You're welcomeAsante kwa kunielewa sasa. Nakupa pongezi sana .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You're welcomeAsante kwa kunielewa sasa. Nakupa pongezi sana .
Mpaka aonyeshe nia ya kugombea uraisi ndo akamatwe?. Siku zote walikuwa wapiKama kahujumu uchumi asikamatwe kisa ni Membe? Acheni utoto kama ana makosa akamatwe tu
Je Membe ni fisadi siyo fisadi?
Na huyo aliyekwapua nyumba za Serikali na kununua kivuko uozo kwa 8 bilioni sheria haistahili kuchukua mkondo wake!? 😳
Duh!!Jamaa mwoga balaa!
Mbona anafanya vyema tu hofu ya nini.?
Serious in what sense.Political atmosphere yenyewe siyo friendly. At the Parliament you how they have been oppressed. What else do you want them do, before acknowledging them as serious. Tatizo mnakuwa driven kwa feelings and emotions na hamko well informed with what is happening aroundHaya yote ni kwa sababu hatuna upinzani ulio serious.I wish Katiba yetu ingeruhusu mgombea huru.
#JamaaAmechanganyikiwaJamaa mwoga balaa!
Mbona anafanya vyema tu hofu ya nini.?
Kulingana na sheria mpya mgombea yoyote wa chama cha siasa lazima awe ametimiza miaka mi2 ndani ya chama. Hili MEMBE analijua kwajiyo msipige miluzi mingi mtampoteza wacha akomae hapohapo ili ang'oe Jiwe mapemaaa alfajir.Kama anafanya kazi nzuri na anadhani anakubalika sasa wasiwasi wa nini si atateuliwa tena kugombea?
Aache demokrasia ndani ya chama ifanye kazi yake!
Na huyo aliyekwapua nyumba za Serikali na kununua kivuko uozo kwa 8 bilioni sheria haistahili kuchukua mkondo wake!? 😳
[/QUOTE
Na huyo aliyekwapua nyumba za Serikali na kununua kivuko uozo kwa 8 bilioni sheria haistahili kuchukua mkondo wake!? 😳
Alieleta hiki kivuko nae ashtakiwe😂😎😂😤😤😤
![]()
Nchi gani imetokea hiyo vifatu 9 vya kazi gani sasa .Niguse ninuke
Hii kauli inahusiana na wale wajeda waliotoroka na vifaru 9, BM -21 na dhana zingine then kujichimbia porini ?
#JamaaAmechanganyikiwa
Mkuu jazia jazia nyama kidogo nasi tujue.Niguse ninuke
Hii kauli inahusiana na wale wajeda waliotoroka na vifaru 9, BM -21 na dhana zingine then kujichimbia porini ?
Hakuna alipo sema yeye anaogopa.
Membe anapendwa sana
amna huruma watueleze vizuri ule moshi wa tokea zwani na pulungu .........wa ruangwa pamoja vile vimondo vya uvira aadhibiwe tu amna namnaKama alihujumu kweli ni haki yake ya msingi akishtakiwa.