Ina maana hamjasikia kwamba Baleke amesaini Yanga?

Ina maana hamjasikia kwamba Baleke amesaini Yanga?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Au mnaleta dharau?

Anyways " Engineer means business"

Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.

We wish u all the best.


Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.

Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.

I am proud to be MWANANCHI
 
Au mnaleta dharau?

Anyways " Engineer means business"

Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.

We wish u all the best.


Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.

Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.

I am proud to be MWANANCHI
Baleke ni mzuri sana katika umaliziaji.
 
Baleke anaenda kuuza code za Yanga Kwa Simba hii iliwakuta Simba kwa Molsoni baada ya kurudi Yanga anguko la Simba likaanzia hapo
 
Au mnaleta dharau?

Anyways " Engineer means business"

Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.

We wish u all the best.


Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.

Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.

I am proud to be MWANANCHI
sijawahi kufurahishwa na uchezaji wa baleke na romalisa. hawa waondoke tu waende nchi zingine.
 
Back
Top Bottom