Ina maana hamjasikia kwamba Baleke amesaini Yanga?

Ina maana hamjasikia kwamba Baleke amesaini Yanga?

Au mnaleta dharau?

Anyways " Engineer means business"

Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.

We wish u all the best.


Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.

Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.

I am proud to be MWANANCHI
Mimi ni mwananchi lkn kumwacha Guede ni technical fault.huyo jamaa ndio kwanza alikuwa anaanza kupeak hivyo kumwacha hivi kirahisi itatucost wananchi
 
Nimeamini hata JOBE simba ikimpa thank you Yanga watabeba mzigo.

Yanga limegeuka kuwa Dampo la uchafu wa simba.
Hii inadhihitisha simba ni kubwa kuliko Yanga. Na ubingwa kwa Yanga umesababishwa tu na hujuma za nje ya uwanja.

Na tusisikie tena kwamba hakuna mchezaji wa simba anaweza kupata namba kwenye kikosi cha Yanga.
 
Au mnaleta dharau?

Anyways " Engineer means business"

Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.

We wish u all the best.


Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.

Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.

I am proud to be MWANANCHI
Kwa mtazamo wangu nafikiri Baleke alikua na upepo tu ile miezi yake 6 kwanza pale simba magoli yake alikua anafunga kibahati bahati sio uwezo kwaiyo lilikua ni suala la muda tu bahati kuisha na tulishuhudia msimu uliofata alivyopoteana. Anyway inawezekana nisiwe sahihi kama kweli amesaini yanga acha tuone atakachofanya uwanjani
 
Au mnaleta dharau?

Anyways " Engineer means business"

Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.

We wish u all the best.


Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.

Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.

I am proud to be MWANANCHI
sawa aje najua kwa sasa atakuwa ka-balehe
 
Au mnaleta dharau?

Anyways " Engineer means business"

Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.

We wish u all the best.


Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.

Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.

I am proud to be MWANANCHI
Sema Baleke naye akiamua kukosa magoli, anakosa kweli. Ila ni mshambuliaji mzuri zaidi ukimlinganisha na Guede, na pia ana uzoefu na ligi ya Bongo.
 
Doo yani ww ni wa kuniita kay mziwanda yule dume jike ambaye hata kunyonyesha hajawahi?.niache aisee...
Halafu ww kule selfika unajifanya umenisahau ee navyotupia picha zangu na unalike...au nimekufananisha....?
Rafiki mambo? Nitumie picha japo ya mguu wako pm😳
 
Back
Top Bottom