Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jinga wewe! ndo mana hata raisi akizindua vitu tulivyo jenga kwa pesa za kodi zetu unashangilia kama kafanya bivyo kwa hisani yake. deni la taifa linaongezeka kila mwaka mnataka taarifa ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kwa.kuwazushia watu kesi .kisha u akuja kukata mauno kwa kushangilia huku kwenye mitandao?.jinga wwe. ati mhitimu wa UDSM! wanakuaga na reasoning ndogo kama yako.wewe.Hata kule Nairobi kwa Lissu mlimuona pia!!
mna DE JAVUU??
filamu zina mwisho wake,mwisho wa uongo ni aibum,mwisho wa dhambi ni mautiView attachment 726981
Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.
Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?
Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.
Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
....uzi wa kuomboleza huu !makamanda wapo kwenye grave danger
malyamungu is about to strike with a deadly force😱
Mwigulu is one of the ICC candidate, time will tell!Mwigulu Lameck alikataa kabisa kuwa yule ni Askari, waziri yule mtu alikuwa anafanya nini kwenye gari ya polisi?
Hawa ndugu zetu wa ccm hawajui kuwa kadri wanavyowatesa wapinzani ndivyo wanavyozidi kuwa popularity na kuwa kuza zaidi,walipaswa kuwaacha wanasiasa wafanye siasa kwa amani!
ID yake halisi kashaitelekeza, nasikia yupo humu kwa ID fake na huwa anachangia nyuzi kama kawaida tena mara nyingine anatoa vitishoKtk mawaziri wanafiki,Muongo, zwazwa na katili ni Mwiguru Nchemba, hakuna kitu kibaya km unafiki si yupo umu aje akanushe basi
Sio huyo aliyemtolea Nape bastola
Nina uhakika 100%
Uzushi
Yaaani mkuu huyu jamaa sijui elimu yake kaipataje, hata kauli anazotoa za kindezi balaah, jamaa ni shamba kinoma anajiona yy ndio kila kituID yake halisi kashaitelekeza, nasikia yupo humu kwa ID fake na huwa anachangia nyuzi kama kawaida tena mara nyingine anatoa vitisho
Yani hii nchi imefikia pabaya sana.Mungu anatusaidia ila sasa wenyewe hawataki msaada wa Mungu
Na inaelekea pabaya zaidiYani hii nchi imefikia pabaya sana.
Save the date rafiki.Na inaelekea pabaya zaidi
Basi kama si askari wa kawaida au usalama wa taifa ni kizazi kipya cha mtu anaefanya kazi ya uaskari kwa niaba ya serikali na kwa malipo maalumu,yaani ni mkandarasi (Contractor).
Hakika rafiki tukutane 264...Save the date rafiki.