Ina maana hawa wanaovaa makanga na matisheti ya CCM wakati wa kampeni CCM sio mali yao? Ni mali ya wajanja wa mjini

Ina maana hawa wanaovaa makanga na matisheti ya CCM wakati wa kampeni CCM sio mali yao? Ni mali ya wajanja wa mjini

Wewe ni miongoni mwa walioridhika kulipwa elfu 7 kwa wiki kwa kazi ya kutukana Chadema humu JF , endelea na kazi yako , Unamlilia nani sasa ?

Nimetumia nguvu kubwa sana kukufundisha lakini hamna kitu , UTAVUNA ULICHOPANDA , KAPUKU MKUBWA WE !
We dada huko Buza mpo salama? Hili swali ni muhimu acha hasira.
 
Back
Top Bottom