Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Mambo ya Yanga waachiwe wenyewe 😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya Yanga waachiwe wenyewe 😊
kwanza angalia orodha ya klabu zilizofungiwa kisajili hapa afrika ni nyingi sana,tena kubwa kubwa sio yanga tunimesikitika kuona Yanga sc kufungiwa kusajili kwa sababu ya kutomlipa pesa aliyekua mchezaji wa Yanga sc LAZARO kAMBOLE , kwa maelezo niliyoyapata ni kuwa FIFA waliiandikia barua YANGA mapema tu kuwa wamlipe pesa kambole lakini yanga walikaidi na kujisahaulisha
SWALI LANGU: ina maana mikataba wanayosaini yanga sc ni mikataba feki au ni ya laki laki anbayo haikidhi na haiwezi kukusanya pesa za kutosha na kumlipa kambole??
Kuna viru sikutegemea vitokee chini ya uongozi wa Injinia, mpira wa tz kubadilika sio leonimesikitika kuona Yanga sc kufungiwa kusajili kwa sababu ya kutomlipa pesa aliyekua mchezaji wa Yanga sc LAZARO kAMBOLE , kwa maelezo niliyoyapata ni kuwa FIFA waliiandikia barua YANGA mapema tu kuwa wamlipe pesa kambole lakini yanga walikaidi na kujisahaulisha
SWALI LANGU: ina maana mikataba wanayosaini yanga sc ni mikataba feki au ni ya laki laki anbayo haikidhi na haiwezi kukusanya pesa za kutosha na kumlipa kambole??
Ali kamwe anasema hamjalipa ada ya uanachama nyie, ndio mnasababisha yanga inakosa pesa ya kuwalipa hao wachezajiViongozi wa Yanga waache ubabaishaji. Walipe madeni ya hao wachezaji haraka iwezekanavyo. Siyo poa kabisa kuichafua timu, kwa sababu tu ya ubabaishaji wao.
Watoto wa kambole wanalala njaaYeah, huwezi laza wanao na njaa kisa jirani anakudai.
Watoto wale, then atalipwa.
Muwamba ngoma, huvutia kwake.Watoto wa kambole wanalala njaa
Hivyo ni visingizio vya kipuuzi na visivyo na mashiko.Ali kamwe anasema hamjalipa ada ya uanachama nyie, ndio mnasababisha yanga inakosa pesa ya kuwalipa hao wachezaji
Ningekujibu vibaya ila nakuheshim!... Kila Jambo na utatuzi wake!. Timu Ina mambo mengi hakuna taasisi inayofanya mambo kwa usahihi kila wakati!. Viongozi wangekuwa wababishaishaji ungekuwa unaleta kende zako humu kuwapongeza?. Acheni mihemko ya kitoto Bata Waheed nyie .....Viongozi wa Yanga waache ubabaishaji. Walipe madeni ya hao wachezaji haraka iwezekanavyo. Siyo poa kabisa kuichafua timu, kwa sababu tu ya ubabaishaji wao.
Wewe uko nje ya mfumo ndiomaana unaona sababu hazina mashikoHivyo ni visingizio vya kipuuzi na visivyo na mashiko.
Priorities...scale of preference.....ukijua holo utakuwa good Managernimesikitika kuona Yanga sc kufungiwa kusajili kwa sababu ya kutomlipa pesa aliyekua mchezaji wa Yanga sc LAZARO kAMBOLE , kwa maelezo niliyoyapata ni kuwa FIFA waliiandikia barua YANGA mapema tu kuwa wamlipe pesa kambole lakini yanga walikaidi na kujisahaulisha
SWALI LANGU: ina maana mikataba wanayosaini yanga sc ni mikataba feki au ni ya laki laki anbayo haikidhi na haiwezi kukusanya pesa za kutosha na kumlipa kambole??
Moderator, Active, haya matusi ya nguoni huwa mnayaruhusu humu jukwaani?Ningekujibu vibaya ila nakuheshim!... Kila Jambo na utatuzi wake!. Timu Ina mambo mengi hakuna taasisi inayofanya mambo kwa usahihi kila wakati!. Viongozi wangekuwa wababishaishaji ungekuwa unaleta kende zako humu kuwapongeza?. Acheni mihemko ya kitoto Bata Waheed nyie .....
Peleka uzezeta waheeed.. makende sio tusi!!