GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #21
Point!!!Unadhani kuomba upya ni njia sahihi??? Je dole gumba alilochukuliwa na NIDA atakapoweka tena unadhani hatajulikana??? Je dole gumba alilochukuliwa na Immigration nalo je???
🙏🙏🙏Hapo la muhimu ni kuanza na NIDA ukishakamalisha NIDA huko kwingine hakuna ugumu sana
Fingerprints zake tayari zipo NIDA na immigration kwahiyo hawez kujiandikisha tu. Anapaswa aende afanye Deed poll kwanzaUnaweza ukajiandikiasha upya tu.
Kwa nini ubadili? Si unaenda unachukua cheti cha kuzaliwa. NIDA Kisha passport?
kwa maelezo yake majina yake ya sasa aliyopewa na wazazi ni sahihi ila yeye anataka abadili hayo majina kwenye system nzima ya nchi kuanzia NIDA,TRA,UHAMIAJI,NECTA,RITA na TUME YA UCHAGUZI (NEC)..anataka majina mawili lake na baba yake ayatupilie mbali alafu ajipachike majina mengine ayajuayo yeye na sababu zake hazieleweki mm sijui LABDA kagundua jina la baba huyo si baba ake mzazi au pengine anataka kuhama ukoo.? ni mizuka tu imepandaIlikuwaje mpaka yakakosewa au jamaa unabadilisha majina?
Maana kukosea sio rahisi kwa sababu ya viambatisho ambavyo hutumika wakati wa kuiomba.
na atakwenda jela kimasihara akijichanganya vibaya maana utaonekana kama mhalifu tu unaefanya fraud.!Unadhani kuomba upya ni njia sahihi??? Je dole gumba alilochukuliwa na NIDA atakapoweka tena unadhani hatajulikana??? Je dole gumba alilochukuliwa na Immigration nalo je???
Dah! Akikomaa atafanikisha, kikubwa asicheke na hao watumishi wanaoshughulikia masuala hayo.kwa maelezo yake majina yake ya sasa aliyopewa na wazazi ni sahihi ila yeye anataka abadili hayo majina kwenye system nzima ya nchi kuanzia NIDA,TRA,UHAMIAJI,NECTA,RITA na TUME YA UCHAGUZI (NEC)..anataka majina mawili lake na baba yake ayatupilie mbali alafu ajipachike majina mengine ayajuayo yeye na sababu zake hazieleweki mm sijui LABDA kagundua jina la baba huyo si baba ake mzazi au pengine anataka kuhama ukoo.? ni mizuka tu imepanda
Ulipokea Passport yenye makosa?, yaani docs zako zipo sawa,wao ndiyo wamekosea?...Jamani na mimi nina shida passport yangu imekosewa jina la katikati, walisahau kuandika herufi moja, hapo nafanyaje?
Wabongo wana ujinga mwingi!,na atakwenda jela kimasihara akijichanganya vibaya maana utaonekana kama mhalifu tu unaefanya fraud.!
Mbona hivyo vitu ni vya kawaida sana kwa wenzetu? Jina si jina tu, limebeba maana. Linaweza kuathiri hata "personality" ya mwenye nalo.kwa maelezo yake majina yake ya sasa aliyopewa na wazazi ni sahihi ila yeye anataka abadili hayo majina kwenye system nzima ya nchi kuanzia NIDA,TRA,UHAMIAJI,NECTA,RITA na TUME YA UCHAGUZI (NEC)..anataka majina mawili lake na baba yake ayatupilie mbali alafu ajipachike majina mengine ayajuayo yeye na sababu zake hazieleweki mm sijui LABDA kagundua jina la baba huyo si baba ake mzazi au pengine anataka kuhama ukoo.? ni mizuka tu imepanda
mkuu hapo kwenye kubadili majina ikija ishu ya kusafiri nje ya nchi kwa PASSPORT ikiwa umebadili majina kuna baadhi ya nchi wameweka sheria kali huwezi kuruhusiwa kuingia sababu jina lako la awali tayari lipo kwenye mifumo yao kuanzia kwenye kuomba viza hadi kusafiri hawakubali passport moja yenye taarifa zinazofanana hadi picha zimilikiwe na majina mawili tofauti si ajabu kuwekwa chini ya ulinzi labfa iwe ndio mara yako ya kwanza kuingia nchi hiyo..ila kama ushawai kwenda nchi hiyo alafu safari ya mara ya pili unarudi na majina tofauti hawakubali unatimuliwa mbali au utaishia pabaya.!Mbona hivyo vitu ni vya kawaida sana kwa wenzetu? Jina si jina tu, limebeba maana. Linaweza kuathiri hata "personality" ya mwenye nalo.
Kati ya vitu unavyopaswa kujihadhari navyo ni majina. Ikiwa huyafurahii majina uliyopewa na waliokupa, kwa nini uyavumilie? Badilisha. Jiite majina unayoamini ni "bora" kabisa!
Ndiyo maana wahenga walisema "give an old dog a good name". Waligundua kuwa kwa kufanya hivyo "mbwa" atafurahi na wao watanufaika.
Ni kwa ajili ya kuiridhisha nafasi yake!
1. Katika majina anayoyatumia kwa sasa, jina la katikati na la mwisho yote ni ya baba yake
2. Japo jina la kwanza ambalo ndilo lake ni zuri, anataka abaki nalo lakini litanguliwe na jina lake lingine jipya alilojichagulia mwenyewe ukubwani. Kwa mfano, kama alikuwa akiitwa JOSEPH TREKTA JUMA ambapo Trekta na Juma ni majina ya baba yake (Trekta lilikuwa jina la utani la baba yake na Juma ndilo jina halisi la baba yake), majina yake mapya yatakuwa JAMES JOSEPH JUMA ambapo JAMES na JOSEPH ni majina yake (la James amejipa mwenyewe ukubwani) na Juma ni la baba yake, kwa hiyo jina la babu/ukoo wake halitatumika kwenye utambulisho wake
3. Ili kuwemo na mfanano wa majina yake na ya watoto wake. Watoto wake wanatumia majina 2: JOSEPH JUMA kama majina ya ubin. Kwa mfano, mwanawe wa kiume, tumpe jina la ALMASI, anaitwa ALMASI JOSEPH JUMA.
NB. Majina yote hapo juu ni ya kutungwa lakini yanaakisi hitaji la mwenye hitaji tajwa hapo juu.
Io imeenda mkuuu huwezi kubadili vitu vyote hivyo pia ikikubali unaweza chukua miaka hata 7Msaada wa haraka tafadhali!
Kuna mtu anahitaji kubadilisha majina kwenye nyaraka zake za muhimu: PASSPORT, DRIVING LICENSE, NIDA, KITAMBULISHO CHA MPIGA KURA, n.k.
Majina yanayobadilishwa ni mawili: la kwanza na la kati. La mwisho (la ukoo) litabaki kama lilivyokuwa. Utaratibu ukoje?
1. Itawezekana kubadilisha majina kwenye pasi ya kusafiria?
2. Gharama ya kurekebisha majina kwenye nyaraka zote muhimu ni shilingi ngapi?
3. Hilo zoezi linaweza kuchukua muda gani?
4. Wapi pa kuanzia katika kushughulikia hiyo changamoto?
5. Inaweza inachukua muda gani hilo zoezi kukamilika?
Asanteni sana wakuu!
Mkuu, Vp unamsokota kijana! Kama wazazi wake walimpa jina la Mkojo na jina la babake anaitwa Siwangu, (anajuilikana kama Mkojo Siwangu) avumilie tu eti kwa sababu majina amepewa na wazazi wake? Amesema anataka kubadili majina na miongoni mwa sababu zake ni majina ya utani au ambayo si rasmi ya wazazi wake ndio majina yake! Katika mazingira hayo kama ni ww unaweza kukubaliana nayo?kwa maelezo yake majina yake ya sasa aliyopewa na wazazi ni sahihi ila yeye anataka abadili hayo majina kwenye system nzima ya nchi kuanzia NIDA,TRA,UHAMIAJI,NECTA,RITA na TUME YA UCHAGUZI (NEC)..anataka majina mawili lake na baba yake ayatupilie mbali alafu ajipachike majina mengine ayajuayo yeye na sababu zake hazieleweki mm sijui LABDA kagundua jina la baba huyo si baba ake mzazi au pengine anataka kuhama ukoo.? ni mizuka tu imepanda