Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
NCHI unayoishiNchi gani imewahi pigwa Mnada kisa mikopo? Alikutajia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NCHI unayoishiNchi gani imewahi pigwa Mnada kisa mikopo? Alikutajia?
Chura kasema sio yeye ni taasisi ndio inayokopaKuna ulazima wa kuchukua huo mkopo?
Hahaha hahahaha 🤣 umelala usingizi mzito weweKupewa tuu Mkopo manake unaaminika
Usingizi upi?Hahaha hahahaha 🤣 umelala usingizi mzito wewe
Upuuzi,huna hoja unaleta viojaNCHI unayoishi
Ndio Nchi kupigwa Mnada?Huoni bwana matai anaongeza kodi na tozo kufidia mikopo. Tunaoumia sisi wananchi
Abdul atapasuka mwaka humThe same meaning,mikopo ya riba nafuu huitwa grants au concessional loans
Ooho nilijua tu lazima ukaze misuli ya kwapaUpuuzi,huna hoja unaleta vioja
Haipigwi mnada ila utaona sehemu muhimu kuchukuliwa na mabeberu tukishindwa kulipa mikop. Maana kuna nchi zimewahi chukulia viwanja vyao vya ndege kisa mikopo isiyolipika na masharti lukuki.Ndio Nchi kupigwa Mnada?
Toka lini mikopo lukuki inayotumiwa vibaya ikaleta nafuu ya maisha mkuu...hebu nenda kakope hela halafu kanywee pombe kisha utaona maisha yako yatakavyokua mabaya jama ya digi digi ndo kinachotokea kwetu serikali ina matumizi mabaya ya hela halafu tunaumia sisi kwa kodi za ajabu.Kila siku mikopo lakini nafuu ya maisha kutaa hakuna, ina faida kwa nani sasa?!.
Achana na Fitch hao ni agent wa beberu kuendeleza ukamuaji, ni kama dini tuu na kiingereza zilivyosadia kueneza ukoloniUsingizi upi? View attachment 3021921
Huyo chura ndio nani?Chura kasema sio yeye ni taasisi ndio inayokopa
Yupo kwenye taasisi ya urais ameshasema yanayofanyika yote kwenye urais wake sio yeye ni taasisi ndio inaamua kwa hio msijemkaanza kumlaumu yeye ilaumuni taasisi sio yeye yeye hausikiHuyo chura ndio nani?
Unataka ushahidi hapa jukwaani nifuate mubashara nikakunyeshe ushahidi!Una uhakika? Weka ushahidi kiasi kamba IMF ni wapuuzi kiasi hicho au?
Nazihurumia hizo helaBodi ya Wakurugenzi ya IMF imeidhinisha Mkopo kiasi Cha $900 Milioni sawa na karibu Shilingi Trilioni 2.4 Kwa Tanzania Ili kuisaidia kukabiliana na athari za Mabadiliko ya Hali ya hewa kwenye uchumi.
Aidha ieleweke kwamba Serikali inakopo kile ambacho kimeidhinishwa kwenye Bajeti,haifangi kiholela.
Aidha ieleweke kwamba Nchi inakopeshwa Kwa sababu Ina uwezo wa kulipa kulingana na uimara wa Uchumi wake. Sio Kila Nchi inapewa Mkopo.
My Take: Katika kipindi hiki Nchi inatekeleza miradi mikubwa ya Maendeleo, Tuendelee kukopa kwani mikopo inaharakisha maendeleo hususani Miradi ya kimkakati
==============
Shirika la kimataifa la fedha (IMF) Alhamisi limesema bodi yake ya utendaji imeidhinisha ufadhili wa dola milioni 786.2 kwa Tanzania kuisaidia nchi hiyo kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Shirika hilo la kifedha linakamilisha pia tathmini tofauti ya kuruhusu malipo ya dola milioni 149.4 kwa ajili ya msaada wa bajeti.
Mamlaka za Tanzania zina dhamira ya kuendelea kutekeleza mageuzi ya kudhibiti uthabiti wa kifedha, kuimarisha ufufuaji wa uchumi, kukuza ukuaji endelevu na shirikishi, IMF ilisema katika taarifa.
Katika miaka mitatu iliyopita, utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan ulifanya mageuzi mbalimbali ya kiuchumi kwa lengo la kurudisha ukuaji wa uchumi katika kiwango cha ukuaji wa pato la taifa la kabla ya janga la Covid wa asilimia 6 hadi asilimia 7.
Mpango wa mageuzi ya uchumi wa Tanzania bado umeendelea kuwa imara, IMF imesema, na kuongeza kuwa ukuaji wa uchumi uliongezeka mwaka 2023 baada ya kupungua mwaka 2022.
Uchumi wa Tanzania ambao unategemea utali, madini, kilimo na viwanda, umeendelea kustahimili mabadiliko ya hali ya hewa yanayochochewa na kuongezeka kwa sekta ya huduma, kulingana na Benki ya Dunia.
Uchumi wa Tanzania unakadiriwa kukua kwa asilimia 5.4 mwaka huu, kutoka asilimia 5.1, waziri wa mipango na uwekezaji katika Ofisi ya Rais, Kitila Mkumbo alisema wiki iliyopita.
DW Kiswahili
PIA, SOMA: