IMF yatoa orodha ya nchi 15 zenye uchumi mkubwa Afrika. Tanzania yashika namba 9 ikiwa na uchumi wa Dola Bilioni 80

IMF yatoa orodha ya nchi 15 zenye uchumi mkubwa Afrika. Tanzania yashika namba 9 ikiwa na uchumi wa Dola Bilioni 80

Ethiopia wana nini mbona raia wake wanafia kwenye makontena wakitoroka nchi.
Uchumi wa Ethiopia ni mkubwa lakini ni mali ya Serikali. Unapokuja sasa kwenye suala la income redistribution ndiyo unaona umaskini wa mtu mmoja mmoja. Ni kweli raia wa Ethiopia ni maskini sana kwq kuwa wana athirika na vita vya wenyewe kwa wenyewe, ukabila na sera mbovu za serikali
 
Aliyesabisha gap likakua na Mwendazake maana investors walikimbia na wakaacha kuja.

Kiufupi Kenya inatazamwa kama stable destination Kwa sababu sera zake zinatabirika tofauti na sisi ambao siasa zetu hazieleweki ,utapata mwana Mageuzi kama.Samia wanakuja wajamaa kuharibu.
Wewe ni muongo pamoja na chuki zako kwa Jiwe, kweli jamaa lilikuwa dikteta ila nakumbuka wakati wake uchumi wetu ulikuwa namba 9 Afrika, huku Kenya wakiwa wa 7.
Mamako katurudisha nyuma kwa nafasi moja zaidi kwa kurembulia mafisadi.
 
Wewe ni muongo pamoja na chuki zako kwa Jiwe, kweli jamaa lilikuwa dikteta ila nakumbuka wakati wake uchumi wetu ulikuwa namba 9 Afrika, huku Kenya wakiwa wa 7.
Mamako katurudisha nyuma kwa nafasi moja zaidi kwa kurembulia mafisadi.
Uchumi ambao ni public driven expenditure Huwa hauna maana Wala hauna muendelezo maana ndio ulioko huko Ethiopia na watu wanakimbia.

Uchumi mzuri ni ule ambao unaendeshwa na sekta binafsi na Serikali kazi yake ni kuchaguza tuu.

Ila hii ya kila zinafanya taasisi za Serikali hakuna uchumi hapo ila ni Kuzalisha maskini.

Mwisho takwimu hizi hapa 👇

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1782411632104165637?t=GkWQ60-A6hrtP-JGrA4Q3g&s=19
 
Kwani ni mara ya kwanza Tanzania kuwa top 10? Iko hivyo miaka yote isipokuwa Kasi ya kukua uchumi Kwa Sasa ndio kubwa.

Kuna kipindi Ghana ilitupita ila tumepindua meza
Wewe Bibi ushungi acha kujisifia kila siku, uchumi hujakuza wewe. Hii yote ni matokeo ya Infrastructure investment alizofanya “Yule Bwana”, na ndizo hasa hadi kesho utaona hii nchi GDP inakua. Mwakani ndiyo utashangaa kabisa itafika almost 100 USD kama zile megawatts 4000 zitazalishwa. Kukua kwa GDP siyo kukopa kulipa mishahara. Ni kuinvest kwenye treni au barabara wananchi wakitumia unakusanya pesa na kulipa mishahara. Unauza umeme unakusanya kodi unalipa mishahara. Kitu kingine unaboresha sekta binafsi.
 
Wewe Bibi ushungi acha kujisifia kila siku, uchumi hujakuza wewe. Hii yote ni matokeo ya Infrastructure investment alizofanya “Yule Bwana”, na ndizo hasa hadi kesho utaona hii nchi GDP inakua. Mwakani ndiyo utashangaa kabisa itafika almost 100 USD kama zile megawatts 4000 zitazalishwa. Kukua kwa GDP siyo kukopa kulipa mishahara. Ni kuinvest kwenye treni au barabara wananchi wakitumia unakusanya pesa na kulipa mishahara. Unauza umeme unakusanya kodi unalipa mishahara. Kitu kingine unaboresha sekta binafsi.
Unaonekana mjinga ,unaijua hata formular ya GDP?
20240425_160444.jpg
 
Hakuna aliyemkaribia Kikwete!
Sukuma gang wanataka kulazimisha mazuri ya Samia yawe ya Marehemu wao wakati they Had full period of more than 5 years na hawakutuonesha huo Ukuaji kipindi chao zaidi ya pambio za Uchumi wa Kati.
 
Shirika la Fedha la Kimataifa IMF liketoa orodha ya Nchi 15 Zenye Uchumi Mkubwa Barani Afrika huku Tanzania ikishika nafasi ya 9.

Kwenye orodha hiyo Nchi ya Afrika Kusini imeongoza na kuzipita Nigeria na Misri ambazo zimekuwa zikiongoza Kwa miaka Mingi.

Pia takwimu hizo zinaonesha kufanya vizuri Kwa Nchi Tajiri ya Rasilima ya Algeria ambayo imeshika nafasi ya 3 juu ya Nigeria.

Kana kwamba haitoshi Nchi ya Ivory Coast imezipita Ghana na Tanzania na kushika nafasi ya 8 kutoka nafasi za chini zaidi.

Uchambuzi zaidi imeonesha Angola imeporomoka kiuchumi kutokana na sababu ambazo jazijabainishwa.
View attachment 2973637

My Take
Takwimu hizi Huwa zinabadilika Kila mwaka kutegemeana na Taasisi inayotoa takwimu.

Mathalani WB Huwa wanakadiria Uchumi wa Tanzania kuwa Dola Bilioni 85 na sio 80 zinazotajwa na IMF kama inavyosomeka kwenye taarifa hii hapa IMF/WB: Ukubwa Wa Uchumi wa Tanzania Wafikia Dola Bilioni 85.4 Mwaka 2023 kutoka Dola Bilioni 70 Mwaka 2021

-----
View attachment 2973631

In 2024, Africa's economic landscape showcases a mix of resilience and challenges, with South Africa emerging as the continent's largest economy according to the latest IMF data. The International Monetary Fund (IMF) has released its rankings, highlighting the economies in Africa based on GDP figures for the year. These rankings shed light on the economic trajectories of various nations and forecast future trends within the region.

Top 15 African Economies

The IMF's latest report reveals the following ranking of Africa's largest economies in 2024:

Despite facing persistent macroeconomic challenges, the overall economic outlook for Africa remains stable. The IMF's projections indicate that South Africa, Egypt, Algeria, and Nigeria will maintain their positions as Africa's top four economies until 2030. Notably, South Africa is poised to surpass Nigeria and Egypt to become the continent's largest economy, benefiting from energy supply improvements and logistical enhancements.

Nigeria, once Africa's largest economy, has slipped to the fourth position in 2024. The nation is grappling with multiple economic hurdles, including a soaring inflation rate of 33%, a weakening currency, and the aftermath of government economic reforms. Last year, the Nigerian government implemented significant policy changes, such as ending petrol subsidies and allowing market forces to dictate the currency exchange rate, leading to a surge in living costs.

Furthermore, Nigeria faces acute dollar shortages crucial for imports, exacerbating its dependence on foreign goods. The Nigerian Naira remains substantially devalued against the dollar, impacting both consumer purchasing power and import-dependent sectors.

To combat rising inflation, the Central Bank of Nigeria recently raised interest rates to 24.75% and eliminated electricity tariff subsidies. These measures aim to stabilize prices and restore economic confidence amidst challenging circumstances.

Meanwhile, Egypt, which held the top economic position in 2023, is projected to slide to the second spot behind South Africa due to successive currency devaluations. Despite this setback, the IMF forecasts that Egypt could reclaim the top position by 2027, underscoring the country's economic resilience and recovery potential.

Looking ahead, the IMF's World Economic Outlook emphasizes the need for sustained reforms and investments to bolster Africa's economic resilience. Countries like Kenya are expected to climb in the rankings, surpassing economies such as Angola in the coming years. Ethiopia's economy, holding steady in the fifth position, is projected to maintain its standing until 2030.

Africa's economic trajectory underscores the importance of strategic policies and investments to mitigate challenges and unlock growth opportunities across the continent. As nations navigate complex economic landscapes, sustained reforms and international partnerships will play a pivotal role in shaping Africa's economic future.

Chanzo: Africa View Facts
Tatizo la watanzania (baadhi, hasa chawa) ni kupenda kujisifu kwa vitu hata wasivyoelewa. Wanachojua tu ni 'pongezi kwa mama '. GDP, kama ilivyoletwa hapo na mleta mada ni pato ghafi jumla la taifa, ambalo ukigawia kwa idadi ya raia wa taifa husika, unapata Pato la wastani kwa kila raia wa nchi hiyo (GDP per Capita). Mfano: Tanzania GDP = $85 bil. ÷ 60mil. (population) =$ 1,417 approx; ndio pato la wastani la mtanzania kwa mwaka. Nchi ya Equatorial guinea GDP = $10bil. ÷ 1.7mil. (population) = $ 5.9mil. approx; ndio pato la Equato Guinean kwa mwaka. Kwa hiyo utaona Pato la wastani kwa raia wa E. Guinea ni zaidi ya mara nne ya lile la mtanzania. Tanzania ni nchi masikini- tena sana, ila hatungepaswa kuwa masikini- kiasi hiki kwa vile tuna rasilimali nyingi mno. Tatizo ni viongozi tulip nao (serikali ya ccm), ndio wa kulaumiwa. Serikali inapaswa kusimamia vizuri rasilimali za taifa hili, na kuwa na sera nzuri za kuvutia uwekezaji wenyewe tija, si Kila kitu unampa mwarabu kwa bei ya kutupa. Sasa hapa watu kazi kuimba tu mapambio mara pongezi, anaupiga mwingi, haijawahikutokea nk. Nasikia kuna 'slim' alisema 'nipeni hiyo bandari kila mwaka niwape pesa inayotosha bajeti yenu na mimi nibaki na faida'. Hata kama sio kweli angeweza kutupa pesa nyingi hivyo, lakini angalia ni kiasi gani anatudharau kwamba hatuwezi kusimamia rasilimali zetu.
 
Naomba kujua mana hua naichukulua poa
Kuna mda amefafanua vizuri kwenye comments za hapo awali.

Ethiopia Ina Pato ghafi kubwa na imeendelea sana tuu isipokuwa Wingi wa watu ukija kugawa na Pato lake Bado Iko kwenye Nchi maskini zaidi LDC ambako sisi Tanzania hatupo.

Ila ukienda kwenye Miji Yao na kulinganisha na sisi wametuzidi sana tuu but Kwa kuwa maendeleo sio mjini tuu na maendeleo ni watu popote waliopo basi tumewazidi ubora wa Maisha.
 
Nafahamu Huwa Wana Ukuaji mkubwa wa Uchumi unaoletwa na zao la cocoa ambalo Lina bei ya Juu Dhahabu ikasome ila Hadi kuzipita Tanzania na Ghana ni Kasi kubwa.

Kuna Nchi ya Senegal ni Tajiri wa gas ila siioni kwenye list hapa.
View attachment 2973634
Kitu kama mwaka 2022 kurudi nyuma Ghana alikuwa ana tukimbiza Tanzania ile mbaya ila sasa hivi tume mpita.
 
Tatizo la watanzania (baadhi, hasa chawa) ni kupenda kujisifu kwa vitu hata wasivyoelewa. Wanachojua tu ni 'pongezi kwa mama '. GDP, kama ilivyoletwa hapo na mleta mada ni pato ghafi jumla la taifa, ambalo ukigawia kwa idadi ya raia wa taifa husika, unapata Pato la wastani kwa kila raia wa nchi hiyo (GDP per Capita). Mfano: Tanzania GDP = $85 bil. ÷ 60mil. (population) =$ 1,417 approx; ndio pato la wastani la mtanzania kwa mwaka. Nchi ya Equatorial guinea GDP = $10bil. ÷ 1.7mil. (population) = $ 5.9mil. approx; ndio pato la Equato Guinean kwa mwaka. Kwa hiyo utaona Pato la wastani kwa raia wa E. Guinea ni zaidi ya mara nne ya lile la mtanzania. Tanzania ni nchi masikini- tena sana, ila hatungepaswa kuwa masikini- kiasi hiki kwa vile tuna rasilimali nyingi mno. Tatizo ni viongozi tulip nao (serikali ya ccm), ndio wa kulaumiwa. Serikali inapaswa kusimamia vizuri rasilimali za taifa hili, na kuwa na sera nzuri za kuvutia uwekezaji wenyewe tija, si Kila kitu unampa mwarabu kwa bei ya kutupa. Sasa hapa watu kazi kuimba tu mapambio mara pongezi, anaupiga mwingi, haijawahikutokea nk. Nasikia kuna 'slim' alisema 'nipeni hiyo bandari kila mwaka niwape pesa inayotosha bajeti yenu na mimi nibaki na faida'. Hata kama sio kweli angeweza kutupa pesa nyingi hivyo, lakini angalia ni kiasi gani anatudharau kwamba hatuwezi kusimamia rasilimali zetu.
Uko sahihi linapokuja Suala la per Capita income kulingana na idadi yetu Bado Tzn ni maskini sana tuu.Pamoja na huu ukweli haiondoi uhalisia kwamba Pato ghafi ni kubwa kuzidi hao Equatorial Kwa maana nyingine tuna material possessions kubwa zaidi kushinda kwao.

Au unasema Kwa Uchumi wao wanaeza kununua ndege 5 na Tanzania ndege 20.
 
Shirika la Fedha la Kimataifa IMF liketoa orodha ya Nchi 15 Zenye Uchumi Mkubwa Barani Afrika huku Tanzania ikishika nafasi ya 9.

Kwenye orodha hiyo Nchi ya Afrika Kusini imeongoza na kuzipita Nigeria na Misri ambazo zimekuwa zikiongoza Kwa miaka Mingi.

Pia takwimu hizo zinaonesha kufanya vizuri Kwa Nchi Tajiri ya Rasilima ya Algeria ambayo imeshika nafasi ya 3 juu ya Nigeria.

Kana kwamba haitoshi Nchi ya Ivory Coast imezipita Ghana na Tanzania na kushika nafasi ya 8 kutoka nafasi za chini zaidi.

Uchambuzi zaidi imeonesha Angola imeporomoka kiuchumi kutokana na sababu ambazo jazijabainishwa.
View attachment 2973637

My Take
Takwimu hizi Huwa zinabadilika Kila mwaka kutegemeana na Taasisi inayotoa takwimu.

Mathalani WB Huwa wanakadiria Uchumi wa Tanzania kuwa Dola Bilioni 85 na sio 80 zinazotajwa na IMF kama inavyosomeka kwenye taarifa hii hapa IMF/WB: Ukubwa Wa Uchumi wa Tanzania Wafikia Dola Bilioni 85.4 Mwaka 2023 kutoka Dola Bilioni 70 Mwaka 2021

-----
View attachment 2973631

In 2024, Africa's economic landscape showcases a mix of resilience and challenges, with South Africa emerging as the continent's largest economy according to the latest IMF data. The International Monetary Fund (IMF) has released its rankings, highlighting the economies in Africa based on GDP figures for the year. These rankings shed light on the economic trajectories of various nations and forecast future trends within the region.

Top 15 African Economies

The IMF's latest report reveals the following ranking of Africa's largest economies in 2024:

Despite facing persistent macroeconomic challenges, the overall economic outlook for Africa remains stable. The IMF's projections indicate that South Africa, Egypt, Algeria, and Nigeria will maintain their positions as Africa's top four economies until 2030. Notably, South Africa is poised to surpass Nigeria and Egypt to become the continent's largest economy, benefiting from energy supply improvements and logistical enhancements.

Nigeria, once Africa's largest economy, has slipped to the fourth position in 2024. The nation is grappling with multiple economic hurdles, including a soaring inflation rate of 33%, a weakening currency, and the aftermath of government economic reforms. Last year, the Nigerian government implemented significant policy changes, such as ending petrol subsidies and allowing market forces to dictate the currency exchange rate, leading to a surge in living costs.

Furthermore, Nigeria faces acute dollar shortages crucial for imports, exacerbating its dependence on foreign goods. The Nigerian Naira remains substantially devalued against the dollar, impacting both consumer purchasing power and import-dependent sectors.

To combat rising inflation, the Central Bank of Nigeria recently raised interest rates to 24.75% and eliminated electricity tariff subsidies. These measures aim to stabilize prices and restore economic confidence amidst challenging circumstances.

Meanwhile, Egypt, which held the top economic position in 2023, is projected to slide to the second spot behind South Africa due to successive currency devaluations. Despite this setback, the IMF forecasts that Egypt could reclaim the top position by 2027, underscoring the country's economic resilience and recovery potential.

Looking ahead, the IMF's World Economic Outlook emphasizes the need for sustained reforms and investments to bolster Africa's economic resilience. Countries like Kenya are expected to climb in the rankings, surpassing economies such as Angola in the coming years. Ethiopia's economy, holding steady in the fifth position, is projected to maintain its standing until 2030.

Africa's economic trajectory underscores the importance of strategic policies and investments to mitigate challenges and unlock growth opportunities across the continent. As nations navigate complex economic landscapes, sustained reforms and international partnerships will play a pivotal role in shaping Africa's economic future.

Chanzo: Africa View Facts
Mama anaupiga mwingi...
 
Tatizo la watanzania (baadhi, hasa chawa) ni kupenda kujisifu kwa vitu hata wasivyoelewa. Wanachojua tu ni 'pongezi kwa mama '. GDP, kama ilivyoletwa hapo na mleta mada ni pato ghafi jumla la taifa, ambalo ukigawia kwa idadi ya raia wa taifa husika, unapata Pato la wastani kwa kila raia wa nchi hiyo (GDP per Capita). Mfano: Tanzania GDP = $85 bil. ÷ 60mil. (population) =$ 1,417 approx; ndio pato la wastani la mtanzania kwa mwaka. Nchi ya Equatorial guinea GDP = $10bil. ÷ 1.7mil. (population) = $ 5.9mil. approx; ndio pato la Equato Guinean kwa mwaka. Kwa hiyo utaona Pato la wastani kwa raia wa E. Guinea ni zaidi ya mara nne ya lile la mtanzania. Tanzania ni nchi masikini- tena sana, ila hatungepaswa kuwa masikini- kiasi hiki kwa vile tuna rasilimali nyingi mno. Tatizo ni viongozi tulip nao (serikali ya ccm), ndio wa kulaumiwa. Serikali inapaswa kusimamia vizuri rasilimali za taifa hili, na kuwa na sera nzuri za kuvutia uwekezaji wenyewe tija, si Kila kitu unampa mwarabu kwa bei ya kutupa. Sasa hapa watu kazi kuimba tu mapambio mara pongezi, anaupiga mwingi, haijawahikutokea nk. Nasikia kuna 'slim' alisema 'nipeni hiyo bandari kila mwaka niwape pesa inayotosha bajeti yenu na mimi nibaki na faida'. Hata kama sio kweli angeweza kutupa pesa nyingi hivyo, lakini angalia ni kiasi gani anatudharau kwamba hatuwezi kusimamia rasilimali zetu.
Finally, the comment I was looking for.
 
Kitu kama mwaka 2022 kurudi nyuma Ghana alikuwa ana tukimbiza Tanzania ile mbaya ila sasa hivi tume mpita.
Ameyumba sana miaka 2 iliyopita Hadi Kushindwa kulipa.madeni.

Japo Kwa Uchumi wao huo na idadi ya watu ukitafuta per Capita income wametuzidi parefu japo ukija kwenye real term value let say purchasing power parity naona wako vibaya Kwa sababu ya very high inflation(kwamba pesa Yao inanunua vitu vichache kuliko ya kwetu).
 
Nafahamu Huwa Wana Ukuaji mkubwa wa Uchumi unaoletwa na zao la cocoa ambalo Lina bei ya Juu Dhahabu ikasome ila Hadi kuzipita Tanzania na Ghana ni Kasi kubwa.

Kuna Nchi ya Senegal ni Tajiri wa gas ila siioni kwenye list hapa.
View attachment 2973634
@ erythrocyte njoo huku uangalie mama anaupiga mwingi wee kaa huko unapata pressure ya bure vivaaa mamaaaaa
 
Back
Top Bottom