LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Au mnaleta dharau?
Anyways " Engineer means business"
Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.
We wish u all the best.
Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.
Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.
I am proud to be MWANANCHI
Anyways " Engineer means business"
Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.
We wish u all the best.
Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.
Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.
I am proud to be MWANANCHI