Tetesi: Inadaiwa Clement Mzize analipwa 600k, halafu Guede analipwa Milion 29

Tetesi: Inadaiwa Clement Mzize analipwa 600k, halafu Guede analipwa Milion 29

Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
FAKE NEWS

Mlianza na..


UBUNTU BOTHO (Masadakolo)

MARA MAYELE NA AZAM interview

MARA KUFUNGIWA NA FIFA kusajili

MARA HILI LA MISHAHARA FAKE

Yote hayo Yanga tupo kimya

Propaganda zote hizo hatutoki relini na mkikaa vibaya tatehe 20 ni maafa
 
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
Baada ya Kikao cha MO na uongozi, hii ndiyo mikakati mliyokuja nayo kuelekea Derby? Yaani ninyi ndiyo ‘Sinking Tank’?
 
Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024

# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k

Mishahara ya Wachezaji wa Simba SC 2023/2024 Player Salaries​

#MchezajiCountrySalary
17Clatous ChamaZambia20Mil
22John Raphael BoccoTanzania15Mil
FarouzTanzania1Mil
28Aishi Salum ManulaTanzania14Mil
40Peter BandaMalawi6Mil
18Nasolo KapamaTanzania2.5Mil
Moses PhiriZambia15Mil
11Luis MiqussionTanzania8.1Mil
16Fondoh Che MaloneCameroon9Mil
Aubian KramoCote d’Ivoire9Mil
15Mohamed HusseinTanzania10Mil
12Shomari KapombeTanzania10Mil
13Hamisi KaziTanzania2.2Mil
8Sadio KanoutéMali16Mil
19Mzamiru YassinTanzania7Mil
Devid KametaTanzania2Mil
30Husein AbelTanzania2Mil
1Ally Salim JumaTanzania1.8Mil
8Fabrice NgomaDR Congo7Mil
Henoc Inonga BakaDR Congo11Mil
26Kennedy JumaTanzania3Mil
10Saido NtibanzokizaBurundi6.2mIL
Israel Patrick MwendaTanzania2mIL
38Denis KibuTanzania3.7Mil
Jimson Stephen MwanukeTanzania1Mil
7Willy OnanaCameroon6 Million
20Hussein HasanTanzania
Auyoub LakreyMorocco
Hussein AbelTanzania2.1 Mil
Kama kuna kaukweli fulani kwenye hii mikeka
 
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
Kwa mzize ni sawa tu,,
Kama alikuwa boda boda akaja NYUMA MWIKO FC kumpa pesa nyingi atazifanyia nn?
 
Mmeamua kutengeneza propaganda za kuvuruga wachezaji wa Yanga na mashabiki wa Yanga.
Hio mishahara haina uhalisia, ingekuwa hivyo Diara asingedumu Yanga misimu yote hiyo huku akilipwa milioni 4 tu.
 
Ukishakua foreigner tu mshahara wako unakua juu,hta makampun yakiajir wa south au wahind wanalipwa hela mingi sana... Ukitaka salary kubwa nenda nje ya nchi ila uwe na professional yko
 
Mmeamua kutengeneza propaganda za kuvuruga wachezaji wa Yanga na mashabiki wa Yanga.
Hio mishahara haina uhalisia, ingekuwa hivyo Diara asingedumu Yanga misimu yote hiyo huku akilipwa milioni 4 tu.
Kwani mshahara halisi kwa Mzize na Diarra ni upi mkuu, Maana kama umepingana na mtoa mada basi wewe unalo jibu kamili.

Hebu funguka.
 
Ukitaka salary kubwa nenda nje ya nchi ila uwe na professional yko
Sasa kwa mfano Mzize ni mchezaji mzuri kuliko Aziz ki, ni professional kabisa kuliko Aziz ki.

Kiuhalisia Mzize alipaswa kulipwa salary mara mbili zaidi ya Aziz ki. Mzize peke yake ni sawa na kina Aziz watatu Ila anapunwa salary.
 
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
Nimelia sana Mimi.
 
Back
Top Bottom