Uchaguzi 2020 Imevuja: Jinsi CCM wanavyopanga kuihujumu CHADEMA

Uchaguzi 2020 Imevuja: Jinsi CCM wanavyopanga kuihujumu CHADEMA

Habar za muda huu ndugu wanabodi

Sote tunafahamu ya kwamba mwaka huu (2020) patakuwepo na uchaguzi hot. Habari kutoka kwenye vyanzo vya ndani zinadai kuwa CCM wamejipanga kukihujumu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kufanya mambo ya aibu kama ifuatavyo;

1. Kuwanunua wagombea wa CHADEMA (hasa nafasi za Ubunge na Udiwani). Hapa mchezo utakuwa hivi; wakati kampeni zikiwa zinaendelea baadhi ya wabunge wa CHADEMA hasa wale wenye ushawishi na wanaohisiwa kushinda uchaguzi watakuwa wananunuliwa kwa fedha cash na kuahidiwa vyeo baada ya uchaguzi. Hapa mgombea wa CHADEMA akiisha kununuliwa na kuahidiwa cheo au vyeo anajitoa kwenye kinyang'anyiro cha ugombea na kuungana na CCM. CHADEMA kuweni makini sana na aina ya watu mtakaowateua kwenye nafasi tofautitofauti

2. Wagombea wa CHADEMA watakuwa wananyimwa vibali vya mikusanyiko kwa kigezo cha Corona, kutokuwepo kwa usalama na hata ikibidi watakuwa wanatumwa vijana wa CCM waliovaa sare za CHADEMA kufanya fujo na kuwakataa wagombea wa CHADEMA ili ionekane kuwa wanachama wa CHADEMA wanawakataa viongozi wao

3. CCM wanapanga kuitumia Corona virus-2019 pamoja na Ushoga kwaajili ya kuichafua CHADEMA. Hapa mchezo upo hivi;

a) CCM watawaambia Watanzania wasio na ufahamu ya kwamba "CHADEMA siyo watu wazuri, wakati Serikali inapambana na Corona wao CHADEMA walitabiri kuwa Watanzania mtakufa kama kuku" kitu ambacho siyo kweli

b) Pia, CCM watawaaminisha Watanzania kuwa CHADEMA wana-support ushoga kitu ambacho siyo kweli.

MWISHO, kataa CCM 2020 mwaga Pombe 2020 weka Tundu 2020 la kupitisha maendeleo ktk nyanja zote!
Tunaenda kuchagu wapinzani
 
Sasa kama CHADEMA ni watu wa kujiuza na kununuliwa tu, tukiwapa nchi si watatuuza hawa? hilo la ushoga kwani uongo? hata la Covid-19 pia ni kweli na watanzania wanalijua hilo.
 
Habar za muda huu ndugu wanabodi

Sote tunafahamu ya kwamba mwaka huu (2020) patakuwepo na uchaguzi hot. Habari kutoka kwenye vyanzo vya ndani zinadai kuwa CCM wamejipanga kukihujumu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kufanya mambo ya aibu kama ifuatavyo;

1. Kuwanunua wagombea wa CHADEMA (hasa nafasi za Ubunge na Udiwani). Hapa mchezo utakuwa hivi; wakati kampeni zikiwa zinaendelea baadhi ya wabunge wa CHADEMA hasa wale wenye ushawishi na wanaohisiwa kushinda uchaguzi watakuwa wananunuliwa kwa fedha cash na kuahidiwa vyeo baada ya uchaguzi. Hapa mgombea wa CHADEMA akiisha kununuliwa na kuahidiwa cheo au vyeo anajitoa kwenye kinyang'anyiro cha ugombea na kuungana na CCM. CHADEMA kuweni makini sana na aina ya watu mtakaowateua kwenye nafasi tofautitofauti

2. Wagombea wa CHADEMA watakuwa wananyimwa vibali vya mikusanyiko kwa kigezo cha Corona, kutokuwepo kwa usalama na hata ikibidi watakuwa wanatumwa vijana wa CCM waliovaa sare za CHADEMA kufanya fujo na kuwakataa wagombea wa CHADEMA ili ionekane kuwa wanachama wa CHADEMA wanawakataa viongozi wao

3. CCM wanapanga kuitumia Corona virus-2019 pamoja na Ushoga kwaajili ya kuichafua CHADEMA. Hapa mchezo upo hivi;

a) CCM watawaambia Watanzania wasio na ufahamu ya kwamba "CHADEMA siyo watu wazuri, wakati Serikali inapambana na Corona wao CHADEMA walitabiri kuwa Watanzania mtakufa kama kuku" kitu ambacho siyo kweli

b) Pia, CCM watawaaminisha Watanzania kuwa CHADEMA wana-support ushoga kitu ambacho siyo kweli.

MWISHO, kataa CCM 2020 mwaga Pombe 2020 weka Tundu 2020 la kupitisha maendeleo ktk nyanja zote!
Nina mashaka na akili ya mleta uzi, Chadema bado mna ndoto za kuchukua dola kweli!?😂😂😂,
 
As
Yaani kwa majivuno wanayo mpa kiongozi wao na kuona kuwa matatizo yote ya mtz, ameyamaliza nilidhania, wala hawatakuwa hata na haja ya kutumia nguvu na vihoja ili ashinde tena!!! Kwanini hawajiamini na kwa mazuri yote wanayodai wameyafanya, KISHINDOOOO CHA AWAMU YA TANO!!!
Aksante na wewe umesikika, vijana wa siku hizi bhana 😀😀.
 
Kama noma na iwe noma pumbavu tuta deal nao wamepanic hao
Liwalo na liwe Sasa wadhubutu kuleta Huo mchezo wao
 
Habar za muda huu ndugu wanabodi

Sote tunafahamu ya kwamba mwaka huu (2020) patakuwepo na uchaguzi hot. Habari kutoka kwenye vyanzo vya ndani zinadai kuwa CCM wamejipanga kukihujumu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kufanya mambo ya aibu kama ifuatavyo;

1. Kuwanunua wagombea wa CHADEMA (hasa nafasi za Ubunge na Udiwani). Hapa mchezo utakuwa hivi; wakati kampeni zikiwa zinaendelea baadhi ya wabunge wa CHADEMA hasa wale wenye ushawishi na wanaohisiwa kushinda uchaguzi watakuwa wananunuliwa kwa fedha cash na kuahidiwa vyeo baada ya uchaguzi. Hapa mgombea wa CHADEMA akiisha kununuliwa na kuahidiwa cheo au vyeo anajitoa kwenye kinyang'anyiro cha ugombea na kuungana na CCM. CHADEMA kuweni makini sana na aina ya watu mtakaowateua kwenye nafasi tofautitofauti

2. Wagombea wa CHADEMA watakuwa wananyimwa vibali vya mikusanyiko kwa kigezo cha Corona, kutokuwepo kwa usalama na hata ikibidi watakuwa wanatumwa vijana wa CCM waliovaa sare za CHADEMA kufanya fujo na kuwakataa wagombea wa CHADEMA ili ionekane kuwa wanachama wa CHADEMA wanawakataa viongozi wao

3. CCM wanapanga kuitumia Corona virus-2019 pamoja na Ushoga kwaajili ya kuichafua CHADEMA. Hapa mchezo upo hivi;

a) CCM watawaambia Watanzania wasio na ufahamu ya kwamba "CHADEMA siyo watu wazuri, wakati Serikali inapambana na Corona wao CHADEMA walitabiri kuwa Watanzania mtakufa kama kuku" kitu ambacho siyo kweli

b) Pia, CCM watawaaminisha Watanzania kuwa CHADEMA wana-support ushoga kitu ambacho siyo kweli.

MWISHO, kataa CCM 2020 mwaga Pombe 2020 weka Tundu 2020 la kupitisha maendeleo ktk nyanja zote!
Sasa hivi wananunua vitambulisho vya kupigia kura
Wakati tume inafanya uhakiki wa daftari la kudumu, ccm walikuwa na mtu wao kila kata nae alikuwa anaandikisha hivyo vitambulisho na namba za simu
 
Kama hii ndio thinking (tank) na uchambuzi nyuma ya Chadema, basi you are done.
Chama kinakosa hata capability ya kujadili na kuwasilisha kwa umma kanuni za uchaguzi mpya za hovyo zilizoandaliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi na sasa ziko ofisini kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali zinaandaliwa kichapishwa! Halafu mnakuja na hizi nonsense speculations! Maskini Chadema.
Ninawaeleza mtachinjwa asubuhi kabala ya makasha ya Kura kufunguliwa. Tafuteni wataalam wawasaidieni acheni huu upuuzi hamfiki popote. Chama huongozwa na mipango kisayansi, siyo hisia.
 
Habar za muda huu ndugu wanabodi

Sote tunafahamu ya kwamba mwaka huu (2020) patakuwepo na uchaguzi hot. Habari kutoka kwenye vyanzo vya ndani zinadai kuwa CCM wamejipanga kukihujumu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kufanya mambo ya aibu kama ifuatavyo;

1. Kuwanunua wagombea wa CHADEMA (hasa nafasi za Ubunge na Udiwani). Hapa mchezo utakuwa hivi; wakati kampeni zikiwa zinaendelea baadhi ya wabunge wa CHADEMA hasa wale wenye ushawishi na wanaohisiwa kushinda uchaguzi watakuwa wananunuliwa kwa fedha cash na kuahidiwa vyeo baada ya uchaguzi. Hapa mgombea wa CHADEMA akiisha kununuliwa na kuahidiwa cheo au vyeo anajitoa kwenye kinyang'anyiro cha ugombea na kuungana na CCM. CHADEMA kuweni makini sana na aina ya watu mtakaowateua kwenye nafasi tofautitofauti

2. Wagombea wa CHADEMA watakuwa wananyimwa vibali vya mikusanyiko kwa kigezo cha Corona, kutokuwepo kwa usalama na hata ikibidi watakuwa wanatumwa vijana wa CCM waliovaa sare za CHADEMA kufanya fujo na kuwakataa wagombea wa CHADEMA ili ionekane kuwa wanachama wa CHADEMA wanawakataa viongozi wao

3. CCM wanapanga kuitumia Corona virus-2019 pamoja na Ushoga kwaajili ya kuichafua CHADEMA. Hapa mchezo upo hivi;

a) CCM watawaambia Watanzania wasio na ufahamu ya kwamba "CHADEMA siyo watu wazuri, wakati Serikali inapambana na Corona wao CHADEMA walitabiri kuwa Watanzania mtakufa kama kuku" kitu ambacho siyo kweli

b) Pia, CCM watawaaminisha Watanzania kuwa CHADEMA wana-support ushoga kitu ambacho siyo kweli.

MWISHO, kataa CCM 2020 mwaga Pombe 2020 weka Tundu 2020 la kupitisha maendeleo ktk nyanja zote!


unapoteza tu mda wako na ulichoandika: kwanza hakuna mtu atatumia gia corona na cha pili jamaa anakubalika yeye mwenyewe kama mwenyewe ukiachana na kwamba ni presida: jamaa ameenda tu kukagua mradi wa fly over lakini watu walivoojaa utadhan anafanya kampeni kumbe kaja kukagua tu

1592942145814.png


1592942171770.png


huezi amini ilikua ni mchana na jua kali lakini watu wamengangana
 
Habar za muda huu ndugu wanabodi

Sote tunafahamu ya kwamba mwaka huu (2020) patakuwepo na uchaguzi hot. Habari kutoka kwenye vyanzo vya ndani zinadai kuwa CCM wamejipanga kukihujumu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kufanya mambo ya aibu kama ifuatavyo;

1. Kuwanunua wagombea wa CHADEMA (hasa nafasi za Ubunge na Udiwani). Hapa mchezo utakuwa hivi; wakati kampeni zikiwa zinaendelea baadhi ya wabunge wa CHADEMA hasa wale wenye ushawishi na wanaohisiwa kushinda uchaguzi watakuwa wananunuliwa kwa fedha cash na kuahidiwa vyeo baada ya uchaguzi. Hapa mgombea wa CHADEMA akiisha kununuliwa na kuahidiwa cheo au vyeo anajitoa kwenye kinyang'anyiro cha ugombea na kuungana na CCM. CHADEMA kuweni makini sana na aina ya watu mtakaowateua kwenye nafasi tofautitofauti

2. Wagombea wa CHADEMA watakuwa wananyimwa vibali vya mikusanyiko kwa kigezo cha Corona, kutokuwepo kwa usalama na hata ikibidi watakuwa wanatumwa vijana wa CCM waliovaa sare za CHADEMA kufanya fujo na kuwakataa wagombea wa CHADEMA ili ionekane kuwa wanachama wa CHADEMA wanawakataa viongozi wao

3. CCM wanapanga kuitumia Corona virus-2019 pamoja na Ushoga kwaajili ya kuichafua CHADEMA. Hapa mchezo upo hivi;

a) CCM watawaambia Watanzania wasio na ufahamu ya kwamba "CHADEMA siyo watu wazuri, wakati Serikali inapambana na Corona wao CHADEMA walitabiri kuwa Watanzania mtakufa kama kuku" kitu ambacho siyo kweli

b) Pia, CCM watawaaminisha Watanzania kuwa CHADEMA wana-support ushoga kitu ambacho siyo kweli.

MWISHO, kataa CCM 2020 mwaga Pombe 2020 weka Tundu 2020 la kupitisha maendeleo ktk nyanja zote!
Mkuu na wale wanaoenda ACT wamenunuliwa na CCM?mbona mumeanza kujinyea mapema namna hii.
 
Habar za muda huu ndugu wanabodi

Sote tunafahamu ya kwamba mwaka huu (2020) patakuwepo na uchaguzi hot. Habari kutoka kwenye vyanzo vya ndani zinadai kuwa CCM wamejipanga kukihujumu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kufanya mambo ya aibu kama ifuatavyo;

1. Kuwanunua wagombea wa CHADEMA (hasa nafasi za Ubunge na Udiwani). Hapa mchezo utakuwa hivi; wakati kampeni zikiwa zinaendelea baadhi ya wabunge wa CHADEMA hasa wale wenye ushawishi na wanaohisiwa kushinda uchaguzi watakuwa wananunuliwa kwa fedha cash na kuahidiwa vyeo baada ya uchaguzi. Hapa mgombea wa CHADEMA akiisha kununuliwa na kuahidiwa cheo au vyeo anajitoa kwenye kinyang'anyiro cha ugombea na kuungana na CCM. CHADEMA kuweni makini sana na aina ya watu mtakaowateua kwenye nafasi tofautitofauti

2. Wagombea wa CHADEMA watakuwa wananyimwa vibali vya mikusanyiko kwa kigezo cha Corona, kutokuwepo kwa usalama na hata ikibidi watakuwa wanatumwa vijana wa CCM waliovaa sare za CHADEMA kufanya fujo na kuwakataa wagombea wa CHADEMA ili ionekane kuwa wanachama wa CHADEMA wanawakataa viongozi wao

3. CCM wanapanga kuitumia Corona virus-2019 pamoja na Ushoga kwaajili ya kuichafua CHADEMA. Hapa mchezo upo hivi;

a) CCM watawaambia Watanzania wasio na ufahamu ya kwamba "CHADEMA siyo watu wazuri, wakati Serikali inapambana na Corona wao CHADEMA walitabiri kuwa Watanzania mtakufa kama kuku" kitu ambacho siyo kweli

b) Pia, CCM watawaaminisha Watanzania kuwa CHADEMA wana-support ushoga kitu ambacho siyo kweli.

MWISHO, kataa CCM 2020 mwaga Pombe 2020 weka Tundu 2020 la kupitisha maendeleo ktk nyanja zote!
LOOoo, mkuu, hizi ni hujuma, au ni mchezo wa 'kindergaten'!

Sioni hujuma yoyote hapo.

CHADEMA wakishindwa kukabili hizi unazoziita 'hujuma' basi hawajawa tayari kukabidhiwa nchi, na hawastahiri kamwe kumlalamikia yeyote.

Hujuma kama za kuzuia magazeti yasitangaze habari za vyama vya upinzani, naona hii umeisahau...; hii nayo ni hujuma inayowashinda wapinzani kuikabili?

Kawastue CCM, kama hizo ndizo hujuma walizopanga, watafanikiwa tu kama wapinzani wataruhusu ujinga huo

Ukiniambia hujuma, kama za kuwaweka ndani viongozi wote wa upinzani wakati wa kampeni hadi uchaguzi, hapo nitaanza kukusikiliza kwa umakini mkubwa.

CCM wakianza kutumia dola kuwavuruga na kuwapiga wapinzani, nitakusikiliza, na pengine kuanza kuchangia mawazo ya kujikinga zidi ya hujuma kama hizo.

Hao vijana wa CCM wasiotambulika kwa vile tu wamejivika magwanda ya CHADEMA, wao hawana nyama na damu? Hakuna hata mmoja CHADEMA wasioweza kuwatambua kwamba hao sio vijana wao?

Huko CHADEMA hakuna vijana?

Mkuu, mada yako ni nyepesi mno. Hukutumia muda vizuri kuibuni. Nenda kajaribu tena.
 
Back
Top Bottom