Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,296
- 4,697
Sasa kama mtu kafanya kosa na anawajibishwa kisasi kinatoka wapiTunapenda kila mhalifu awajibishwe ila sio kwa visasi.
Halafu wapi umeona mimi Chadema.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama mtu kafanya kosa na anawajibishwa kisasi kinatoka wapiTunapenda kila mhalifu awajibishwe ila sio kwa visasi.
Halafu wapi umeona mimi Chadema.?
kwani kivuko na nyumba za serikali sio uhujumu?Kama alihujumu kweli ni haki yake ya msingi akishtakiwa.
Hatimae umeacha kuniita bibi.Good stuff
Kama kweli alifanya ugumu wa hii nchi upo wapi? Kama alitakatisha atashitakiwa,kama hakutakatisha basi atarudishiwa passport yake na hatashitakiwa.
Nyuma zilirudishwa serikalini na wakapewa waliostahili.Sumaye na Mkapa wakasema pia Sundi na yule mdogo wake Magu wapewe nyumba za serikali sio?
Kuleta vivuko feki mv bagamoyo kesi ya samaki uuzaji wa nyumba za serikali utapeli kwenye koroshow zetu n.k ndio anfanya vyema?.. nimesahau kupiga pesa za rambirambi za maafa ya kagera.. mengine jazia afu endelea kumsifiaJamaa mwoga balaa!
Mbona anafanya vyema tu hofu ya nini.?
Nnh🙄Kama kweli alifanya ugumu wa hii nchi upo wapi? Kama alitakatisha atashitakiwa,kama hakutakatisha basi atarudishiwa passport yake na hatashitakiwa.
Wilfred lwakatare hampendi Mwigulu hata kumuona tuacha afunguliwe tu,awamu ilopita lwakatare mb wa bukoba mjini alifunguliwa kesi ya ugaidi
[emoji23]Hivi kesi ya wizi wa nyumba za serikali ambao ni uhujumu uchumi wa wazi itaanza kuunguruma lini?
Membe ndy chaguo la 2020
Unaonaje huyu jamaa tukimfungulia kesi ya kuhujumu uchumi wa nchi yetu kwa kutuletea kivuko kibovu?Kama kweli alifanya ugumu wa hii nchi upo wapi? Kama alitakatisha atashitakiwa,kama hakutakatisha basi atarudishiwa passport yake na hatashitakiwa.
Kama alihujumu kweli ni haki yake ya msingi akishtakiwa.
Kama alihujumu Uchumi,acha sheria ichukue mkondo wake.
I love your postsHatimae umeacha kuniita bibi.
Asante kwa kunielewa sasa. Nakupa pongezi sana .I love your posts