Ina maana hakuna ages 19-28 humu?

Ina maana hakuna ages 19-28 humu?

Kwani we unapenda kuwa mdogo udharaulike
Hapana wanaodharau wadogo wanakosea

Kuna wakubwa kwa namba tu akili za kitoto
Na unaweza kuwa na umri mdogo ila akili kubwa
Sasa mimi nisingepita hapa ningejuaje kutag[emoji3]kila rika lina nafasi yake humu
 
Hapana wanaodharau wadogo wanakosea

Kuna wakubwa kwa namba tu akili za kitoto
Na unaweza kuwa na umri mdogo ila akili kubwa
Sasa mimi nisingepita hapa ningejuaje kutag[emoji3]kila rika lina nafasi yake humu
[emoji23][emoji23]sema ladies hawajafika wachangamshe genge
 
Ina maana JF mmesha zeeka wote mko above 30 tu. Hakuna wale newcomers na wale wanao range ages hizo Kama mpo tukutane hapa basi!

Wakati mwingine kuongea na ages mate wako inapendeza sana kulikoni pale unapoongea na wale makonki
Jokes/Likes and Dislikes/Refreshing

Au wote ni wahenga
Chill Hapa Kinyamwezi
Tupo wengi tu
 
Eti kunatofauti gani kati ya....
1. Matiti
2. Manyonyo
3. Maziwa
Je, yanayoonekana kwemye vifua vya 19-28 yanaitwaje?

Maendeleo yana vyama ila udikteta hauna vyama....

Ahsanteni sn
 
Eti kunatofauti gani kati ya....
1. Matiti
2. Manyonyo
3. Maziwa
Je, yanayoonekana kwemye vifua vya 19-28 yanaitwaje?

Maendeleo yana vyama ila udikteta hauna vyama....

Ahsanteni sn
Ngoja waje wataalamu
 
Back
Top Bottom