Ina maana mikataba yote waliyosaini Yanga sc wamekosa pesa ya kumlipa Kambole au ni mikataba hewa?

Ina maana mikataba yote waliyosaini Yanga sc wamekosa pesa ya kumlipa Kambole au ni mikataba hewa?

Leo Pacome kacheza, sasa sisi mabumbumbu tutaanzisha kampeni gani tena?
 
nimesikitika kuona Yanga sc kufungiwa kusajili kwa sababu ya kutomlipa pesa aliyekua mchezaji wa Yanga sc LAZARO kAMBOLE , kwa maelezo niliyoyapata ni kuwa FIFA waliiandikia barua YANGA mapema tu kuwa wamlipe pesa kambole lakini yanga walikaidi na kujisahaulisha

SWALI LANGU: ina maana mikataba wanayosaini yanga sc ni mikataba feki au ni ya laki laki anbayo haikidhi na haiwezi kukusanya pesa za kutosha na kumlipa kambole??
kwanza angalia orodha ya klabu zilizofungiwa kisajili hapa afrika ni nyingi sana,tena kubwa kubwa sio yanga tu
 
nimesikitika kuona Yanga sc kufungiwa kusajili kwa sababu ya kutomlipa pesa aliyekua mchezaji wa Yanga sc LAZARO kAMBOLE , kwa maelezo niliyoyapata ni kuwa FIFA waliiandikia barua YANGA mapema tu kuwa wamlipe pesa kambole lakini yanga walikaidi na kujisahaulisha

SWALI LANGU: ina maana mikataba wanayosaini yanga sc ni mikataba feki au ni ya laki laki anbayo haikidhi na haiwezi kukusanya pesa za kutosha na kumlipa kambole??
Kuna viru sikutegemea vitokee chini ya uongozi wa Injinia, mpira wa tz kubadilika sio leo
 
Viongozi wa Yanga waache ubabaishaji. Walipe madeni ya hao wachezaji haraka iwezekanavyo. Siyo poa kabisa kuichafua timu, kwa sababu tu ya ubabaishaji wao.
Ali kamwe anasema hamjalipa ada ya uanachama nyie, ndio mnasababisha yanga inakosa pesa ya kuwalipa hao wachezaji
 
Ishu ya mikataba Yanga haipo sawa inaonekana Wanasheria wa Timu wanapuuzwa Eng aangalie hilo wale FIFA sio watu wazuri wakiamua jambo lao...
 
Ali kamwe anasema hamjalipa ada ya uanachama nyie, ndio mnasababisha yanga inakosa pesa ya kuwalipa hao wachezaji
Hivyo ni visingizio vya kipuuzi na visivyo na mashiko.
 
Viongozi wa Yanga waache ubabaishaji. Walipe madeni ya hao wachezaji haraka iwezekanavyo. Siyo poa kabisa kuichafua timu, kwa sababu tu ya ubabaishaji wao.
Ningekujibu vibaya ila nakuheshim!... Kila Jambo na utatuzi wake!. Timu Ina mambo mengi hakuna taasisi inayofanya mambo kwa usahihi kila wakati!. Viongozi wangekuwa wababishaishaji ungekuwa unaleta kende zako humu kuwapongeza?. Acheni mihemko ya kitoto Bata Waheed nyie .....
 
nimesikitika kuona Yanga sc kufungiwa kusajili kwa sababu ya kutomlipa pesa aliyekua mchezaji wa Yanga sc LAZARO kAMBOLE , kwa maelezo niliyoyapata ni kuwa FIFA waliiandikia barua YANGA mapema tu kuwa wamlipe pesa kambole lakini yanga walikaidi na kujisahaulisha

SWALI LANGU: ina maana mikataba wanayosaini yanga sc ni mikataba feki au ni ya laki laki anbayo haikidhi na haiwezi kukusanya pesa za kutosha na kumlipa kambole??
Priorities...scale of preference.....ukijua holo utakuwa good Manager
 
Ningekujibu vibaya ila nakuheshim!... Kila Jambo na utatuzi wake!. Timu Ina mambo mengi hakuna taasisi inayofanya mambo kwa usahihi kila wakati!. Viongozi wangekuwa wababishaishaji ungekuwa unaleta kende zako humu kuwapongeza?. Acheni mihemko ya kitoto Bata Waheed nyie .....
Moderator, Active, haya matusi ya nguoni huwa mnayaruhusu humu jukwaani?
 
Yanga wanaponzwa na mihemko za usajili mwishoe wanaishia kwenye fedheha na faini za kuwalipa akina Mamadou Doumbia na Kambole ambao hata hawatumikia klabu
 
Back
Top Bottom