Imevuja: Maromboso yuko kwenye penzi zito na Queen Darleen

Imevuja: Maromboso yuko kwenye penzi zito na Queen Darleen

Familia zingine tabu tupu mnaweza jaliwa pesa lakini hekima na heshima mkakosa na kinyume chake!!


Hekima na heshima ni nini, kudate na wahenga? Mi naona kinyume chake, ukichukua dogodogo ndio heshima. Vizee hata Nyalugusu vipo.
 
Kwanza nyi mnamuona Mboso mdogo? Kijeba tu hicho, unajua watu wengi wanaokulia kijijini wanadumaa.
 
Hekima na heshima ni nini, kudate na wahenga? Mi naona kinyume chake, ukichukua dogodogo ndio heshima. Vizee hata Nyalugusu vipo.
Aisee use-force tufanane kila la kheri mkuu!
 
Ni kitu kizuri sana, kama watapendana kweli...
 
c010b3dd95504b3e2f6c346470ace3e6.jpg
kwa nini umekata caption

Angalia sehemu za kupiga ngumi kaka utakuja kumuua mwenzio [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wahenga wanasema mapenzi ni kikohozi hayawezi kufichika.

Msemo huu umethibitishwa na couple inayokuja kwa kasi kati ya Queen Darlin na Maromboso .

Mboso alijitahidi sana kuficha ficha lakini Queen Darlin ameonekana kukunwa vilivyo na Muhogo wa Jang'ombe wa Mboso na ameshindwa kabisa kujizuia matokeo yake anaonesha waziwazi mahaba niue kwa mpenzi wake huyo bila kujali watu watasemaje juu ya ki Ben ten chake hicho [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Huko Sauzi walipoenda kwenye sherehe ya Nillan wamegandana kila mahali kama kumbikumbi vile.

Na kwa sasa Diamond hana budi kumuheshimu Mboso kama shemeji yake na wala si kama msanii wake tu.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona majimama safari hii yamechachamaaa kujibebea vi Ben ten yamechoka kuguswa guswa na kutiwa tu shombo na vizee sasa wanataka wakamuliwe haswaaa[emoji108] [emoji108] [emoji108] .

View attachment 658119
C9MbDzNXoAMq4DZ.jpg
 
Mapenzi ni kizungumkuti,yaani unavyokuwa karibu na demu hata kama hana mvuto unajikuta unampenda hivyo hivyo mpaka kuliwa papuchi
 
Back
Top Bottom