Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 20,648
- 17,772
Direct from Zanzibar. Do you have any other question?Huyo hana ushahidi wowote anapayuka kama anao utafute ulete humu tuuone,anaunga unga tu hana jipywaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Direct from Zanzibar. Do you have any other question?Huyo hana ushahidi wowote anapayuka kama anao utafute ulete humu tuuone,anaunga unga tu hana jipywaaaaa
Hakuna muhuri wa Wala sahihi ya serikali Sasa napata vipi uhakika? Sidhani kama ni ushahidi tosha mkuuDirect from Zanzibar. Do you have any other question?
View attachment 1442857
Hizo data rudisha ulikotoa na ushughulike na majanga yanayoikumba nchi yako.Direct from Zanzibar. Do you have any other question?
View attachment 1442857
Hizo data rudisha ulikotoa na ushughulike na majanga yanayoikumba nchi yako.
Itabidi arudishe alikotoa.Hapa mtu unakuwa na uhakika kwakuwa ni public media na haziwezi ongea pumba lkn sijaona vifo 39 kama inavyo daiwa
Hospitals kubwakubwa Tanzania zimejengwa kila upande mnakumbuka ule Uzi wa huduma za afya wakenya mlikimbia .Tanzania kwenye huduma za afya tunakimbizana na south afrika sio Kenya ndo maana wakenya wengi wanakuja Tz kupata huduma nzuri za afya.Alafu hawa wa huku ndio wanaezapinga wivu na developments za Kenya. Ebu cheki hapa venye vigogo wao wameshangazwa na achievements za Kenya.
Wana tapatapa tu. Shida yao wanatamani sana mabaya kuliko mema ya nchi. kizuri akuu kibaya sasa dah!Itabidi arudishe alikotoa.
Huo sio msaada, hilo ni "KOPO", yaani unakopa kwa ajili ya " recurrent expenditure ", ikiwa mikopo ya miradi yenye kuzalisha pesa wameshindwa kulipa, je hii ya kinunulia masks na Sanitizers watalipaje?.
Ila juhudi zao za kupima na kutangaza zinaanza kuzaa matunda, lengo lao ni kutaka kupata sababu ya kupata mikopo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio furaha yao kubwa maana lockdown na curfew zimeshindwa kuzaa matunda kule kwao kwa hiyo inabidi hasira wazihamishie Tz 😂Wana tapatapa tu. Shida yao wanatamani sana mabaya kuliko mema ya nchi. kizuri akuu kibaya sasa dah!
Tangu lini financial support to businesses ikawa ni recurrent expenditure? Anyway, mungu wenu jiwe sasa anaanza kuonja matunda ya kupika data.
Hospitals kubwakubwa Tanzania zimejengwa kila upande mnakumbuka ule Uzi wa huduma za afya wakenya mlikimbia .Tanzania kwenye huduma za afya tunakimbizana na south afrika sio Kenya ndo maana wakenya wengi wanakuja Tz kupata huduma nzuri za afya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye lockdown haili ni Tete na visa vinaongezeka na ingewekwa bongo hawahawa wangelaani sanaaaa kuwa tunaiga,Kenya Uganda visa haviongezeki? Si walikuwa na huo mfumo hadi kuuwana kwa risasi kikowapi? Urusi na Simba wao je? Piga kaziiii shukuru kwa Uhuru huoNdio furaha yao kubwa maana lockdown na curfew zimeshindwa kuzaa matunda kule kwao kwa hiyo inabidi hasira wazihamishie Tz 😂
Hospitals kubwakubwa Tanzania zimejengwa kila upande mnakumbuka ule Uzi wa huduma za afya wakenya mlikimbia .Tanzania kwenye huduma za afya tunakimbizana na south afrika sio Kenya ndo maana wakenya wengi wanakuja Tz kupata huduma nzuri za afya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Don't be ridiculous, kipimo Cha coronavirus kipo kimoja nchi nzima ndio mshindane na South Africa? Sema Tanzania inashindana na Burundi, hata Somalia hatuifikii pamoja na kuwa wapo vitani.
Wapinzani haoHizo hospital kubwa kubwa mbona hamuwaambii hawa wakuu wenu wanaoshangaa za kwetu
Mnapenda Sana shida yanii mikopo ituzimeee ingekuwa msaada sawa lkn mkopo hata aunishtui
Ndio shida ya copy and paste ili waonekane wapo sahihi kumbe kwa ground mambo ni different yaani wanaoumia ni raia wa kawaida.Kwenye lockdown haili ni Tete na visa vinaongezeka na ingewekwa bongo hawahawa wangelaani sanaaaa kuwa tunaiga,Kenya Uganda visa haviongezeki? Si walikuwa na huo mfumo hadi kuuwana kwa risasi kikowapi? Urusi na Simba wao je? Piga kaziiii shukuru kwa Uhuru huo
Wapinzani raia wa Nigeria au Somalia...