BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Sheria za nchi ni msumeno hukata pande zote. Bugirichato naye kahujumu uchumi na kuna ushahidi wa kutosha tu kuhusu hili wakiwemo Mkapa, Kikwete na wengi wengineo.
Wote wapandishwe kizimbani bila upendeleo wowote ule na kukomoana kwa kutumia madaraka vibaya.
Wote wapandishwe kizimbani bila upendeleo wowote ule na kukomoana kwa kutumia madaraka vibaya.
Kama alihujumu kweli ni haki yake ya msingi akishtakiwa.