisomi ili angalau uutendee haki usomi wako!
Mimi naona wewe ndo unataka kulazimisha tuamini unachokiamini . Sio kificho wala sio siri clips zote alizoongea Lissu zipo mitandaoni na hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima na busara zake anayekubaliana na porojo anazoongea . Sasa kwa suala la kwenda CCN na Al Jazeera ni kwenda kujizika kisiasa maana hakuna atakachoongea zaidi ya kudhihakiwa na hao wanamhoji .
 
Mimi naona wewe ndo unataka kulazimisha tuamini unachokiamini . Sio kificho wala sio siri clips zote alizoongea Lissu zipo mitandaoni na hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima na busara zake anayekubaliana na porojo anazoongea . Sasa kwa suala la kwenda CCN na Al Jazeera ni kwenda kujizika kisiasa maana hakuna atakachoongea zaidi ya kudhihakiwa na hao wanamhoji .
Hakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naona wewe ndo unataka kulazimisha tuamini unachokiamini . Sio kificho wala sio siri clips zote alizoongea Lissu zipo mitandaoni na hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima na busara zake anayekubaliana na porojo anazoongea . Sasa kwa suala la kwenda CCN na Al Jazeera ni kwenda kujizika kisiasa maana hakuna atakachoongea zaidi ya kudhihakiwa na hao wanamhoji .
Waumia nini sasa wewe. Ngoja aende Tuendelee kumuona mpendwa WA Wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom