pjjande ngao
Member
- Nov 20, 2019
- 23
- 4
wanampenda labda vijana wake watiifu aliowakodia appartment kwa ajili ya uraisi wake na maasi yake....... atuachie raisi wetu afanya kaziiiiiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanampenda labda vijana wake watiifu aliowakodia appartment kwa ajili ya uraisi wake na maasi yake....... atuachie raisi wetu afanya kaziiiiiiiiii
anakubalika labda na mganga wake wa zwani na yule wa lupanga aliempa mil 150UWOGA WA WANINI KM ANAKUBALIKA?
anakubalika na vijana wake alio watrain nje ya mfumo labda na yule wa iringa mjini .....WILAYAKama anafanya kazi nzuri na anadhani anakubalika sasa wasiwasi wa nini si atateuliwa tena kugombea?
Aache demokrasia ndani ya chama ifanye kazi yake!
Kupitia chama gani?Membe ndy chaguo la 2020
Kwa nini sasa???Kama alihujumu kweli ni haki yake ya msingi akishtakiwa.
chaguo la waganga wa zwani labda lakini si chaguo la watz ...Kupitia chama gani?
Kama amewahi kwenda ndivyo sivyo atashitakiwa tu. Hana kinga.Habari wakuu,
Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti
Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu kesi mfu ya MEIS ya kiwanda cha saruji mkoani Lindi umeiva.
Habari nilizozipata ni kwamba hiyo ndiyo silaha ya mwisho kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM. Wadadisi wa mambo wananiambia uamuzi huu unaweza kumaanisha usemi wa Niguse Ninuke.
ni fisadi wa kutosha kipindi cha awamu ile iliyopita bwana mkubwa alikua anamkataza kutoa mzigo asichafuke sasa anao wa kutosha na ule wa vitambulisho vya taifaKama amewahi kwenda ndivyo sivyo atashitakiwa tu. Hana kinga.
Na Wanasiasa wote wanalijua hili. Ndio maana sasa umeanza kusikia change of tone na kuombana “maridhiano”. Watu wanapiga hesabu za Ubunge 2020Siasa ni sayansi na sio uanaharakati na ushabiki!
Iko siku watarudisha mali zote walizowaibia watanzania,na mali zote walizojimilikisha sisiem zitarudi mikononi mwa watanzania.Hapo ndipo huo usemi wao wa MAENDELEO HAYANA CHAMA utakapokuwa KWELI.Na huyo aliyekwapua nyumba za Serikali na kununua kivuko uozo kwa 8 bilioni sheria haistahili kuchukua mkondo wake!? 😳
Atapitishwa na naniWewe subiri Membe achukue fomu ndo utajua....labda mumfunge tu kwa kesi za kubambika
Habari wakuu,
Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti
Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu kesi mfu ya MEIS ya kiwanda cha saruji mkoani Lindi umeiva.
Habari nilizozipata ni kwamba hiyo ndiyo silaha ya mwisho kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM. Wadadisi wa mambo wananiambia uamuzi huu unaweza kumaanisha usemi wa Niguse Ninuke.
Habari wakuu,
Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti
Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu kesi mfu ya MEIS ya kiwanda cha saruji mkoani Lindi umeiva.
Habari nilizozipata ni kwamba hiyo ndiyo silaha ya mwisho kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM. Wadadisi wa mambo wananiambia uamuzi huu unaweza kumaanisha usemi wa Niguse Ninuke.
Niguse ninukeMagufuli ameshajitabilia kuwa ni mfungwa mtarajiwa. Inasemwa kwamba hata akifa maiti ya lazima ifike mahakamani ihukumiwe ndipo ikazokwe
tayar keshafutwa uanachama..... up next huenda sasa hio kesi ikaiva akianza ubishi!Jamaa mwoga balaa!
Mbona anafanya vyema tu hofu ya nini.?
Habari wakuu,
Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti
Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu kesi mfu ya MEIS ya kiwanda cha saruji mkoani Lindi umeiva.
Habari nilizozipata ni kwamba hiyo ndiyo silaha ya mwisho kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM. Wadadisi wa mambo wananiambia uamuzi huu unaweza kumaanisha usemi wa Niguse Ninuke.