IMF yatoa orodha ya nchi 15 zenye uchumi mkubwa Afrika. Tanzania yashika namba 9 ikiwa na uchumi wa Dola Bilioni 80

IMF yatoa orodha ya nchi 15 zenye uchumi mkubwa Afrika. Tanzania yashika namba 9 ikiwa na uchumi wa Dola Bilioni 80

Shirika la Fedha la Kimataifa IMF liketoa orodha ya Nchi 15 Zenye Uchumi Mkubwa Barani Afrika huku Tanzania ikishika nafasi ya 9.

Kwenye orodha hiyo Nchi ya Afrika Kusini imeongoza na kuzipita Nigeria na Misri ambazo zimekuwa zikiongoza Kwa miaka Mingi.

Pia takwimu hizo zinaonesha kufanya vizuri Kwa Nchi Tajiri ya Rasilima ya Algeria ambayo imeshika nafasi ya 3 juu ya Nigeria.

Kana kwamba haitoshi Nchi ya Ivory Coast imezipita Ghana na Tanzania na kushika nafasi ya 8 kutoka nafasi za chini zaidi.

Uchambuzi zaidi imeonesha Angola imeporomoka kiuchumi kutokana na sababu ambazo jazijabainishwa.
View attachment 2973637

My Take
Takwimu hizi Huwa zinabadilika Kila mwaka kutegemeana na Taasisi inayotoa takwimu.

Mathalani WB Huwa wanakadiria Uchumi wa Tanzania kuwa Dola Bilioni 85 na sio 80 zinazotajwa na IMF kama inavyosomeka kwenye taarifa hii hapa IMF/WB: Ukubwa Wa Uchumi wa Tanzania Wafikia Dola Bilioni 85.4 Mwaka 2023 kutoka Dola Bilioni 70 Mwaka 2021

-----
View attachment 2973631

In 2024, Africa's economic landscape showcases a mix of resilience and challenges, with South Africa emerging as the continent's largest economy according to the latest IMF data. The International Monetary Fund (IMF) has released its rankings, highlighting the economies in Africa based on GDP figures for the year. These rankings shed light on the economic trajectories of various nations and forecast future trends within the region.

Top 15 African Economies

The IMF's latest report reveals the following ranking of Africa's largest economies in 2024:

Despite facing persistent macroeconomic challenges, the overall economic outlook for Africa remains stable. The IMF's projections indicate that South Africa, Egypt, Algeria, and Nigeria will maintain their positions as Africa's top four economies until 2030. Notably, South Africa is poised to surpass Nigeria and Egypt to become the continent's largest economy, benefiting from energy supply improvements and logistical enhancements.

Nigeria, once Africa's largest economy, has slipped to the fourth position in 2024. The nation is grappling with multiple economic hurdles, including a soaring inflation rate of 33%, a weakening currency, and the aftermath of government economic reforms. Last year, the Nigerian government implemented significant policy changes, such as ending petrol subsidies and allowing market forces to dictate the currency exchange rate, leading to a surge in living costs.

Furthermore, Nigeria faces acute dollar shortages crucial for imports, exacerbating its dependence on foreign goods. The Nigerian Naira remains substantially devalued against the dollar, impacting both consumer purchasing power and import-dependent sectors.

To combat rising inflation, the Central Bank of Nigeria recently raised interest rates to 24.75% and eliminated electricity tariff subsidies. These measures aim to stabilize prices and restore economic confidence amidst challenging circumstances.

Meanwhile, Egypt, which held the top economic position in 2023, is projected to slide to the second spot behind South Africa due to successive currency devaluations. Despite this setback, the IMF forecasts that Egypt could reclaim the top position by 2027, underscoring the country's economic resilience and recovery potential.

Looking ahead, the IMF's World Economic Outlook emphasizes the need for sustained reforms and investments to bolster Africa's economic resilience. Countries like Kenya are expected to climb in the rankings, surpassing economies such as Angola in the coming years. Ethiopia's economy, holding steady in the fifth position, is projected to maintain its standing until 2030.

Africa's economic trajectory underscores the importance of strategic policies and investments to mitigate challenges and unlock growth opportunities across the continent. As nations navigate complex economic landscapes, sustained reforms and international partnerships will play a pivotal role in shaping Africa's economic future.

Chanzo: Africa View Facts
Nchi 4 kati ya hizo 10 ndio sielewe uchumi wao unapandishwa na kitu gani.
Nchi hizo ni Kenya,Ghana,Ivory Coast na Morocco
 
Ghana:
GDP $76.7bil. GDP per Capita $2,300
Tanzania:
GDP $85bil. GDP per Capita $1,400
Sasa tumewapita kwa kigezo kipi?
Sisi tulitakiwa kuwa na GDP mara mbili ya hii 85$ billion kwa watu hawa hawa millioni 60 ili angalau tuwe kwenye Per Capita ya 2800$.
Tupo nyuma sanaaaaaa
 
Ghana:
GDP $76.7bil. GDP per Capita $2,300
Tanzania:
GDP $85bil. GDP per Capita $1,400
Sasa tumewapita kwa kigezo kipi?
Babuuu, hapo huoni? Au hesabu zinakusumbua?

Uchumi unapimwa kwa GDP total siyo utajiri wa mtu mmoja mmoja.

Ukichukua Tanzania hiyo Billioni 85 gawanya kwa 1400 midomo millioni zaidi ya 60. Obviously Midomo hiyo ni mingi zaidi ya Ghana.

Fanya hesabu hiyo hiyo utaona midomo Yao michache. Sisi midomo mingi.
 
Nchi 4 kati ya hizo 10 ndio sielewe uchumi wao unapandishwa na kitu gani.
Nchi hizo ni Kenya,Ghana,Ivory Coast na Morocco
Kenya

-FDI,Kenya.inachukuliwa kama gate way to EAC so biashara huanzia hapo na kupanuka kwingine
-Utalii
-Transport and Logistics
-Bussiness,Ina watu aggressive na skilled

Ghana
-Ina Dhahabu,Mafuta ,Kakao na FDI

Ivory Coast
-Cacao ndio wazalishaji Wakuu Duniani na miaka ya karibuni bei ya Kakao haikamayikii
-Biashara

Morocco
-Utalii,Second to Egypt
-Manufacturing
-Biashara
-Transport and Logistics,Wana Bandari kubwa kabisa Zenye viwango vya Kimataifa
 
Ghana:
GDP $76.7bil. GDP per Capita $2,300
Tanzania:
GDP $85bil. GDP per Capita $1,400
Sasa tumewapita kwa kigezo kipi?
Kwa hiyo wewe unaelewa kuliko IMF? Unaijua GDP lakini? Hicho ulichoweka wewe ndio Kipimo.cha Ukubwa wa Uchumi?
 
Kenya

-FDI,Kenya.inachukuliwa kama gate way to EAC so biashara huanzia hapo na kupanuka kwingine
-Utalii
-Transport and Logistics
-Bussiness,Ina watu aggressive na skilled

Ghana
-Ina Dhahabu,Mafuta ,Kakao na FDI

Ivory Coast
-Cacao ndio wazalishaji Wakuu Duniani na miaka ya karibuni bei ya Kakao haikamayikii
-Biashara

Morocco
-Utalii,Second to Egypt
-Manufacturing
-Biashara
-Transport and Logistics,Wana Bandari kubwa kabisa Zenye viwango vya Kimataifa
Yaani cacao peke yake ndiyo imeipandisha daraja Ivory Coast na kuipiku Tanzania yenye kila aina ya rasilimali.Lazima kuna kitu cha ziada.
Kwa Morocco watalii wanafuata nini mpaka waishinde Tanzania yenye mbuga zaidi ya 20
 
Yaani cacao peke yake ndiyo imeipandisha daraja Ivory Coast na kuipiku Tanzania yenye kila aina ya rasilimali.Lazima kuna kitu cha ziada.
Kwa Morocco watalii wanafuata nini mpaka waishinde Tanzania yenye mbuga zaidi ya 20
Unaijua Cacao lakini? Unajua kiwango Chao Cha uzalishaji? Pili kabla ya uhuru kwani Nchi nyingi za Afrika na Duniani zilikiwa zinategemea Madini au mazao ya shamba? Tena aina Moja.
 
Unaijua Cacao lakini? Unajua kiwango Chao Cha uzalishaji? Pili kabla ya uhuru kwani Nchi nyingi za Afrika na Duniani zilikiwa zinategemea Madini au mazao ya shamba? Tena aina Moja.
Cacao ina sifa gani.Na kwanini imedumu muda mrefu kwa Ivory Coast
 
Cacao ina sifa gani.Na kwanini imedumu muda mrefu kwa Ivory Coast
Ukiacha Kakao kama Moja ya mazao yenye bei kubwa Duniani ila Ivory Coast Ina Uongozi mzuri kwenye uchumi yaani hakuna Ufisadi wa kipuuzi na watu wanapiga kazi.
Screenshot_20240425-173408.jpg
 
Shirika la Fedha la Kimataifa IMF liketoa orodha ya Nchi 15 Zenye Uchumi Mkubwa Barani Afrika huku Tanzania ikishika nafasi ya 9.

Kwenye orodha hiyo Nchi ya Afrika Kusini imeongoza na kuzipita Nigeria na Misri ambazo zimekuwa zikiongoza Kwa miaka Mingi.

Pia takwimu hizo zinaonesha kufanya vizuri Kwa Nchi Tajiri ya Rasilima ya Algeria ambayo imeshika nafasi ya 3 juu ya Nigeria.

Kana kwamba haitoshi Nchi ya Ivory Coast imezipita Ghana na Tanzania na kushika nafasi ya 8 kutoka nafasi za chini zaidi.

Uchambuzi zaidi imeonesha Angola imeporomoka kiuchumi kutokana na sababu ambazo jazijabainishwa.
View attachment 2973637

My Take
Takwimu hizi Huwa zinabadilika Kila mwaka kutegemeana na Taasisi inayotoa takwimu.

Mathalani WB Huwa wanakadiria Uchumi wa Tanzania kuwa Dola Bilioni 85 na sio 80 zinazotajwa na IMF kama inavyosomeka kwenye taarifa hii hapa IMF/WB: Ukubwa Wa Uchumi wa Tanzania Wafikia Dola Bilioni 85.4 Mwaka 2023 kutoka Dola Bilioni 70 Mwaka 2021

-----
View attachment 2973631

In 2024, Africa's economic landscape showcases a mix of resilience and challenges, with South Africa emerging as the continent's largest economy according to the latest IMF data. The International Monetary Fund (IMF) has released its rankings, highlighting the economies in Africa based on GDP figures for the year. These rankings shed light on the economic trajectories of various nations and forecast future trends within the region.

Top 15 African Economies

The IMF's latest report reveals the following ranking of Africa's largest economies in 2024:

Despite facing persistent macroeconomic challenges, the overall economic outlook for Africa remains stable. The IMF's projections indicate that South Africa, Egypt, Algeria, and Nigeria will maintain their positions as Africa's top four economies until 2030. Notably, South Africa is poised to surpass Nigeria and Egypt to become the continent's largest economy, benefiting from energy supply improvements and logistical enhancements.

Nigeria, once Africa's largest economy, has slipped to the fourth position in 2024. The nation is grappling with multiple economic hurdles, including a soaring inflation rate of 33%, a weakening currency, and the aftermath of government economic reforms. Last year, the Nigerian government implemented significant policy changes, such as ending petrol subsidies and allowing market forces to dictate the currency exchange rate, leading to a surge in living costs.

Furthermore, Nigeria faces acute dollar shortages crucial for imports, exacerbating its dependence on foreign goods. The Nigerian Naira remains substantially devalued against the dollar, impacting both consumer purchasing power and import-dependent sectors.

To combat rising inflation, the Central Bank of Nigeria recently raised interest rates to 24.75% and eliminated electricity tariff subsidies. These measures aim to stabilize prices and restore economic confidence amidst challenging circumstances.

Meanwhile, Egypt, which held the top economic position in 2023, is projected to slide to the second spot behind South Africa due to successive currency devaluations. Despite this setback, the IMF forecasts that Egypt could reclaim the top position by 2027, underscoring the country's economic resilience and recovery potential.

Looking ahead, the IMF's World Economic Outlook emphasizes the need for sustained reforms and investments to bolster Africa's economic resilience. Countries like Kenya are expected to climb in the rankings, surpassing economies such as Angola in the coming years. Ethiopia's economy, holding steady in the fifth position, is projected to maintain its standing until 2030.

Africa's economic trajectory underscores the importance of strategic policies and investments to mitigate challenges and unlock growth opportunities across the continent. As nations navigate complex economic landscapes, sustained reforms and international partnerships will play a pivotal role in shaping Africa's economic future.

Chanzo: Africa View Facts
Mbona unasema ya 9 wakati list inaonyesha ya 10
 
Kuna mda amefafanua vizuri kwenye comments za hapo awali.

Ethiopia Ina Pato ghafi kubwa na imeendelea sana tuu isipokuwa Wingi wa watu ukija kugawa na Pato lake Bado Iko kwenye Nchi maskini zaidi LDC ambako sisi Tanzania hatupo.

Ila ukienda kwenye Miji Yao na kulinganisha na sisi wametuzidi sana tuu but Kwa kuwa maendeleo sio mjini tuu na maendeleo ni watu popote waliopo basi tumewazidi ubora wa Maisha.
Kenya pekee ndio haipo kwenye LDC. Tanzania bado tupo kwenye LDC kaangalie UN statistics za 2024
 
Ukiacha Kakao kama Moja ya mazao yenye bei kubwa Duniani ila Ivory Coast Ina Uongozi mzuri kwenye uchumi yaani hakuna Ufisadi wa kipuuzi na watu wanapiga kazi.
View attachment 2973717
Kuna kitu nimekifahamu kuhusu kupanda kwa Morocco kiuchumi.Ni kama vile Kenya inavyonyonya utalii wa Tanzania kwa kuutangaza mlima Kilimanjaro.
Morocco ni soko kubwa la dhahabu za Afrika Magharibi.Hii ni kutokana na nchi za Afrika Magharibi kufuata watalii wanaoingia Morocco kwa wingi sijui kufuata nini.
 
Kenya pekee ndio haipo kwenye LDC. Tanzania bado tupo kwenye LDC kaangalie UN statistics za 2024
Kuna vitu vinachanganya sana katika kulinganisha uchumi wa nchi na maisha ya watu.
Nashangaa sana kati ya Tanzania na Kenya.Ukienda Kenya utagundua wanaishi maisha duni sana kulinganisha na watanzania na hata miji yao haina ubora kuliko Dar es salaam.Lakini bado tu wametuzidi sana katika GDP.
 
Ogopa sana takwimu za IMF na World Bank siyo watu wazuri kwa maendeleo ya nchi masikini.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kuna vitu vinachanganya sana katika kulinganisha uchumi wa nchi na maisha ya watu.
Nashangaa sana kati ya Tanzania na Kenya.Ukienda Kenya utagundua wanaishi maisha duni sana kulinganisha na watanzania na hata miji yao haina ubora kuliko Dar es salaam.Lakini bado tu wametuzidi sana katika GDP.
Kuna mashirika makubwa mangapi na viwanda vingapi Kenya? Ila wananchi wa kawaida hawana Chao...Nchi ya kibepati ile
 
Kuna mashirika makubwa mangapi na viwanda vingapi Kenya? Ila wananchi wa kawaida hawana Chao...Nchi ya kibepati ile
Hata Tanzania ni nchi ya kibepari, kuna wananchi wengi tu hawana chao.
 
Ndio maana nikassma, Africa ni very poor, sana yani!!
Sehemu yoyote aliyepo ngozi nyeusi, ukuaji wa uchumi unakuwa uko chini; mfano mzuri tu, kuna nchi inaitwa Haiti, Guyana zipo karibu na USA lakini ni masikini.
 
Back
Top Bottom