Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa kuu ya hao vijakazi ni matusiHivi nyie mataga mnafeli wapi? Mtu kapandisha uzi wake kistaarabu mnaanza kumtukana matusi!
Kwani bila kutukana hauwezi kujibu kwa hoja?
Wacheni tabia za kitoto hapa janvini kama hamna hoja rudini fb mliko zoea matusi Drone Camera,
Yaani kwa majivuno wanayo mpa kiongozi wao na kuona kuwa matatizo yote ya mtz, ameyamaliza nilidhania, wala hawatakuwa hata na haja ya kutumia nguvu na vihoja ili ashinde tena!!! Kwanini hawajiamini na kwa mazuri yote wanayodai wameyafanya, KISHINDOOOO CHA AWAMU YA TANO!!!Watahangaika sana ila mwisho wao hauko mbali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hatari sana.Mimi binafsi katika uchaguzi huu lazima Niue mtu wa ccm
Wee!!Watahangaika sana ila mwisho wao hauko mbali.
Mkuu kwa haya ya nambari 3 CHADEMA kama ispojipanga itapoteza kura nyingi sana.3.Ccm wanapanga kuitumia Corona virus-2019 pamoja na Ushoga kwaajili ya kuichafua Chadema.Hapa mchezo upo hivi;
a) Ccm watawaambia Watanzania wasio na ufahamu ya kwamba "Chadema siyo watu wazuri,wakati serikali inapambana na Corona wao Chadema walitabiri kuwa Watanzania mtakufa kama kuku" kitu ambacho siyo kweli
b) Pia,ccm watawaaminisha Watanzania kuwa Chadema wana-support ushoga kitu ambacho siyo kweli kwa kuwa ccm wao ndyo anao-support ushoga kwa kuliingiza Taifa kwenye mikataba yenye masharti magumu likiwemo suala la kukubaliana na ushoga ili nchi ipate misaada
Thread closedKinachoweza kuwa mkakati wa CCM katika list yako ni kimoja tu yaani:
2. Wagombea wa Chadema watakuwa wananyimwa vibali vya mikusanyiko kwa kigezo cha Corona,kutokuwepo kwa usalama na hata ikibidi watakuwa wanatumwa vijana wa ccm waliovaa sare za Chadema kufanya fujo na kuwakataa wagombea wa Chadema ili ionekane kuwa wanachama wa Chadema wanawakataa viongozi wao
Hayo mengine yooote tumejitakia wenyewe.
1. Kuhusu kununuliwa, waanzilishi wa kununuliwa ni Mwenyekiti na Lissu walipokubali kukiuza chama kwa CCM 2015. Sasa kama Mwenyekiti na makamu wake wananunulika utawalaumu makamanda huku chini?
3. Kuhusu Corona CCM hawahitaji mkakati wowote kwa sababu watanzania wote walijionea wenyewe CHADEMA walichokuwa wanakitaka kwenye mapambano ya Corona.
4. Kuhusu Ushoga tumlaumu Lissu kutupaka matope alipokuwa anahojiwa na Steve kwenye Hard Talk.
Labda kama CCM walimtumia Lissu kukichafua CHADEMA.
Mm nadhani kuhusu viongozi kuuza chama si kweli hakuna ushahidi wa hiloKinachoweza kuwa mkakati wa CCM katika list yako ni kimoja tu yaani:
2. Wagombea wa Chadema watakuwa wananyimwa vibali vya mikusanyiko kwa kigezo cha Corona,kutokuwepo kwa usalama na hata ikibidi watakuwa wanatumwa vijana wa ccm waliovaa sare za Chadema kufanya fujo na kuwakataa wagombea wa Chadema ili ionekane kuwa wanachama wa Chadema wanawakataa viongozi wao
Hayo mengine yooote tumejitakia wenyewe.
1. Kuhusu kununuliwa, waanzilishi wa kununuliwa ni Mwenyekiti na Lissu walipokubali kukiuza chama kwa CCM 2015. Sasa kama Mwenyekiti na makamu wake wananunulika utawalaumu makamanda huku chini?
3. Kuhusu Corona CCM hawahitaji mkakati wowote kwa sababu watanzania wote walijionea wenyewe CHADEMA walichokuwa wanakitaka kwenye mapambano ya Corona.
4. Kuhusu Ushoga tumlaumu Lissu kutupaka matope alipokuwa anahojiwa na Steve kwenye Hard Talk.
Labda kama CCM walimtumia Lissu kukichafua CHADEMA.
Na hilo ni la CCM kweli?
Kwahiyo wagombea wachadema ni wasanii tu,mpaka wanakubali kununuliwa?