Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
HowCheating
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HowCheating
Kazi hatarishiWanaongeza Vifo tu
Mnaolalamika mnataka vijana wafanyiwe nn kama elimu zao chenga , kulima hawataki , na kuajiri wote kwa mkupuo serikali haiwezi na kuwaondoa wwfanyakazi waliopo ili iingize wapya haiwezi pia ,mnatukana CCM mnataka chama gani kiingie , au huu utopolo wa akina Mbowe na zitto ??? Mtakuwa na makamasi kwenye ubongo
Kazi zote hatarishi need to take safety precautionsCcm inachangia pakubwa kwenye ulemavu na maafa ya vijana wetu kupitia bodaboda
Kama Kuna bodi ya mikopo inayotoa mikopo Kila mwaka kwa wanafunzi wa elimu ya juu maelfu kwa maelfu, na wanahitimu na kukosa ajira, huoni huo ndo uzwazwa ambao unaisababishia serikali hasara?? Wangeajiriwa si wangeilipa serikali na wengine wangenufaika??Mnaolalamika mnataka vijana wafanyiwe nn kama elimu zao chenga , kulima hawataki , na kuajiri wote kwa mkupuo serikali haiwezi na kuwaondoa wwfanyakazi waliopo ili iingize wapya haiwezi pia ,mnatukana CCM mnataka chama gani kiingie , au huu utopolo wa akina Mbowe na zitto ??? Mtakuwa na makamasi kwenye ubongo
Bodaboda ni zaidi ya hatarishi, ni laanaKazi zote hatarishi need to take safety precautions
Nafikiri hawezi kugombea tena ubunge.Si ameshasikia hakuna kupita bila kupingwa. Kwanza ameshatumikia miaka 10 ya Uwaziri Mkuu , angepumzika awaachie wengine
Yeye ni nani mpaka we Waziri Mkuu miaka kwa zaidi ya miaka 10?
Kwangu mimi katika Mawaziri Wakuu waliowahi kuongoza Tanzania huyu ni wa mwisho.
Hizo pikipiki anagawa target yake ni nini, ni Ubunge, na kama Ubunge anafikiria kuendelea na Uwaziri MkuuNafikiri hawezi kugombea tena ubunge.
Huwezi kutoka kuwa waziri mkuu urudi kuwa mbunge wa kawaida.
Atakuwa hajielewi.Sasa ndugu unafikiri hizo pikipiki anagawa target yake ni nini, ni Ubunge, na kama Ubunge anafikiria kuendelea na Uwaziri Mkuu
Ni kweli kabisa, labda ajipange huko mbeleni baadae sana baada ya miaka 15 agombee kuingia nafasi namba 1.Atakuwa hajielewi.
Hawezi kuendelea kuwa waziri Mkuu awamu yake inaishia 2025 akifanikiwa kumaliza.
Kuwa mbunge baada ya kustaafu uwaziri mkuu nao ni ujinga.
Ukishafikia nafasi za juu hupaswi kuja kurudia nafasi za chini.
Ona ndugai hawezi tena kuwa mbunge baada ya awanu hii kukamilika.
Ni ngumu sana Kasimu kuwa namba moja.Ni kweli kabisa, labda ajipange huko mbeleni baadae sana baada ya miaka 15 agombee kuingia nafasi namba 1.
Ila ukweli uwezo hakuna kabisa, hata huo Uwaziri Mkuu basi tu. Anyway ameingia kwenye rekodi ya Mawaziri wakuu wachache kuhudumu miaka 10, kama sikosei ni wawili tuNi ngumu sana Kasimu kuwa namba moja.
Ambao wangeweza kumbeba wanawaza watoto wao wawe namba 1
Bado safari ni ndefu mkuu kumaliza ni Majaaliwa ya Mungu kama jina lakeIla ukweli uwezo hakuna kabisa, hata huo Uwaziri Mkuu basi tu. Anyway ameingia kwenye rekodi ya Mawaziri wakuu wachache kuhudumu miaka 10, kama sikosei ni wawili tu
Marais wawili aliohudumu chini yao walikaribia kumtoa kwenye nafasi ya Uwazi Mkuu
Huyo anayeshake naye mkono ni kijana?WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekabidhi pikipiki 100 zenye thamani ya sh. milioni 260 kwa vijana wa wilaya ya Ruangwa ili wazitumie kufanya biashara ya usafirishaji.
Akizungumza na vijana wa Ruangwa kwenye hafla ya kukabidhi pikipiki hizo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya CWT, wilayani Ruangwa, mkoani Lindi, Waziri Mkuu alisema utoaji wa pikipiki hizo ni muendelezo wa mpango wa ofisi ya Mbunge wa kuwawezesha vijana, wanaume, wanawake na wazee.
"Mwaka 2016/2017 tulichukua pikipiki 235 na kuzigawa kwenye wilaya yote hii. Na jambo zuri kwa sasa, kwenye Serikali ya awamu ya sita, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Tanzania na yeye ameamua kuwa na kada ya wasafirishaji wa wadogo, wa kati na wakubwa.”
View attachment 2573910
Chanzo: Mwanahabari
Siasa safi Tanzania haziwezi kuwepo hadi wafuatao wasiwepo nchi hii:Ili tuendelee twahitaji mambo manne yaliyo ya muhimu, kwanza ardhi, pili watu, Siasa safi na uongozi Bora. Siku hizi imeongezeka na bodaboda, katika standard za kimataifa, bodaboda haijawahi kuwemo, hata maendeleo ya Ulaya yalianza na ardhi, baadae wakawa na human resource Bora kabisa inayofanya ubunifu.
Bodaboda ni hand to mouth economy
NDIO watakaokimbiza masanduku ya kura mwaka 2030WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekabidhi pikipiki 100 zenye thamani ya sh. milioni 260 kwa vijana wa wilaya ya Ruangwa ili wazitumie kufanya biashara ya usafirishaji.
Akizungumza na vijana wa Ruangwa kwenye hafla ya kukabidhi pikipiki hizo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya CWT, wilayani Ruangwa, mkoani Lindi, Waziri Mkuu alisema utoaji wa pikipiki hizo ni muendelezo wa mpango wa ofisi ya Mbunge wa kuwawezesha vijana, wanaume, wanawake na wazee.
"Mwaka 2016/2017 tulichukua pikipiki 235 na kuzigawa kwenye wilaya yote hii. Na jambo zuri kwa sasa, kwenye Serikali ya awamu ya sita, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Tanzania na yeye ameamua kuwa na kada ya wasafirishaji wa wadogo, wa kati na wakubwa.”
View attachment 2573910
Chanzo: Mwanahabari
Kila mara anagawa bodaboda sasa ni nani atapanda ya mwenzie, hivi hamna chochote anachoweza kuwafanyia mbadala ya bodaboda![emoji848]
ESRF na uongozi wa Mkoa wameafikiana uzinduzi rasmi ufanyike siku ya tarehe 27 Novemba, 2019