IMF April 2019 GDP Figures. Kenya Hits $99 Billion.. Tanzania Overtaken by Ghana

Unamaliza nafasi

Unamaliza nafasi tu bure hapa kwa kuandika hot air
 
Nje ya nairobi wanaishi wanyama sio watu
Hata hapo nairobi kwenyewe kuna maajabu pia huwez pata ulimwengu kote
 
Huna pesa ya kulipa matibabu where is GDP???πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
hii sindano kumbe hyu jamaa wa failed state imemchoma...bwahahaaa...watoto kul kinyesi wapo
 
Yani Ghana nchi ndogo kama mikoa ya TZ imeipiku Tanzagiza ichoboy01 ? weka picha za kibera ujiliwaze... bure kabisa
 
Yani Ghana nchi ndogo kama mikoa ya TZ imeipiku Tanzagiza ichoboy01 ? weka picha za kibera ujiliwaze... bure kabisa
Imeipiku kwenye GDP za kwenye karatasi na sio uhalisia wa maisha ya watu

Rejea kwenye maisha ya watu ndio utajua nafasi yenu iko wapi as a failed state
 
Kenyans' quality of life is higher than that of Tanzanians.
 
ichoboy01 ningezaliwa mtz ningejinyonga yani ghana imewashinda??? Na usiseme ni wa makaratasi juu mko nambari 10. Kuipiku Kenya msahau afu kwanza mjaribu kuipiku ghana na sioni mkiweza.
 
mko sawa kwa sector zote mbona gdp yenu ni kidogo hivo
 
hahaha jinyonge buda hadi ghana imewazidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…