IMF Executive Board Approves a US$739 Million Disbursement to Kenya to Address the Impact of the COVID-19 Pandemic

Sasa unataka akakope kwaajili ya voucher na maandazi ya wizara ya afya bila sababu ili baada ya maafa tuanze kupiga magoti kiomba kupunguziwa Deni lisilo lipika au tuhalishe mshoga ili Deni kama hilo lifutwe? Lingekuwa na umuhimu hata China wangetukopesha
Jiwe amekopa mara ngapi? Juzi juzi tu kabla ya COVID 19 serikali ilikuwa inajisifia kuwa imepata mkopo kutoka Stanchart kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa reli, ulikuwa msaada huo?
Na kwa hali ya sasa sioni Stanchart wakitoa hata ndururu.
 
Wasema ukweli, wasio danganyika na kupumbazwa na propaganda za ccm, wanajua hali kamili ya nchi, wanapigania haki za wanyonge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wamewahi kusema kwamba serikali imefanya vizuri hata kwenye secta moja?inamaana serikali haijawahi kufanya vizuri hata secta 1?kwenye secta ya afya vitu vinaonekana kwa mfano manyara kuna hospitali ya mkoa na hydom(hospitali ya rufaa) zote ni hospitali kubwa alafu bado hospital za wilaya zinajengwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Keep on hallucinating Mataga.
 
Hizo data rudisha ulikotoa na ushughulike na majanga yanayoikumba nchi yako.
You should praise God for the stupidity he gave you. This is what Zanzibar gave WHO.
 

Attachments

  • IMG_20200507_182801.jpg
    159.5 KB · Views: 2
I DON'T BELIEVE THAT KENYANS ARE GOING TO BE A BENEFICIARY, THIS LOAN WIL END OF THE DAY GOING TO BE A VERY BENEFICIAL TO WHITE PEOPLE SIDE. ALWAYS THEY MAKE MONEY FROM AFRICA THROUGH SUCH KIND OF LOANS!!
 
Na hii imetolewa muda huu.
Hiyo rudisha ulikotoa.
I know you are not happy that Zanzibar has defied Magufuli's order. According to document sent to WHO, Zanzibar has 36 deaths with 235 confirmed cases.
 
Tupe uhakika wa kujieleza wenye mashiko bila kuleta chenga chenga. za kupika zinaleta maswali mengi bila sababu ya msingi,Nb najua hamna lolote zaidi ya ubishi tu
I know you are not happy that Zanzibar has defied Magufuli's order. According to document sent to WHO, Zanzibar has 36 deaths with 235 confirmed cases.
 
I know you are not happy that Zanzibar has defied Magufuli's order. According to document sent to WHO, Zanzibar has 36 deaths with 235 confirmed cases.
Hiyo nenda kaprint utoe na copy kisha ufungie mandazi.
 
Tupe uhakika wa kujieleza wenye mashiko bila kuleta chenga chenga. za kupika zinaleta maswali mengi bila sababu ya msingi,Nb najua hamna lolote zaidi ya ubishi tu
Anafahamu fika kuwa ameshaumbuka ndio maana analeta ubishi wa kijinga.
 
Tupe uhakika wa kujieleza wenye mashiko bila kuleta chenga chenga. za kupika zinaleta maswali mengi bila sababu ya msingi,Nb najua hamna lolote zaidi ya ubishi tu
Since Zanzibar bado hawajadeny the figures, this report utabaki kuwa ukweli.
 
naona umerudi 😂 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…