P h a r a o h
JF-Expert Member
- Mar 25, 2024
- 785
- 1,413
alikua anacheze timu gani ? hili jina sio geni sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu usajili umekaa kimkakati sana. Hawa wachezaji wote wamesajiliwa huku wakiwa wana uzoefu mkubwa na ligi ya Tanzania, pamoja na mechi za kimataifa.Duuh kwa huu usajili wenu wananchi mnatuumiza sana vichwa wanyama, anyway mtaninyima raha kwenye ligi ila kimataifa mtatuwakilisha vizuri, simba nguvu moja.
Ulikuwa huangalii mpira wewe.Kwa mtazamo wangu nafikiri Baleke alikua na upepo tu ile miezi yake 6 kwanza pale simba magoli yake alikua anafunga kibahati bahati sio uwezo kwaiyo lilikua ni suala la muda tu bahati kuisha na tulishuhudia msimu uliofata alivyopoteana. Anyway inawezekana nisiwe sahihi kama kweli amesaini yanga acha tuone atakachofanya uwanjani
DuhNilitegemea Yanga wamsajili Jonathan Sohwah. Sijui nini kinatokea.
Boda bodaBalekhe..??
Who is this guy....
Mpira naangalia, ni kwamba tunatofautiana mtazamo ndio maana nimehitimisha kwa kusema ya kwamba tusubiri muda utaongea yaani maana yake inawezekana mimi pia sipo sahihi.Ulikuwa huangalii mpira wewe.
Tukajadili kwenye uzi wa hasara ya usajili wa Aziz K?Usajili wa Uto hauna hadhi ya kujadiliwa humu
Hapana;mbona yanga inakusanya matapishi ya simba sana!
Mangungu akisikia hizi kauli zenu za ubingwa wa Yanga ni hujuma za nje ya uwanja huwa anafarijika na presha inashuka.Nimeamini hata JOBE simba ikimpa thank you Yanga watabeba mzigo.
Yanga limegeuka kuwa Dampo la uchafu wa simba.
Hii inadhihitisha simba ni kubwa kuliko Yanga. Na ubingwa kwa Yanga umesababishwa tu na hujuma za nje ya uwanja.
Na tusisikie tena kwamba hakuna mchezaji wa simba anaweza kupata namba kwenye kikosi cha Yanga.
Doohh sikiwahkujua hilo kwakwel. Acha wanipige life ban.Comrade hii kitu ni hatari sana ukikutana na Mods wakuda. Kuna mwaka nilipigwa ban kwa kumfananisha mpuuzi mmoja hivi humu jukwaani na kigogo mmoja kijana wa ccm.
Hapo kwa Baleke mimi nimeenda mbali na kuanza kumuona Hers Said sasa keshalewa sifa.Hata mimi nashangaa.
Hahahahaha🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 aisee nimecheka sanaa...mimi ni mshangazi ila sijafikia ule umri jamani...yule Asha baraka atawezana na mikikimikiki ya humu jukwaani kweli...nitake radhi mr Ivan Stepanov
chama siyo konokono tena!?Hapana;
Baleke na Chama siyo matapishi ya Simba kwani bado Simba inawatamani sana. Chama alipelekewa tiketi yan ndege akaongee na Mo huko Dubai ilia wayamalize lakini Chama akagoma. Simba ikakamtuma Magori kwenga kuongea naye uso kwa uso huzo Zambia lakini pia ikashindikana; kwa hiyo Chama siyo tapishi la simba na bado simba inamlilia ndiyo maana wamsheindwa kutoa thank you, bali yeye ndiye kawapa thank you simba.
Baleke hakutemwa na Simba bali mkataba wa mkpo wake ulipoisha, Simba walishindwa kuufanyia extensions. Majuzi Try Again amefanya tena mazungunguzo na Baleke lakini nadhani Baleke hakukubalia kutokana na experience ya miezi sita iliyopita.
Mengineyo yote, tusubiri ligi ianze. Time will tell
Guede hakupi uhakika wa kuperform vizuri kwa dakika zote 90, Baleke anaweza akakupa huo uhakika.Sema Baleke naye akiamua kukosa magoli, anakosa kweli. Ila ni mshambuliaji mzuri zaidi ukimlinganisha na Guede, na pia ana uzoefu na ligi ya Bongo.
HongereniAu mnaleta dharau?
Anyways " Engineer means business"
Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.
We wish u all the best.
Balekhe anakuja kuprove theory yangu kwamba He is better than Mayele.
Point yangi ilikuwa " Soka la sasa linamuhitaji striker anae funga zaidi ya goli moja kwa kila mechi moja. Striker mwenye njaa na kiu isiyo koma ya kufunga magoli mengi kwenye mechi moja kama Balekhe na sio striker anaeridhika akifunga goli moja kama Mayele.
I am proud to be MWANANCHI