Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha..ka selfike kisha ni tagMhh basi nimekufananisha hhahahha....waulize wadau kule...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha..ka selfike kisha ni tagMhh basi nimekufananisha hhahahha....waulize wadau kule...
Leo sina mood...siku utaniona tuu...hahahHahahahaha..ka selfike kisha ni tag
Mimi ni mwananchi lkn kumwacha Guede ni technical fault.huyo jamaa ndio kwanza alikuwa anaanza kupeak hivyo kumwacha hivi kirahisi itatucost wananchiAu mnaleta dharau?
Anyways " Engineer means business"
Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.
We wish u all the best.
Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.
Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.
I am proud to be MWANANCHI
...is he passing Infront of your interview?Balekhe..??
Who is this guy....
Kwa mtazamo wangu nafikiri Baleke alikua na upepo tu ile miezi yake 6 kwanza pale simba magoli yake alikua anafunga kibahati bahati sio uwezo kwaiyo lilikua ni suala la muda tu bahati kuisha na tulishuhudia msimu uliofata alivyopoteana. Anyway inawezekana nisiwe sahihi kama kweli amesaini yanga acha tuone atakachofanya uwanjaniAu mnaleta dharau?
Anyways " Engineer means business"
Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.
We wish u all the best.
Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.
Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.
I am proud to be MWANANCHI
Unamaanisha usajili wanaofanya Yanga ni ili wamfunge Simba?Yanga wamedhamiria kumkung'uta mnyama goli 14 nje ndani
...akitengenezwa anaweza kuchezea... siyo atoke huko na kuingia first 11Na tusisikie tena kwamba hakuna mchezaji wa simba anaweza kupata namba kwenye kikosi cha Yanga.
Hahahahaha,siku hizi kule sipiti piti, we ukiwa na Mood ni tagLeo sina mood...siku utaniona tuu...hahah
Ni sehemu ya malengo ya Club yetuUnamaanisha usajili wanaofanya Yanga ni ili wamfunge Simba?
😅😅😅😅 whyBalekhe..??
Who is this guy....
sawa aje najua kwa sasa atakuwa ka-baleheAu mnaleta dharau?
Anyways " Engineer means business"
Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.
We wish u all the best.
Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.
Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.
I am proud to be MWANANCHI
Ni jalalambona yanga inakusanya matapishi ya simba sana!
DuuuNi sehemu ya malengo ya Club yetu
Sema Baleke naye akiamua kukosa magoli, anakosa kweli. Ila ni mshambuliaji mzuri zaidi ukimlinganisha na Guede, na pia ana uzoefu na ligi ya Bongo.Au mnaleta dharau?
Anyways " Engineer means business"
Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.
We wish u all the best.
Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.
Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.
I am proud to be MWANANCHI
guede hamna kitu kabisa. limwili likubwa lenye uwezo kupush na kuzuia asinyang'anywe mpira, ila hana uwezo kulitumia.Sema Baleke naye akiamua kukosa magoli, anakosa kweli. Ila ni mshambuliaji mzuri zaidi ukimlinganisha na Guede, na pia ana uzoefu na ligi ya Bongo.
Comrade hii kitu ni hatari sana ukikutana na Mods wakuda. Kuna mwaka nilipigwa ban kwa kumfananisha mpuuzi mmoja hivi humu jukwaani na kigogo mmoja kijana wa ccm.Wewe kiukwel hapo simba unastahil kuitwa iron lady...nina mashaka hii id ni ya asha baraka
Rafiki mambo? Nitumie picha japo ya mguu wako pm😳Doo yani ww ni wa kuniita kay mziwanda yule dume jike ambaye hata kunyonyesha hajawahi?.niache aisee...
Halafu ww kule selfika unajifanya umenisahau ee navyotupia picha zangu na unalike...au nimekufananisha....?