Kama alihujumu kweli ni haki yake ya msingi akishtakiwa.
Niguse ninuke
Hii kauli inahusiana na wale wajeda waliotoroka na vifaru 9, BM -21 na dhana zingine then kujichimbia porini ?
Je Membe ni fisadi siyo fisadi?Hakuna alipo sema yeye anaogopa.
Membe anapendwa sana
Je Membe ni msafi kiasi kwamba kila kinachomuhusu inaonekana ni siasa?Kama anafanya kazi nzuri na anadhani anakubalika sasa wasiwasi wa nini si atateuliwa tena kugombea?
Aache demokrasia ndani ya chama ifanye kazi yake!
Mtoto wao mwenyewe alitajwa na Makonda kwny list ya wauza madawa ya kulevya kwani ulimsikia JK akiongea chochote,kimyaaaaaa.Jamaa ni muoga
Je Familia ya JK itamuacha mwenzao azame?
Ohooo mzee unasema kweli ? [emoji50][emoji54]Na huyo aliyekwapua nyumba za Serikali na kununua kivuko uozo kwa 8 bilioni sheria haistahili kuchukua mkondo wake!? [emoji15]
kesi anayofunguliwa itamalizika hadi magu amalize muda wake. sasa hapo huwo usafi unaoutaka wewe utadhibitishwaje?Hakuna anayemuogopa Membe, kama kweli wanajiandaa kumfungulia kesi basi angalau mahakama itasaidia kumuondoa kwenye hizi tetesi na kuwa huru iwapo ni msafi, kama ni kweli alikwapua basi jela ni yetu sote!
Tuwaheshimu wazazi mkuuMama yako ndio anamkubali.
Jamaa mwoga balaa!
Mbona anafanya vyema tu hofu ya nini.?
UWOGA WA WANINI KM ANAKUBALIKA?
Kama alihujumu Uchumi,acha sheria ichukue mkondo wake.
Hili sio picha la maigizo kama unavyo waza wewe hii ni serious inshu kuwa membe anataka madaraka. [emoji125] [emoji125] [emoji125]Membe atagombea Urais wa TZ kupitia ACT-Wazalendo.
Hii ni mbinu ya kuzigawa kura kutoka kambi ya upinzani.
Makosa yaliyofanyika kwa Lowassa hayawezi kufanyika tena ambapo kunakuwa mgombea mmoja pekee mwenye nguvu kutoka upinzani.
Wakati CDM wameamua Lissu awe mgombea wao, CCM lazima wazigawe kura zake.
Watu wanacheza ngoma za CCM bila kujua!
Siasa ni sayansi na sio uanaharakati na ushabiki!
Nyumbu at his work. I jaaat lavu iti.
Hii ni kuhusu Membe. Kila jambo na wakati wake. Awe mwingine amekwapua nyumba hiyo haimfanyi Membe kutoface sharia kama kweli alihujumu uchumi.Na huyo aliyekwapua nyumba za Serikali na kununua kivuko uozo kwa 8 bilioni sheria haistahili kuchukua mkondo wake!? 😳
Kwani shida ipo wapi yakhe. Kuzeeka ni neema jamani. Wangapi wamekufa bila kufikia uzee. Tena nakushukuru sana kwa kunitamkia hii neema. Maneno yanaumba. Namuomba Mungu anipe neema ya kufikia uzee nione wajukuu zangu na wajukuu zao. Hapa hoja ni Membe na siyo uzee wangu.Nimekuambia umeshazeeka ngozi ya uso imekubana, hakuna mtu anashoboka na jizee. Mpelekee Polepole ndio anavutiwa na mijizee.
ujumbe muruaWafunge na wakitaka waue wapinzani wote nchini!
Wafunge na wakitaka waue wana-CCM wote wanaoonekana kuupinga utawala nchini!
Wafunge, na wakitaka waue wanaharakati wote nchini wanaopinga haya yanayotokea!
Wafunge, na wakitaka waue wakosoaji wote nchini wanaoipinga serikali!
Wakifanya hivyo, hapana shaka taifa litabaki na misukule ya CCM peke yake ni ile misukule inayototea utawala kwa kuangalia ukabila na ukanda! Lakini hata hiyo misukule, ipo siku na yenyewe itakuja tu kuaguliwa na akina Dr. Manyaunyau, na badala ya kuendelea kulishwa unga kama chakula chao, hapo itaanza kudai ugali uliopikwa, na ndipo utatimia ule msemo kwamba, hapana serikali ya kidhalimu iliyopata kudumu milele duniani!!! Udhalimu usipoisha muongo huu, haidhuru hata kama utaisha karne ijayo! Na wala haigopeshi ikiwa wapinga udhalimu wote wataingia kaburini kabla hata mambo hayajatengemaa, kwani hawa watakuwa ndio mashahidi siku ya hukumu!
Kwani shida ipo wapi yakhe. Kuzeeka ni neema jamani. Wangapi wamekufa bila kufikia uzee. Tena nakushukuru sana kwa kunitamkia hii neema. Maneno yanaumba. Namuomba Mungu anipe neema ya kufikia uzee nione wajukuu zangu na wajukuu zao. Hapa hoja ni Membe na siyo uzee wangu.
Mbona unatoka nje ya topic ?