Chawa wa awamu ya 5 unatapa tapa tu Sasa.Hoja ni nani mmiliki wa Ccm mengine unaleta umbea tu.
Chali kabisa kabisa…
Wewe mbona umejisahau?Hii sasa ni kali, kumbe hawa akina mama na akina baba huwa ni mazoba tu na huwa wanawasindikiza wenye chama chao?View attachment 2074418
Chawa wa awamu ya 5 unatapa tapa tu Sasa.
Umeuliza swali gani wewe TAGA?! Piganeni muuane wenyewe kivyenu huko.Twende taratibu nimeuliza swali nataka majibu
Nani mpumbavu humu jamvini zaidi yako?Kwa nini unakuwa mpumbavu?
Umbea mafi yako.Hoja ni nani mmiliki wa Ccm mengine unaleta umbea tu.
Wiki iliyopita Wenye Chama walitangaza rasmi kwamba wamekikomboa baada ya kutekwa. Wiki hii wamemaliza kazi Kwa kurudishwa serikali kuu.Hii sasa ni kali, kumbe hawa akina mama na akina baba huwa ni mazoba tu na huwa wanawasindikiza wenye chama chao?View attachment 2074418
Pole sana kijanaKwa nini unakuwa mpumbavu?
We dada huko Buza mpo salama? Hili swali ni muhimu acha hasira.Wewe ni miongoni mwa walioridhika kulipwa elfu 7 kwa wiki kwa kazi ya kutukana Chadema humu JF , endelea na kazi yako , Unamlilia nani sasa ?
Nimetumia nguvu kubwa sana kukufundisha lakini hamna kitu , UTAVUNA ULICHOPANDA , KAPUKU MKUBWA WE !