Mzeee Suleiman
Senior Member
- May 6, 2020
- 116
- 65
Nakwambia kwa Tanzania hadi maduka yatavunjwa mi nawaambia. Tusiombe kufika hukoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakwambia kwa Tanzania hadi maduka yatavunjwa mi nawaambia. Tusiombe kufika hukoo
Hii pesa inauma watanzania sana😂😂. Sijui ni because hawajaipata ama nini?
Wewe ni mbuzi, nani kakudanganya kuwa Zanzibar anatuma report WHO?You should praise God for the stupidity he gave you. This is what Zanzibar gave WHO.
View attachment 1442884
Ukweli uchungu.Wewe ni mbuzi, nani kakudanganya kuwa Zanzibar anatuma report WHO?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa loan, wangesema IMF issues loan.Kama msaada hongera yao Ila Kama mkopo bc wakenya wanageuzwa fursa ya uchumi kipindi hiki kigumu Cha korona, pia sizani Kama mzungu anaroho hiyo ya kutoa chake bure heradius12
Sent using Jamii Forums mobile app
Ficha upuuzi wako.Hospitals kubwakubwa Tanzania zimejengwa kila upande mnakumbuka ule Uzi wa huduma za afya wakenya mlikimbia .Tanzania kwenye huduma za afya tunakimbizana na south afrika sio Kenya ndo maana wakenya wengi wanakuja Tz kupata huduma nzuri za afya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehee, i see, you're right.Ndio furaha yao kubwa maana lockdown na curfew zimeshindwa kuzaa matunda kule kwao kwa hiyo inabidi hasira wazihamishie Tz [emoji23]
Wajinga hawaI DON'T BELIEVE THAT KENYANS ARE GOING TO BE A BENEFICIARY, THIS LOAN WIL END OF THE DAY GOING TO BE A VERY BENEFICIAL TO WHITE PEOPLE SIDE. ALWAYS THEY MAKE MONEY FROM AFRICA THROUGH SUCH KIND OF LOANS!!
888989Nakwambia kwa Tanzania hadi maduka yatavunjwa mi nawaambia. Tusiombe kufika hukoo
naona umerudi [emoji23] [emoji23]
Watoe takwimu za kweli sasa sio za kupika na kushfu bila uhakikaaa hicho tu ndo tunachokitaka
Bx7978Wasema ukweli, wasio danganyika na kupumbazwa na propaganda za ccm, wanajua hali kamili ya nchi, wanapigania haki za wanyonge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kampa mtoto simu?