idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Ushauri kwa Membe atulie tu, hawezi kushindana na Raisi wa nchi za Ujamaa.tayar keshafutwa uanachama..... up next huenda sasa hio kesi ikaiva akianza ubishi!
awamu hii haina tofauti na drug cartel za huko colombia