Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Kanda ya ziwa inaongoza kutoa viongozi bora kwenye taifa hili
Jpm, Makonda, Msukuma, Gwajima na baba yao Nyerere!
Jpm, Makonda, Msukuma, Gwajima na baba yao Nyerere!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere hakuzulumati fedha za wanachama NSSFKanda ya ziwa inaongoza kutoa viongozi bora kwenye taifa hili
Jpm, makonda, msukuma, Gwajima na baba yao Nyerere!
Bupiji nilikuwa nimeisahau aisee..Mimi naona tuwape takwimu ya bupiji ngapi na fukiza plus ngapi na malimau, tangawizi,pilipili kichaa na vitunguu vilivyotumika mpaka sasa na gharama za kujenga mashine ya nyungu ndio watupatie kama msaada, ni vihela vichache tu hamna haja ya kukopeshana, au nasema uongo ndugu zangu ? [emoji205][emoji2223][emoji1787]
Wabongo hatujambo katika kuchangamkia fursa, hii ya tiba asili tulivunja rekodi ya kuwa nchi ya kwanza duniani yenye dawa nyingi za corona kuliko idadi ya wagonjwa wenyewe 🤣Bupiji nilikuwa nimeisahau aisee..
Bongo hii bhana!!!
Ukikubali kuolewa sharti ulale bila chupi!!!!!!. Sisi tuna Elimu lkn hatuna akili. Madini, gesi maziwa utalii lkn bado sisi ni omba omba. W.H.O hawawezi kumvimbia kifua china kwa sababu china hatembezi bakuli.
Aisee umeongea kitu cha maana sana. Hiyo pesa si makusanyo yetu ya mwezi tu. Tunahangaika nayo ya nni?Yaani pesa haifiki hata tilioni 1.5 na tunavyojidai nchi Ina rasilimali za kutosha, kwa nini tusiikatae? Au bado sisi ni masikini? Uchumi wa Kati vipi?
Kwanini usiifanyie wewe kazi as an individual kwanza? Anza kujifungia ndani, kwani lazima uambiwe?Ile Report ifanyiwe KAZI kusita sita kunaturudisha KULE KULE....
Hazipo hizo takwimu, tufanyeje sasa, tutunge feki au?Kwanini takwimu hizi zinafanywa siri?
Kwamba zinafanywa siri ni kutotutendea haki sisi wenyewe kama waathirika nambari 1 wala hata si kwa sababu ya incentive yoyote.
Hiyo ni almost 1Trilion.Yaani pesa haifiki hata tilioni 1.5 na tunavyojidai nchi Ina rasilimali za kutosha, kwa nini tusiikatae? Au bado sisi ni masikini? Uchumi wa Kati vipi?
Awamu hii kama hamtatuletea ushoga sijuiHiyo ni almost 1Trilion.
Kuingiza trilion 1 kwenye uchumi faida zake ni nyingi sana kuliko kuleta kiburi kuikataa.