T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Wala usiutake ukubwa sio sifa[emoji3][emoji3]Dah!mi hapa najiona mdogo Ila miaka inakimbia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala usiutake ukubwa sio sifa[emoji3][emoji3]Dah!mi hapa najiona mdogo Ila miaka inakimbia
Dah!ntaomba mods warekebishe iwe 19 -40 ili uwemo [emoji23][emoji23]Abee... Ila me mzee tayari nina 37, huu uzi haunifai
Kwani we unapenda kuwa mdogo udharaulikeWala usiutake ukubwa sio sifa[emoji3][emoji3]
Hapana wanaodharau wadogo wanakoseaKwani we unapenda kuwa mdogo udharaulike
[emoji23][emoji23]sema ladies hawajafika wachangamshe gengeHapana wanaodharau wadogo wanakosea
Kuna wakubwa kwa namba tu akili za kitoto
Na unaweza kuwa na umri mdogo ila akili kubwa
Sasa mimi nisingepita hapa ningejuaje kutag[emoji3]kila rika lina nafasi yake humu
Na hao ndio wakubwa tukipita huku tunawavizia[emoji3][emoji23][emoji23]sema ladies hawajafika wachangamshe genge
Sema chochote sasaNasoma comments tyuuuh.
Tupo wengi tuIna maana JF mmesha zeeka wote mko above 30 tu. Hakuna wale newcomers na wale wanao range ages hizo Kama mpo tukutane hapa basi!
Wakati mwingine kuongea na ages mate wako inapendeza sana kulikoni pale unapoongea na wale makonki
Jokes/Likes and Dislikes/Refreshing
Au wote ni wahenga
Chill Hapa Kinyamwezi
Ooh Vizuri Sasa chill hapaTupo wengi tu
Ngoja waje wataalamuEti kunatofauti gani kati ya....
1. Matiti
2. Manyonyo
3. Maziwa
Je, yanayoonekana kwemye vifua vya 19-28 yanaitwaje?
Maendeleo yana vyama ila udikteta hauna vyama....
Ahsanteni sn
Em fanya hvyo bana, maana hapo ni kama umefanya ubaguzi. Umetutenga wengineDah!ntaomba mods warekebishe iwe 19 -40 ili uwemo [emoji23][emoji23]
Nisaidie kuwambia mi sijuagi kuwambia bado mshambaEm fanya hvyo bana, maana hapo ni kama umefanya ubaguzi. Umetutenga wengine
Niseme nini tena Siasa zimechukua uwanja sasaivi hata JF imepoasema
Hahahaa...... @EclatNgoja waje wataalamu
Ntawaambia wabadiliNisaidie kuwambia mi sijuagi kuwambia bado mshamba