Achimwene2014
Senior Member
- Jul 15, 2017
- 119
- 124
Mbona Lowassa hamkumfungulia mashitaka wakati mlidanganya ni mwizi wakati huo huo amerudi kwenu?Kama alihujumu kweli ni haki yake ya msingi akishtakiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Lowassa hamkumfungulia mashitaka wakati mlidanganya ni mwizi wakati huo huo amerudi kwenu?Kama alihujumu kweli ni haki yake ya msingi akishtakiwa.
Ogopa sana mlokole akianza kunywa pombe ni aibu.!
Membe atagombea Urais wa TZ kupitia ACT-Wazalendo.
Hii ni mbinu ya kuzigawa kura kutoka kambi ya upinzani.
Makosa yaliyofanyika kwa Lowassa hayawezi kufanyika tena ambapo kunakuwa mgombea mmoja pekee mwenye nguvu kutoka upinzani.
Wakati CDM wameamua Lissu awe mgombea wao, CCM lazima wazigawe kura zake.
Watu wanacheza ngoma za CCM bila kujua!
Siasa ni sayansi na sio uanaharakati na ushabiki!
Jamaa mwoga balaa!
Mbona anafanya vyema tu hofu ya nini.?
Mkuu hizo ndio siasa za nchi yetu, wanasiasa wetu ni vigeugeu wanajali maslahi yao tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sielewi kabisa kilichompindua huyu mrembo hadi aanze kuandika haya. Ni mmoja wa wadada wachache wanaoingia kwenye jukwaa la siasa kwa kujiamini na uwezo wa kujenga hoja nzito anao sana tu. Ghafla bin VU wamempindua!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapendwi kama hivyo msemavyo, ila wakati unampa fursa na wanamjengea jina na wafuasi wenyeweHakuna alipo sema yeye anaogopa.
Membe anapendwa sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 haya pita lumumba kesho mapema ukachukue buku 7 zako kwa kuniambia mie sina jipya bali weye ndiyo mwenye jipya la kutumika na nduli kutetea maovu yake.
Kama kweli vile... Lowasa alikwenda cdm kwa mipango tu, so picha ndio hilo hilo
Kweli kabisa na wewe unataka Membe awe Rais? Si bora hata Magufuli mara elfu. Kusema ukweli kusikia Membe anataka kuwa Rais kumenibadilisha mno.😂😂😂😂😂😂😂 sielewi kabisa kilichompindua huyu mrembo hadi aanze kuandika haya. Ni mmoja wa wadada wachache wanaoingia kwenye jukwaa la siasa kwa kujiamini na uwezo wa kujenga hoja nzito anao sana tu. Ghafla bin VU wamempindua!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wala hakuna. Na wewe mkuu unakubaliana Membe awe Rais wa nchi hii?Mkuu hizo ndio siasa za nchi yetu, wanasiasa wetu ni vigeugeu wanajali maslahi yao tu.
Huyo kama ni mtumishi wa serikali huenda alijichanganya Id yake ikagundulika na wenzie... hisia tu lakini.
Wakati wake na yeye utafika tu,ununuzi wa srepa alioiita meli,kugawana nyumba za umaKama alihujumu Uchumi,acha sheria ichukue mkondo wake.
La meli,nyumba. 2015.walimchagua hizo scandales zilikuwepo. Suala la Nyumba Sumaye alisema lilikuwa wazo la Sumaye na Mkapa.Wakati wake na yeye utafika tu,ununuzi wa srepa alioiita meli,kugawana nyumba za uma
Kweli kabisa na wewe unataka Membe awe Rais? Si bora hata Magufuli mara elfu. Kusema ukweli kusikia Membe anataka kuwa Rais kumenibadilisha mno.
Ni kama wanachotaka kukifanya sasa,ndicho kotakacho kuja kufanyika siku za usoniLa meli,nyumba. 2015.walimchagua hizo scandales zilikuwepo. Suala la Nyumba Sumaye alisema lilikuwa wazo la Sumaye na Mkapa.
Weeeeee! Mkuki kwa nguruwe tu kwa binadam mchunguNa huyo aliyekwapua nyumba za Serikali na kununua kivuko uozo kwa 8 bilioni sheria haistahili kuchukua mkondo wake!? 😳
Haya yote ni kwa sababu hatuna upinzani ulio serious.I wish Katiba yetu ingeruhusu mgombea huru.Ni kama wanachotaka kukifanya sasa,ndicho kotakacho kuja kufanyika siku za usoni
Kwa membe atachemka ,labla anemshitaki mbowe au mchungaji msigwa au halima mdee au sugu au hashimu rungwe au zitoHabari wakuu,
Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti
Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu kesi mfu ya MEIS ya kiwanda cha saruji mkoani Lindi umeiva.
Habari nilizozipata ni kwamba hiyo ndiyo silaha ya mwisho kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM. Wadadisi wa mambo wananiambia uamuzi huu unaweza kumaanisha usemi wa Niguse Ninuke.