Uchaguzi 2020 Imevuja: Jinsi CCM wanavyopanga kuihujumu CHADEMA

Tunao ufahamu akuna wa kutudanganya
 
MWISHO, kataa CCM 2020 mwaga Pombe 2020 weka Tundu 2020 la kupitisha maendeleo ktk nyanja zote!
Chadema haina wagombea wenye nguvu kwa sasa,wote walishatimka wamebaki misukule ya Mbowe
Mpaka sasa hata wewe huna uhakika kama Mbowe anaweza kumuachia Lissu agombee
 
Siyo CCM ndo watuambie kuhusu ushoga wa Chadema bali kila mmoja wetu anajua, pia kila mtanzania anaujua msimamo wa Chadema katika suala la Corona kwamba walitamani watu wafe wengi ili kujijengea popularity ya lockdown waliyokuwa wanaitaka wao. siyo mambo ya siri hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…