Tetesi: Inadaiwa Bernard Membe atakuja kufunguliwa kesi ya Uhujumu Uchumi

Tetesi: Inadaiwa Bernard Membe atakuja kufunguliwa kesi ya Uhujumu Uchumi

Habari wakuu,

Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti

Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu kesi mfu ya MEIS ya kiwanda cha saruji mkoani Lindi umeiva.

Habari nilizozipata ni kwamba hiyo ndiyo silaha ya mwisho kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM. Wadadisi wa mambo wananiambia uamuzi huu unaweza kumaanisha usemi wa Niguse Ninuke.

Kama amewahi kwenda ndivyo sivyo atashitakiwa tu. Hana kinga.
 
Na huyo aliyekwapua nyumba za Serikali na kununua kivuko uozo kwa 8 bilioni sheria haistahili kuchukua mkondo wake!? 😳
Iko siku watarudisha mali zote walizowaibia watanzania,na mali zote walizojimilikisha sisiem zitarudi mikononi mwa watanzania.Hapo ndipo huo usemi wao wa MAENDELEO HAYANA CHAMA utakapokuwa KWELI.
 
Habari wakuu,

Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti

Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu kesi mfu ya MEIS ya kiwanda cha saruji mkoani Lindi umeiva.

Habari nilizozipata ni kwamba hiyo ndiyo silaha ya mwisho kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM. Wadadisi wa mambo wananiambia uamuzi huu unaweza kumaanisha usemi wa Niguse Ninuke.

 
Membe kawa malaika kipindi hiki, Tanzania haishi vituko
 
Habari wakuu,

Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti

Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu kesi mfu ya MEIS ya kiwanda cha saruji mkoani Lindi umeiva.

Habari nilizozipata ni kwamba hiyo ndiyo silaha ya mwisho kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM. Wadadisi wa mambo wananiambia uamuzi huu unaweza kumaanisha usemi wa Niguse Ninuke.


Kama haya tunayoyasikia kuhusu misukosuko na mipango inayofanywa kwa lengo la kuhakikisha Magufuli hapati upinzani mkali toka ndani na nje ya chama chake kwenye uchaguzo 2020, basi moja kati ya haya ni kweli;

1. Magufuli ni mwoga wa chaguzi, anajua hawezi kushindana kilalali akashinda,

2. Chaguzi zote alizoshiriki tangu akiwa mbunge hadi urais, huwa ama ananunua au kuondosha wapinzani wake makini, na kwa hiyo hajawahi kushinda uchaguzi wowote kihalali, na hana uhakika kama akishiriki kihalali ktk uchaguzi wowote ataweza kushinda.
 
Na hawamu hii kumwangushia mtu jumba bovu, kuwa amekimbia na fedha za wakulima wa korosho, hawaoni hatari.
 
Uzushi huharibu amanii ya nchi
Habari wakuu,

Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti

Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu kesi mfu ya MEIS ya kiwanda cha saruji mkoani Lindi umeiva.

Habari nilizozipata ni kwamba hiyo ndiyo silaha ya mwisho kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM. Wadadisi wa mambo wananiambia uamuzi huu unaweza kumaanisha usemi wa Niguse Ninuke.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Membe aachane na siasa, kwa mizania ya kisiasa ktk nchi hii ilivyo hawezi kuupata urais na inavyoonekana hana tena future ktk siasa.

Magufuli ameona amtoe kafara kwani hakuna kitu Magufuli anaogopa kama ushindani, yani nafuu umpeleke The Hague kule ICC kuliko kumuwekea mpinzani ktk uchaguzi.
 
Back
Top Bottom